Tuko tayari kupigwa na kubaguliwa kwa kuitetea Israel

Tuko tayari kupigwa na kubaguliwa kwa kuitetea Israel


View: https://youtu.be/oBZaJu7u4P4?si=VoR5hAJzwL0WHsxJ

Tanzania sasa ndio CHANZO CHA BARAKA SIO ISRAEL TENA.alishasema Yesu mathayo 21:43 “Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.”

amka usingizini na kubali kuwa sasa Tanzania ndipo taifa Baba na Chanzo cha Baraka.
 

View: https://youtu.be/oBZaJu7u4P4?si=VoR5hAJzwL0WHsxJ

Tanzania sasa ndio CHANZO CHA BARAKA SIO ISRAEL TENA.alishasema Yesu mathayo 21:43 “Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.”

amka usingizini na kubali kuwa sasa Tanzania ndipo taifa Baba na Chanzo cha Baraka.
 

View: https://youtu.be/oBZaJu7u4P4?si=VoR5hAJzwL0WHsxJ

Tanzania sasa ndio CHANZO CHA BARAKA SIO ISRAEL TENA.alishasema Yesu mathayo 21:43 “Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.”

amka usingizini na kubali kuwa sasa Tanzania ndipo taifa Baba na Chanzo cha Baraka.
 
Tanzania sasa ndio CHANZO CHA BARAKA KWA MATAIFA YOTE sio israel tena au mashariki ya kati.

Alisema Yesu mathayo 21:43 “Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.”

Sasa ufalme wa Muumba umehamia Tanzania tujikubali.


View: https://youtu.be/oBZaJu7u4P4?si=VoR5hAJzwL0WHsxJ
 
Tanzania sasa ndio CHANZO CHA BARAKA KWA MATAIFA YOTE sio israel tena au mashariki ya kati.

Alisema Yesu mathayo 21:43 “Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.”

Sasa ufalme wa Muumba umehamia Tanzania tujikubali.


View: https://youtu.be/oBZaJu7u4P4?si=VoR5hAJzwL0WHsxJ
 
Tanzania sasa ndio CHANZO CHA BARAKA KWA MATAIFA YOTE sio israel tena au mashariki ya kati.

Alisema Yesu mathayo 21:43 “Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.”

Sasa ufalme wa Muumba umehamia Tanzania tujikubali.
 
Mzuka Wanajamvi!

Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.

View attachment 2738497View attachment 2738498View attachment 2738499View attachment 2738500
Mkuu wayshudi ni mayahudi, walimkana Ktisto na hata leo hawamtambui.
Wala hawawatsmbui waafrika na leo hii walikuwa wana laani waafrika(Eritreans) na kuahidi kuwarudisha makwao.

Wakati wa kuzaliwa Musa alikimbilia Afrika, Mungu ansipenda Afrika.
Yesu Kristi ili asiuwawe na Herode pia alikimbizwa Afrika, Misri.

Halafu unawashsbikia waisraeli, ptu!
 
If God cannot be proven, Then that God is only in your thoughts and imaginations.

It's just an illusion.
Exactly, To prove or explain the God will be to limit him. The true God can not be explained, proved or categorised because he is not limited
 
Exactly, To prove or explain the God will be to limit him. The true God can not be explained, proved or categorised because he is not limited
If God cannot be proven, How did you know that?

Which research have you done, to know that God can not be proven?
 
Mathayo 21:43

Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

Ufalme wa Muumba ulishahama kutoka mashariki ya kati (Israel) kama yesu alivyosema na sasa umehamia mashariki halisi (Tanzania) ambalo ndilo taifa baba na Chanzo cha Baraka kwa mataifa yote.
Na Mama Abdul ndio mkombozi wetu! Haleluyah, shalom shalom!
 
Exactly, To prove or explain the God will be to limit him. The true God can not be explained, proved or categorised because he is not limited
By saying that, do you know that you are explaining him?
 
Back
Top Bottom