Walipotoka Kenya wote watatu walifikia NDOVU.Zamoyoni alikaa muda mfupi sana pale kabla ya kusajiliwa na simba,kama kawaida yake kwani alikuwa haoni shida kuhama klabu moja kwenda nyingine au kukimbilia Oman wakati ameshasajili huku nyumbani.Wote uliowataja ni sawa lakini Zamoyoni hajawahi kuchezea Ndovu ya Arusha, alipotoka Kenya alikwenda Uarabuni baadaye akarudi Simba na ndipo akaenda kumalizia mpira wake kule Jangwani kwa 'vijisenti' vya Gulamali.
Mogella ni miongoni mwa wachezaji wachache wa miaka hiyo wasio na elimu waliongalia mbele. Pamoja na mpira wa wakati ule mchezaji uliishiwa 'kusifiwa' yeye alitengeneza future yake. Ukiacha wachezaji wachache wenye elimu kama Tenga, Mtemi, Mwalusako, Gumbo na wachache wengine ambao wako au waliendelea kuwa kwenye ajira. Hivi mlishawahi kukutana na Jellah Mtagwa hivi karibuni? Kumbuka huyu ni mchezaji pekee ambaye picha yake iliwahi kuwekwa kwenye stamp. Hivi mmewahi kumuona Hussein Ngulungu hivi karibuni? Nani alikuwa kama Ngulungu pale Pan African, nasikia ni mlinzi wa Godown ya Mohamed Enterprises pale Morogoro. Ukimuona Peter Tino na mdogo wake Gebo pale Kariakoo utawasikitikia. Wale wenye elimu angalau ya kidato cha nne, Tenga amekuwa akijaribu kuwatumia pale TFF kama kuwa makamishna wa Mechi mbali mbali na kamati za ufundi au kufuatilia matukio. Ukienda pale TFF Karume utawakuta wamepanga foleni wakitaka kumuona Tenga, sasa sijui wote hao atawapeleka wapi?
Nenda Leaders Club siku za Jumamosi utawakuta wamejaa tele, kazi 'kubom' Safari Baridi. Nawashukuru sana TBC, ITV na Star TV angalau wamekuwa wakiwachukua kuwa makomenteta wa mechi mbali mbali zinazoonyeshwa na vituo hivyo. I hope huwa wanalipwa kidogo. Maana hii Bongo we iache tu! Kuonekana kwenye kioo ni 'ujiko' so sitashangaa nikisikia malipo huwa ni kuonekana kwenye Luninga tu! Ila sasa sio kila mchezaji anaweza kuwa mfuatiliaji mzuri wa mpira, juzi TBC walimleta Dotto Ruta Mokili, nikajiuliza huyu jamaa wamemuokota wapi? Bulyaga au Imasco? Maana alikuwa hajui hata anachokisema sembuse anachotuambia!
Walipotoka Kenya wote watatu walifikia NDOVU.Zamoyoni alikaa muda mfupi sana pale kabla ya kusajiliwa na simba,kama kawaida yake kwani alikuwa haoni shida kuhama klabu moja kwenda nyingine au kukimbilia Oman wakati ameshasajili huku nyumbani.
By the way,nani anataarifa za Oscar Dan Korroso?
Mogella ni miongoni mwa wachezaji wachache wa miaka hiyo wasio na elimu waliongalia mbele. Pamoja na mpira wa wakati ule mchezaji uliishiwa 'kusifiwa' yeye alitengeneza future yake.
Hivi mlishawahi kukutana na Jellah Mtagwa hivi karibuni? Kumbuka huyu ni mchezaji pekee ambaye picha yake iliwahi kuwekwa kwenye stamp. Hivi mmewahi kumuona Hussein Ngulungu hivi karibuni? Nani alikuwa kama Ngulungu pale Pan African, nasikia ni mlinzi wa Godown ya Mohamed Enterprises pale Morogoro. Ukimuona Peter Tino na mdogo wake Gebo pale Kariakoo utawasikitikia.
dennis mdoe,
feruzi udi,
I see huyu jamaa alikuwa Mlimani akiichezea Yanga, baadaye alihamia Botswana, sasa hivi yupo Canada pia nina mawasliano naye sana, alikuwa anasomea u-Engineer, kazi anayoifanya sasa,
Alipokuwa Tambaza High, alikuua roommate wa marehemu wa bwana mdogo wangu, that is how I came to know the guy, very nice guy na ana akili sana za shule na maisha.
