Kafara
JF-Expert Member
- Feb 17, 2007
- 1,396
- 425
Mkuu Kibunango,
Heshima mbele sana na ubarikiwe, lakini hapa kule Michuzi wamekosea, hii ya kwanza ni Yanga mix, kati ya watoto na wakubwa na ilikuwa mechi na timu ya Fluminense, kutoka Brazil uwanja wa taifa, hawa Yanga ni kina:-
1. Waliosimama kutoka kushoto:-
Boi Wickens, Juma Pondamali, Zitto Kiaratu, Adolph Rishad, Abdulrahaman "Mpishi" Juma "Captain", Omar Kapera, Jaffari Abdulrahaman, Hussein Mkweche, Muhidini Fadhili.
2. Waliochuchumaa kutoka kushoto:-
Gordian Mapango, Moshi, Mohamed Yahaya "Tostao", Kitwana Manara "Popat", Leornad Chitete, Kassim Manara, Adam Juma, Muhaji Mukhi.
- Hii ni Yanga kwa sababu, Zitto Kiaratu, Boi Wickens, Abdulrahaman Juma, Muhidin Fadhil, Moshi, Chitete, Adam Juma, hawakuwahi kuichezea Pan African hata mara moja.
Mkuu Kibunango, heshima mbele tena mkuu, na salute!.
yanga na fluminence kama sikosei ilikuwa mechi y kwanza ya zitto kiaratu kuichezea yanga tangu atoke cosmo. nakumbuka sana mechi hiyo kwani siku hiyo game ilimkubali haswa zitto.