Tuko tayari kupigwa na kubaguliwa kwa kuitetea Israel

Tuko tayari kupigwa na kubaguliwa kwa kuitetea Israel

We utakuwa umelewa ghahawa siyo bure. Nani kakwambia Yesu ni Mzungu. Leta andiko.

Kuhusu Uislam na dharau kwa weusi jisomee mwenyewe:

Some hadiths
Sahih Bukhari 9:87:161
Narrated 'Abdullah: The Prophet said, "I saw (in a dream) a black woman with unkempt hair going out of Medina and settling at Mahai'a, i.e., Al-Juhfa. I interpreted that as a symbol of epidemic of Medina being transferred to that place (Al-Juhfa)."


Ishaq:243
"I have heard the Apostle say: 'Whoever wants to see Satan should look at Nabtal.' He was a sturdy black man with long flowing hair,


Narrated Anas bin Malik: Allah's Apostle said, "You should listen to and obey, your ruler even if he was an Ethiopian (black) slave whose head looks like a raisin."


Sahih Bukhari 9:89:256
In another Hadith, Mohammed is quoted as saying that Blacks are, "pug-nosed slaves". (Sahih Moslem vol. 9 pages 46 and 47).

We jamaa unapenda tuanze tena zile ligi za zamani mm nilishaacha na sikujibu tena!

Nakuletea
mgeni
BAKIIF Islamic
Citizen B
Che mittoga na
Gavana

Muendeleze mpambano

Gavana rafiki yako Kipala yuko wapi?
Paroko muefeso wala siwezi kushangaa kuandika usichokielewa tutatumia muda mrefu sana kukuelekeza maana ya hizo hadith na pia huwezi kukubali manake sifa ya kafiri yyt ni KUKATAA HAKI.

Tutazame UHALISIA.
Sisi waislamu tunaamini Mtume ADAM alikuwa mtu mweusi. Mtume Musa alikuwa mtu mweusi na kitabu chetu kinawapa heshima zote na wakitajwa tunasema Amani ya Mungu uwe juu yao.

Kwenye UKRISTO umeshawahi kuona kiobgozi wa kitaifa au hata picha yyt ya kiongozi wa KIKRISTO MWEUSI?

PAPA ulishawahi kusikia kachaguliwa mweusi?

WAANZILISHI WA MADHEHEBU YOTE YA KIKRISTO kuna mtu Mweusi?
Jibu unalo lkn huwezi kukubali hata siku moja kuwa wazungu abadan hawawezi kumuona Mtu mweusi sawa na wao kwenye UKRISTO
 
Mathayo 21:43

Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

Ufalme wa Muumba ulishahama kutoka mashariki ya kati (Israel) kama yesu alivyosema na sasa umehamia mashariki halisi (Tanzania) ambalo ndilo taifa baba na Chanzo cha Baraka kwa mataifa yote.
Huo ufalme wa Mungu mbona siuoni Tanzania?maana nchi inaongozwa na majizi,wezi na wanyanganyi.
 
pia huwezi kukubali manake sifa ya kafiri
Kwanza nitake radhi mimi sibishani na wewe tunaeleweshana. Maana mimi sisadiki mungu wako na wala wewe hausadiki Mungu wangu. Pia mimi siyo Kafir. Kama mimi ni kafir na wewe pia ni kafir

WAANZILISHI WA MADHEHEBU YOTE YA KIKRISTO kuna mtu Mweusi?
Ina maana Kakobe, Mwingira, Geodavis ni wazungu? Ethiopian Orthodox nao ni wazungu au Wayahudi?

Sasa wewe niambie dhehebu gani la Kiislam au hata "school of thought" ipi ambayo muanzilishi ni Mtu mweusi. Labda kama Qadian au Mtukufu Agha Khan ni weusi

Che mittoga
mgeni njooni
 
Kwanza nitake radhi mimi sibishani na wewe tunaeleweshana. Maana mimi sisadiki mungu wako na wala wewe hausadiki Mungu wangu. Pia mimi siyo Kafir. Kama mimi ni kafir na wewe pia ni kafir


Ina maana Kakobe, Mwingira, Geodavis ni wazungu? Ethiopian Orthodox nao ni wazungu au Wayahudi?

Sasa wewe niambie dhehebu gani la Kiislam au hata "school of thought" ipi ambayo muanzilishi ni Mtu mweusi. Labda kama Qadian au Mtukufu Agha Khan ni weusi

Che mittoga
mgeni njooni
Uislamu umetokea uarabuni
Na kila kiongozi mkuu alitoka huko.
Sasa we nambie ugalatia umetokea Vatican?
 
Mzuka Wanajamvi!

Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.

