Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
Haijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
Imeandikwa wapi hiyo?Haijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
We acha ujinga hao unaosema waisrael sio wale wa kipindi cha yesu hao ni wazungu tu ambao asili yao Ni uturuki Wala hawana uhusiano hata chembe na waisrael wale wa biblia ..na Tena Hawa mamluki wanapinga ukristo ..kwa hio acha ushamba na kukurupukaMzuka Wanajamvi!
Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.
View attachment 2738497View attachment 2738498View attachment 2738499View attachment 2738500
Hahahahahhahahahhahhh!!! nilikuwa nachukia maandiko ya zamani ila tokea nilipokufuma uzi wa wavuta bange humu ukiwa mstari wa mbele kutetea na kutoa madini ya bange ndipo nikaamua kutochukulia serious post zako huenda wakati mwingine unaandika ukiwa under influence of Mjani.
Bro acha wivuuuMzuka Wanajamvi!
Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.
View attachment 2738497View attachment 2738498View attachment 2738499View attachment 2738500
Haijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
Mathayo 21:43
Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
Ufalme wa Muumba ulishahama kutoka mashariki ya kati (Israel) kama yesu alivyosema na sasa umehamia mashariki halisi (Tanzania) ambalo ndilo taifa baba na Chanzo cha Baraka kwa mataifa yote.
Wayahudi wenye asili ya Ethiopia wanauawa kila mara na wale wayahudi wazungu wanaodai ngozi nyeusi sio binaadamu bali ni Nyani waliolaaniwa.Mzuka Wanajamvi!
Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.
View attachment 2738497View attachment 2738498View attachment 2738499View attachment 2738500
Mimi last friday nilimbariki malaya wa kiisrael kwa kumpelekea moto wa maana jiji ashdood,malaya wa kiisrael anakuachia mwili wote mkitaka mkosane mguse matiti sijui why wako vile 😋Haijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
AiseeHaijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
Rudisha avatar picha yako ya awali tuliyokuzoea ya Thiago Alcatraz.Mimi last friday nilimbariki malaya wa kiisrael kwa kumpelekea moto wa maana jiji ashdood,malaya wa kiisrael anakuachia mwili wote mkitaka mkosane mguse matiti sijui why wako vile 😋
Hamna namna unaweza kuwa humchukulii serious halafu utumie paragraph lote hili kumjibu sentensi yake ya maneno matatu tuHahahahahhahahahhahhh!!! nilikuwa nachukia maandiko ya zamani ila tokea nilipokufuma uzi wa wavuta bange humu ukiwa mstari wa mbele kutetea na kutoa madini ya bange ndipo nikaamua kutochukulia serious post zako huenda wakati mwingine unaandika ukiwa under influence of Mjani.
Daaaah huu utumwa sasaHaijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa