Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mfumo mbovuAna bajeti yake mwenyewe? SHida ya hili Taifa ni watu au ni sera za kimavimavi za CCM? hata Yesu akioeaa hio wizara still hakutakuwa na mabadiliko, kunacgi takiwa nu mkoloni mweusi aondoke basi
Kwa hiyo katika watanzania 60 million yeye tu ndio anaweza. Kweli kila mtu amekuwa kunguni.View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126
Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.
Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.
Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Chezea mambo ya "Royal family"Hapana Mkuu. Mi kweli namfahamu lakini nimelinganisha namna ambavyo Taifa linahangaika kumuweka Mwalimu Wa Mstaafu (Jenister) kusimamia sekta wakati wataalamu wetu wapo wa kumwaga.
Angalia sasa anakwenda kutumikia Bara la Afrika wakati sisi tumemchukulia powa
Wapumbavu wanazidi kuongezeka hapa. Sijui mnazaana wenyewe kwa wenyewe!View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126
Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.
Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.
Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Kuhusu mambo ya ferry mnamuonea tu. Yeye kama Mbunge hana uwezo wa kufanya vivuko vi perform. Uwezo wake ni kufikisha sauti yenu kwa Serikali, na kaofikisha ipasavyo.Dr. Faustin Ndungulile ni mzuri sana kwenye taaluma n.k ila sio mahiri sana kwenye siasa za bongo!
Kigamboni kuna issue pale kivukoni feri za pantoni mbovu na gharama za kuvuka daraja la Nyerere ameshindwa kuzitatua.
Sidhani kama atarudi 2025 ubunge kigamboni akomae huko WHO
Dr Gwajima wa kujifukiza na kila siku kusema watumishi wa umma wanaiba dawa??Kiongozi bora hupimwa kwa matendo yake ya nyuma.
Kwa hiyo basi, huyu aliwahi kupewa Wizara ya mawasiliano akaichafua!
Bei ya mabando ilikuwa imetulia kwa miaka mingi, alivyoingia yeye tu mabando hayoo!
Kusema kwa kuwa ana taaluma ya afya akipewa uwaziri atafanya cha maana, hawezi.
Bora ya kumrejesha Gwajima aliyeonesha amsha amsha kisha wakaja kumtoa kimazabe!
Si ndiye huyu alishawishi "tumeze" chanjo kudhibiti kurona! ?Huyo mwamba anakwenda kuwa mkurugenzi wa afya wa WHO Africa
Tumuombee
Ukiona mtu anajiita Dkt. kama huyu, ambaye hajawahi kupractise kazi iliyompa huo udaktari yaani kuingia wodini kutibu watu..atleast miaka 5..basi tilia shaka udaktari wake, huyo ni daktari wa vyeti, ukimpeleka chumba cha upasuaji afanye hata upasuaji mdogo, usishangae akizimia..sababu siyo daktari! alisoma medicine apate vyeo km anavyofanya..wala hiyo wizara ya afya haiwezi, Magufuli alimtoa unaibu waziri kwa haki kabisa hana uwezo! Kilichomrudisha na kinachomuweka na hata kugombea hicho cheo ni rushwa na hao walio nyuma yake..hajawahi kufanya lolote la kuonekana linalolingana na elimu anayodai kuwa nayo!View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126
Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.
Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.
Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Ndio anatakiwa mwenye taatuma.Dr. Faustin Ndungulile ni mzuri sana kwenye taaluma nk ila sio mahiri sana kwenye siasa za bongo!
Kigamboni kuna issue pale kivukoni feri za pantoni mbovu na gharama za kuvuka daraja la Nyerere ameshindwa kuzitatua.
Sidhani kama atarudi 2025 ubunge kigamboni akomae huko WHO
Kazi ya Waziri wa afya siyo kutibu au kupasua wagonjwa wodini. Bali kutengeneza na kusimamia sera madhubuti za afyaUkiona mtu anajiita Dkt. kama huyu, ambaye hajawahi kupractise kazi iliyompa huo udaktari yaani kuingia wodini kutibu watu..atleast miaka 5..basi tilia shaka udaktari wake, huyo ni daktari wa vyeti, ukimpeleka chumba cha upasuaji afanye hata upasuaji mdogo, usishangae akizimia..sababu siyo daktari! alisoma medicine apate vyeo km anavyofanya..wala hiyo wizara ya afya haiwezi, Magufuli alimtoa unaibu waziri kwa haki kabisa hana uwezo! Kilichomrudisha na kinachomuweka na hata kugombea hicho cheo ni rushwa na hao walio nyuma yake..hajawahi kufanya lolote la kuonekana linalolingana na elimu anayodai kuwa nayo!
Sasa wewe unaonekana ni mpambe wa yule Zerobrain aliyemshinda kwenyw kura za maoni za CCMWana kiga tunakuchora tu sasa kama kigamboni kashindwa kutatua kero mabarabara huku ni mabovu hatari shule za msingi ni chache na mji unazidi kutanuka acha na usumbufu ya vivuko na daraja na u smart wake kafanya lipi aende huko na kiga hatutaki sisi mtu asie tujali.
Mimi namwona Dkt GwajimaView attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126
Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.
Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.
Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Kwani lazima kuajiriwa serikalini tu; anzisha Think Tank yakoView attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126
Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.
Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.
Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Sio siri niache unafiki kea elim ya makaratasi kamshinda ila ki uchapa kazi Zero brain ni kichwa zaidi mara buku ya jamaa yako.Sasa wewe unaonekana ni mpambe wa yule Zerobrain aliyemshinda kwenyw kura za maoni za CCM
Rudia kusoma nilichoandika uelewe..Kazi ya Waziri wa afya siyo kutibu au kupasua wagonjwa wodini. Bali kutengeneza na kusimamia sera madhubuti za afya