Tukubali tukatae, ila anayeiweza Wizara ya Afya ni Dr Faustine Ndugulile tu

Tukubali tukatae, ila anayeiweza Wizara ya Afya ni Dr Faustine Ndugulile tu

View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Kwa hiyo katika watanzania 60 million yeye tu ndio anaweza. Kweli kila mtu amekuwa kunguni.
 
Mbn gafla sana
Jennister hafiki popote. Nimemsikia juzi gear aliyoanzia. Anasema mifumo ya hospitali haisomani!! Hilo siyo tatizo

Screenshot_20240818_125127_Parallel Space.jpg
Ameanza na mguu wa kushoto
 
Hapana Mkuu. Mi kweli namfahamu lakini nimelinganisha namna ambavyo Taifa linahangaika kumuweka Mwalimu Wa Mstaafu (Jenister) kusimamia sekta wakati wataalamu wetu wapo wa kumwaga.

Angalia sasa anakwenda kutumikia Bara la Afrika wakati sisi tumemchukulia powa
Chezea mambo ya "Royal family"
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Wapumbavu wanazidi kuongezeka hapa. Sijui mnazaana wenyewe kwa wenyewe!
 
Dr. Faustin Ndungulile ni mzuri sana kwenye taaluma n.k ila sio mahiri sana kwenye siasa za bongo!

Kigamboni kuna issue pale kivukoni feri za pantoni mbovu na gharama za kuvuka daraja la Nyerere ameshindwa kuzitatua.

Sidhani kama atarudi 2025 ubunge kigamboni akomae huko WHO
Kuhusu mambo ya ferry mnamuonea tu. Yeye kama Mbunge hana uwezo wa kufanya vivuko vi perform. Uwezo wake ni kufikisha sauti yenu kwa Serikali, na kaofikisha ipasavyo.
 
Siamini kama yeye ndio suluhu pekee.
Kuto amini hulazimishwi. Ila mimi nimeangalia kwenye wabunge waliopo, hakuna mwenye CV iliyojaa uzoefu wa sekta kama Ndugulile
 
Kiongozi bora hupimwa kwa matendo yake ya nyuma.

Kwa hiyo basi, huyu aliwahi kupewa Wizara ya mawasiliano akaichafua!

Bei ya mabando ilikuwa imetulia kwa miaka mingi, alivyoingia yeye tu mabando hayoo!

Kusema kwa kuwa ana taaluma ya afya akipewa uwaziri atafanya cha maana, hawezi.

Bora ya kumrejesha Gwajima aliyeonesha amsha amsha kisha wakaja kumtoa kimazabe!
Dr Gwajima wa kujifukiza na kila siku kusema watumishi wa umma wanaiba dawa??
 
Wana kiga tunakuchora tu sasa kama kigamboni kashindwa kutatua kero mabarabara huku ni mabovu hatari shule za msingi ni chache na mji unazidi kutanuka acha na usumbufu ya vivuko na daraja na u smart wake kafanya lipi aende huko na kiga hatutaki sisi mtu asie tujali.
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Ukiona mtu anajiita Dkt. kama huyu, ambaye hajawahi kupractise kazi iliyompa huo udaktari yaani kuingia wodini kutibu watu..atleast miaka 5..basi tilia shaka udaktari wake, huyo ni daktari wa vyeti, ukimpeleka chumba cha upasuaji afanye hata upasuaji mdogo, usishangae akizimia..sababu siyo daktari! alisoma medicine apate vyeo km anavyofanya..wala hiyo wizara ya afya haiwezi, Magufuli alimtoa unaibu waziri kwa haki kabisa hana uwezo! Kilichomrudisha na kinachomuweka na hata kugombea hicho cheo ni rushwa na hao walio nyuma yake..hajawahi kufanya lolote la kuonekana linalolingana na elimu anayodai kuwa nayo!
 
Dr. Faustin Ndungulile ni mzuri sana kwenye taaluma nk ila sio mahiri sana kwenye siasa za bongo!

Kigamboni kuna issue pale kivukoni feri za pantoni mbovu na gharama za kuvuka daraja la Nyerere ameshindwa kuzitatua.

Sidhani kama atarudi 2025 ubunge kigamboni akomae huko WHO
Ndio anatakiwa mwenye taatuma.
.Kwenye afya hakuhitaji siasa.
 
Ukiona mtu anajiita Dkt. kama huyu, ambaye hajawahi kupractise kazi iliyompa huo udaktari yaani kuingia wodini kutibu watu..atleast miaka 5..basi tilia shaka udaktari wake, huyo ni daktari wa vyeti, ukimpeleka chumba cha upasuaji afanye hata upasuaji mdogo, usishangae akizimia..sababu siyo daktari! alisoma medicine apate vyeo km anavyofanya..wala hiyo wizara ya afya haiwezi, Magufuli alimtoa unaibu waziri kwa haki kabisa hana uwezo! Kilichomrudisha na kinachomuweka na hata kugombea hicho cheo ni rushwa na hao walio nyuma yake..hajawahi kufanya lolote la kuonekana linalolingana na elimu anayodai kuwa nayo!
Kazi ya Waziri wa afya siyo kutibu au kupasua wagonjwa wodini. Bali kutengeneza na kusimamia sera madhubuti za afya
 
Wana kiga tunakuchora tu sasa kama kigamboni kashindwa kutatua kero mabarabara huku ni mabovu hatari shule za msingi ni chache na mji unazidi kutanuka acha na usumbufu ya vivuko na daraja na u smart wake kafanya lipi aende huko na kiga hatutaki sisi mtu asie tujali.
Sasa wewe unaonekana ni mpambe wa yule Zerobrain aliyemshinda kwenyw kura za maoni za CCM
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Mimi namwona Dkt Gwajima
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Kwani lazima kuajiriwa serikalini tu; anzisha Think Tank yako
 
Back
Top Bottom