Pia ninamkumbuka Chibichi na Mwameja, nakumbuka jinsi Mwameja walivyokuwa wakigombania ujiko wa goilikipa na Father Idd Pazi, kuna wakati ilikua patashika sana ndani ya timu ya Simba.
Mkuu FMES, umenikumbusha mbali sana! .... Dennis Mdoe tulikuwa wote kwenye timu kali ya soka ya UDSM, wakati na mimi nikiwa mwanafunzi pale ... hiyo timu ya UDSM nadhani ndiyo ilikuwa the best ever ... wachezaji wengine walikuwa Leonard Thadeo (kamishna wa Michezo hivi sasa), Lawrence Mwalusako, Mtemi Ramadhani, yours truly , na wengine kibao!
Vipi wakuu waliopo uk tunasikia Nico Njohole yuko huko ni mgonjwa jee kuna yoyote anaefahamu habari zake
Sikujua kuwa thread hii bado inaendelea; nilipotea kidogo halafu leo nafungua na kukuta bado ianaelea juu juu. Kumbe kuna watu wengi wanaothamini tulikotoka?
wote uliowataja ni sawa lakini zamoyoni hajawahi kuchezea ndovu ya arusha, alipotoka kenya alikwenda uarabuni baadaye akarudi simba na ndipo akaenda kumalizia mpira wake kule jangwani kwa 'vijisenti' vya gulamali.
Mogella ni miongoni mwa wachezaji wachache wa miaka hiyo wasio na elimu waliongalia mbele. Pamoja na mpira wa wakati ule mchezaji uliishiwa 'kusifiwa' yeye alitengeneza future yake. Ukiacha wachezaji wachache wenye elimu kama tenga, mtemi, mwalusako, gumbo na wachache wengine ambao wako au waliendelea kuwa kwenye ajira. Hivi mlishawahi kukutana na jellah mtagwa hivi karibuni? Kumbuka huyu ni mchezaji pekee ambaye picha yake iliwahi kuwekwa kwenye stamp. Hivi mmewahi kumuona hussein ngulungu hivi karibuni? Nani alikuwa kama ngulungu pale pan african, nasikia ni mlinzi wa godown ya mohamed enterprises pale morogoro. Ukimuona peter tino na mdogo wake gebo pale kariakoo utawasikitikia. Wale wenye elimu angalau ya kidato cha nne, tenga amekuwa akijaribu kuwatumia pale tff kama kuwa makamishna wa mechi mbali mbali na kamati za ufundi au kufuatilia matukio. Ukienda pale tff karume utawakuta wamepanga foleni wakitaka kumuona tenga, sasa sijui wote hao atawapeleka wapi?
Nenda leaders club siku za jumamosi utawakuta wamejaa tele, kazi 'kubom' safari baridi. Nawashukuru sana tbc, itv na star tv angalau wamekuwa wakiwachukua kuwa makomenteta wa mechi mbali mbali zinazoonyeshwa na vituo hivyo. I hope huwa wanalipwa kidogo. Maana hii bongo we iache tu! Kuonekana kwenye kioo ni 'ujiko' so sitashangaa nikisikia malipo huwa ni kuonekana kwenye luninga tu! Ila sasa sio kila mchezaji anaweza kuwa mfuatiliaji mzuri wa mpira, juzi tbc walimleta dotto ruta mokili, nikajiuliza huyu jamaa wamemuokota wapi? Bulyaga au imasco? Maana alikuwa hajui hata anachokisema sembuse anachotuambia!
Kwanini hatufili kwamba mafisadi hawa walimtanguliza Mwalimu hakini, iliuwanja uwe wazi kwao, kwani kansa ya damu ni moja ya silaha, zilizotumika na KGB. Mchezo haukuanza kwa Balali tuu.
Vipi wakuu waliopo uk tunasikia Nico Njohole yuko huko ni mgonjwa jee kuna yoyote anaefahamu habari zake
Ni kweli Nico bado ni mgonjwa kule UK; ila uzuri ni kwamba maumivu yamepungua kiasi cha kwamba ametoka hospitali (ICU), na sasa anajiuguza nyumbani. Nitaendelea kuwapa maendeleo ya hali yake kwa kadri nitakavyozipata toka uingereza.