View attachment 2738497View attachment 2738498View attachment 2738499View attachment 2738500
Wakati huo Israel hana habari na nyiye ngozi ya nyani anawaona Kama tumbili tu hamna akili, Israel anawabagua nyiye watu weusi. Israeli wanauwa wapalestine Kama nzige. Kweli wazungu na waharabu walitulisha matango pori sana, leo hii hizi dini kwao wanazikataa, wanaabudu miungu wao. Watu wa Asia wanaabudu miungu na mababu na Bibi zao ndo maana Wana akili na maendeleo sana. Israeli wanafukuza watu weusi wasikae uko Israel wanachafua mazingira. Kweli ngozi nyeusi Ni shida sana. Leo Israel wanaongoza kwa mauwaji dunia nzima watawale kiuchumi, makampuni makubwa yako chini ya Israel dunia nzima, wanauwa na kupora mali za nchi nyingine wewe ngozi ya tako umeachiwa vitabu usome na kuwatukuza hao wazungu na waharabu na kuwaona miungu watu. Ndo maana akina Samia wanaenda kusaini utumbo wa mkataba kuuza nchi utafikiri akili zao zimejaa kinyesi tu. Kwa kuwaabudu waharabu kwamba wako karibu na Mungu. Hayo yote Ni matango pori.
 

Attachments

  • Screenshot_20230905-011518.png
    Screenshot_20230905-011518.png
    83.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20230905-011358.png
    Screenshot_20230905-011358.png
    107.8 KB · Views: 4
Za chini kabisa ya kapeti inasemekana eti sisi ngozi nyeusi ndio waisraeli wenyewe hasa yaani wale OG kabisa!
 
Mathayo 21:43

Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

Ufalme wa Muumba ulishahama kutoka mashariki ya kati (Israel) kama yesu alivyosema na sasa umehamia mashariki halisi (Tanzania) ambalo ndilo taifa baba na Chanzo cha Baraka kwa mataifa yote.
CC: YEHODAYA na wayahudi wa kibaigwa, excluding wakristo wanaojitambua(maana hao huyasoma na kuyaelewa maandiko lakini siyo wale walioshikiwa akili na akina Mwamposa)
 
Mzuka Wanajamvi!

Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.

View attachment 2738497View attachment 2738498View attachment 2738499View attachment 2738500
Unampigania mtu ambaye hakutaki? Waziri mkui wa Israel ameahidi kujenga ukuta kuzuia watu kutoka afrika
 
Wakati huo Israel hana habari na nyiye ngozi ya nyani anawaona Kama tumbili tu hamna akili, Israel anawabagua nyiye watu weusi. Israeli wanauwa wapalestine Kama nzige. Kweli wazungu na waharabu walitulisha matango pori sana, leo hii hizi dini kwao wanazikataa, wanaabudu miungu wao. Watu wa Asia wanaabudu miungu na mababu na Bibi zao ndo maana Wana akili na maendeleo sana. Israeli wanafukuza watu weusi wasikae uko Israel wanachafua mazingira. Kweli ngozi nyeusi Ni shida sana. Leo Israel wanaongoza kwa mauwaji dunia nzima watawale kiuchumi, makampuni makubwa yako chini ya Israel dunia nzima, wanauwa na kupora mali za nchi nyingine wewe ngozi ya tako umeachiwa vitabu usome na kuwatukuza hao wazungu na waharabu na kuwaona miungu watu. Ndo maana akina Samia wanaenda kusaini utumbo wa mkataba kuuza nchi utafikiri akili zao zimejaa kinyesi tu. Kwa kuwaabudu waharabu kwamba wako karibu na Mungu. Hayo yote Ni matango pori.
Tulia wewee
 
Ila Niggaz ni wabishi. Nothing we can do we've been told if yo bless Israel you will be blessed if you curse Israel you will be cursed no matter what they do toyou segregation, kill you and hate you but you must stick to the scriptures.

Niggaz our hands are tied nothing we can do
View attachment 2738517
Mkuu si bora ungekaa kimya tu. Unajiabisha mchana kweupe kwakweli bora ungeenda kupost Facebook.
 
Uislam na Ukristo kwa kutumia akili zetu kwa dhati ni tamaduni kandamizi. Uislam uko kwa ajili ya Waarabu, na Ukristo uko kwa ajili ya Wazungu, kama ambavyo Hinduism iko kwa ajili ya Wahindi.

Ni muda muafaka sasa Waafrika kujitafuta na kurudi kwenye asili yetu.
Hilo wazo lako binafsi.
Uislamu inatufindisha kwa kusema.l ktk aya ya 3 suratul hujurat.

Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.

Tunaambiwa mtu BORA mbele ya MUNGU ni yule mwenye kuabudu zaidi kuliko wengine.

Sio mweupe wala mweusi
 
Back
Top Bottom