Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

lakini inasemekana alikula fedha yetu ya EPA toka kwa Jeetu na ndio maana harusi ilikuwa ya kukata na shoka tayari kwa urais!!!

- "Lakini inasemekana & pengine huko mahakamani", ahsante kwa more great thinking mr. Great Thinker I mean talking about kukwazika naamini kila mtu ana macho hapa ya kuona nani ana matatizo ya kukwazika, pole sana mkuu Mr. Great Thinker!

- Keep on coming soon nitakupatia exactly what you want,watu wengine hivi kwa nini huwa hamjionei huruma, I mean wewe mwenyewe Mungu nisaidie kujikweza kweza tu ahhgrrr! maneno mengi hoja hamna tizama hoja zako zilivyo pumba,

"
kwani aliyewatuhumu inasemekana anaushahidi!! At that point these will not be allegations any more!!"

- Nasikia kutapika mkuu!


Respect.


FMEs!
 
nakushukuru sana mtoa hii mada nimekupa na thanks kabisa umenikuna ipasavyo
be blessed
 
nakushukuru sana mtoa hii mada nimekupa na thanks kabisa umenikuna ipasavyo
be blessed
Ukizingatia wewe ni mwanamama na aliyetuma hii thread ni mwanume, tafuta lugha nzuri ya kutumia, shemeji hasije kuchinja mtu.
 
Ukizingatia wewe ni mwanamama na aliyetuma hii thread ni mwanume, tafuta lugha nzuri ya kutumia, shemeji hasije kuchinja mtu.

hahaha umeanza kufukua fukua mwisho na shemeji aone
hii ni lugha tu inapanuka Kaitaba
 

Nakumbuka nikiwa darasa la sita mwishoni mwa miaka ya 80 ndipo nilipoanza kusoma vitabu vya hadithi vya kina Willy Gamba na kadhalika. Lakini mojawapo ya vitabu vya ''true stories'' nilivyosoma kilikuwa ni hicho kinachohusu kesi ya uhaini. Nilikuwa bado mdogo kiumri na kielimu pia kuweza kupambanua mwenendo mzima wa kesi hiyo.

Natamani nikipate kitabu leo hii nikisome upya!
 
Daaaaaaaaaaaaa nimekumbuka mbali kweli kweli..........
 

Mkuu sauti ya umeme huonekani siku hizi tuna miss sana michango yako kulikoni ?.
 

Mkuu comment yako nimeikubali kinoma huu ndio ukweli tukubali tukatae
 
we lazima uliwahi kufika IRINGA , Maana unanikumbusha enzi za Railway IRINGA. Kama inavyoonekana hapo juu.

Mabasi haya Yamenikumbusha enzi zile tunasoma bure. Unatoka mtwara unaenda sekondari ihungo bukoba, unapewa government warranty unasafiri bure mabasi ya kamata na TRC, train. kweli pale ndo tulikuwa tunajenga umoja na uzalendo pamoja na JKT. Hongera Nyerere na Chadema mnaotaka kurudisha hadhi ya elimu na kujenga utaifa, umoja na uzalendo
 
slaa kaiweka vizuri sana hiyo
 
Did he tender resignation in his own will or forced to tender resignation to safe guard interest of himself, ruling party and the president who chose him to the post
 

yeah this is the man of action i appreciate for what he did
 
huyo CHILUBA amewahi kufanya kazi kwenye mashamba ya mkonge tanzania kama administrater,huyu jamaa ana pair nyingi za viatu kuliko hata Imelda Marcos

how are you sure?????
Chiluba was the President of Zambia, so you preferred him to have seven pairs only??? please be fair to F. Chiluba
 
Thread hii ni muhimu sana within this next 7-days kwa sababu historia ni kutazama tulikotoka na kulinganisha na tulipo ili tuweze kujua tunakokwenda.

Hivyo kumbukumbu hii ya picha muhimu kama hizi, inaweza kusaidia kusalvage baadhi ya kura kwa symphathy ya those good old days, otherwise 'la kuvunda....
 



Mkuu, huyu mzee alikuwa mtata kweli nafikiri hakuna mtu aliyemfikia katika kujifanya mwafrika mzungu, maji yake aliyokuwa anakunywa yalikuwa imported toka kwa mama UK.
Sijui siku hizi yuko vipi? Mtoto wake kaolewa na Kheri Mark Bomani nafikiri enzi hizo asingeweza kukubali
 



Hii inatumkumbusha
1. Kulikuwa na nchi kama nchi na serikali, na amani na raisi mwenye mamlaka kamili. Nchi ya somalia ilikuwa na heshima
2. John Samwel Cigiyemisi Malecela alipokuwa na akili timamu na kufanya mambo ya heshima chini ya Mwl nyerere kabla akili haijabadilika na kuwa corrupt chini ya Raisi mwinyi na heshima yake kuporomoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…