Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
wewe unawajua waisrael? Waisrael wa rangi gani unawazungumzia. Waisraeli waarabu, wahiundi, wazungu, waafrika n.k au wepi unawazungumzia. Maana ile ni nchi ni ina watu wa rangi zote kama ilivyo kwa Tanzania.Haijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
Mkuu are you cushite? Are you Somali or Oromo?wewe unawajua waisrael? Waisrael wa rangi gani unawazungumzia. Waisraeli waarabu, wahiundi, wazungu, waafrika n.k au wepi unawazungumzia. Maana ile ni nchi ni ina watu wa rangi zote kama ilivyo kwa Tanzania.
Probably Oromo. Am Southern Cushite (Iraqw tribe of Tanzania). Our fore fathers left Ethiopia around 400+ years ago and settled in the northern highland of Tanzania.Mkuu are you cushite? Are you Somali or Oromo?
First and foremost, you cannot show the place where I sought God's approval!Why did you need his approval while you know am explaining him
Who told you about books and preachersFirst and foremost, you cannot show the place where I sought God's approval!
Second, you need to recognize that you are in a debate that has come with claims of the existence of God.
Therefore, for those of us on the other side, we must, at times, assume that this concept is true for the sake of the debate. This exercise is known as immanent critique, we use it in order to give you the opportunity to explain what you're stating.
Are you familiar with what immanent critique is?
Unahangaika kupindisha maneno hii ni kwasababu tu Mungu huyo hayupo.
Angekuwepo kweli ungekuwa ushaproof hapa.
Ninyi mnaamini kama kuna Mungu.
Ukweli ni kwamba Mungu huyo hayupo katika uhalisia. Na imani yenu ni potofu.
Mungu anaishi kama wazo tu tena kwa watu wasiojua mambo yanayoonekana magumu kuhusu ulimwengu huu.
Wewe umekuja kusema kuwa mungu huyo hawezi kuelezeka ilihali kwa kusema hivyo tu tyari umeshamuelezea kuwa haelezeki.
If God exists, why do we need books and preachers to explain Him? The fact that God cannot do it Himself is another piece of evidence that suggests God doesn't exist.
Wakat wanatuzuia tusizamie kwao wanashawish wapewe hadhi ya uanachama mwangaliz ktk umoja wa AfricaUnampigania mtu ambaye hakutaki? Waziri mkui wa Israel ameahidi kujenga ukuta kuzuia watu kutoka afrika
Didn't you used to preach here yourself?"Who told you about books and preachers
Mufti kuku The Infinity adrizMzuka Wanajamvi!
Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.
View attachment 2738497View attachment 2738498View attachment 2738499View attachment 2738500
Kusema hao asili yao Uturuki umetuongopea bro.We acha ujinga hao unaosema waisrael sio wale wa kipindi cha yesu hao ni wazungu tu ambao asili yao Ni uturuki Wala hawana uhusiano hata chembe na waisrael wale wa biblia ..na Tena Hawa mamluki wanapinga ukristo ..kwa hio acha ushamba na kukurupuka
Ni Deo kisandu mpya humu.Ww ni mgonjwa usiejitambua
Nimefurahi sana The Stress Challengerr kupewa ban maana nilikuwa narapori post zake za ujinga..
Imeandikwa na nyoko yakoHaijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
Mmeshindwa kufa kwa ajili ya yesu mfe kwa ajili ya israel yesu alipgwa na wayahudi mpk kabaki na pampers wakampigilia msumali msalabani hata kupambana kumtetea mlishindwa wafuasi mnabaki kulia tu leo ndio mfe kwa waisrael akili hamnaMzuka Wanajamvi!
Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.
View attachment 2738497View attachment 2738498View attachment 2738499View attachment 2738500
Jibariki mwenyewe fala weweHaijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
Hahaha π€£π π π ππΎJibariki mwenyewe fala wewe