William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #1,001
Hii picha ya ya Arusha jengo la Remtula Pirbhai ni classic, imaging 1962 barabara lami safi taa za barabarani mitaa misafi.... halafu mtu akisema bora mkoloni mnakuja juu
No way, mkoloni ana uzuri na ubaya wake kama vile viongozi wetu wa sasa, lakini bado ni bora mkoloni aliondoka, tena on the right time, thanks kwa Mwalimu Nyerere na TANU,
Ni afadhali niwe masikini huru, kuliko kuwa tajiri under utumwa wa mkoloni, for that special thanx kwa viongozi kama Chifu Mkwawa, Kinjekitile, na the likes kwa their sacrifice, ili one day meaning leo mimi nije kua huru,
Wanasema asiyejua kufa, mwambieni achungulie kaburi!
Mkuu Mchongoma again heshima mbele kwa picha hizi saafi sana.