Kweli imani inaharibu reasoning. Sijui ni akili au matope.Mzuka Wanajamvi!
Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.
View attachment 2738497View attachment 2738498View attachment 2738499
Duh! kumbuka hao jamaa ni wapinga Kristo na wewe unawasapoti ..
Haijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwaDuh! kumbuka hao jamaa ni wapinga Kristo na wewe unawasapoti ..
Sio imani ni bange, ukipiga mbili tatu ukikosa mahali pa kuzipeleka mawazo ya kuandika nyuzi kama hizi automatically yanakuja. Msamehi bure hizi sio akili zake kabisa .Kweli imani inaharibu reasoning. Sijui ni akili au matope.
Adriz una vituko kweliSio imani ni bange ,ukipiga mbili tatu ukikosa mahali pa kuzipeleka mawazo ya kuandika nyuzi kama hizi automatically yanakuja.Msamehi bure hizi sio akili zake kabisa .
Waswahilì hivi mlirogwa na nani?Mzuka Wanajamvi!
Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.
View attachment 2738497View attachment 2738498View attachment 2738499View attachment 2738500
Mkuu we unaona hao maniggaz wako blessed hapo? Mimi naona kama wana life gumu kinoma kuliko hata Taliban...Ila Niggaz ni wabishi. Nothing we can do we've been told if yo bless Israel you will be blessed if you curse Israel you will be cursed no matter what they do toyou segregation.
Niggaz our hands are tied nothing we can do
View attachment 2738517
Hahahahahhahahahhahhh!!! nilikuwa nachukia maandiko ya zamani ila tokea nilipokufuma uzi wa wavuta bange humu ukiwa mstari wa mbele kutetea na kutoa madini ya bange ndipo nikaamua kutochukulia serious post zako huenda wakati mwingine unaandika ukiwa under influence of Mjani.Adriz una vituko kweli
Yani kutafuta mibaraka ndo kurogwa?Waswahilì hivi mlirogwa na nani?
Hao wamekuzidi mara billion. Wana faraja ya moyo na uhakika wa uzima wa milele.Mkuu we unaona hao maniggaz wako blessed hapo? Mimi naona kama wana life gumu kinoma kuliko hata Taliban...
Wakina Netanyahu ni wa mchongo hao ni wa Israeli walipotea na ni washirika wa karibu wa Shetani, wenyewe wa kuwafuata ni Daudi, Selemani, Musa, Issa, Haruni, Yakobo nk (Peace be upon them) pamoja na wema waliowafata katika misingi yao.Haijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
Hahaha imeandikwa kilicho ndani kinajidhihirisha nje. Hao jinsi walivyo mwonekano wao wanaonekana hata hiyo amani hawana.Hao wamekuzidi mara billion. Wana faraja ya moyo na uhakika wa uzima wa milele.
Wewe utakapokuwa motoni wenyewe wana enjoy kula matunda zayuni wakifurahia kuwaona simba na mwanakondoo wakicheza pamoja.
Shtuka na utafute uzima wa milele.
Fafanua kuhusu Tanzania na madai unayodai hapo ,tupe facts Tz hii ambayo raia wake hawana furaha wamejaa makasiriko kiasi ambacho wenyewe wanajiona wapo katika nchi ya kipumbavu.Mathayo 21:43
Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
Ufalme wa Muumba ulishahama kutoka mashariki ya kati (Israel) kama yesu alivyosema na sasa umehamia mashariki halisi (Tanzania) ambalo ndilo taifa baba na Chanzo cha Baraka kwa mataifa yote.