Tukumbushane kazi alizofanikisha Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

Tukumbushane kazi alizofanikisha Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

[emoji119][emoji119][emoji119]. Umesahau mafanikio mengine ya JK ni;
1. Magorofa ya makazi ya wanajeshi kila kambi nchi nzima
2. Usafiri wa polisi nchi nzima (Land Cruiser 1200)
3. Vituo vya afya nchi nzima
4. Vyuo vikuu kutoka 8 hadi 40 nchi nzima
5. Mikopo ya elimu ya juu mpaka kufikia [emoji817]
Hii itakua akili ya bia, hujui unenalo or story za vijiweni...haya tutajie kambi zote za jeshi alizozijengea magorofa ukiacha za Daslama ambazo nazo sio zote na hayo magorofa aliyojenga ambayo wajeda wanayaita vibiriti.

Au hivyo vio vikuuu 40, kabla ht hatujaenda kwenye ma land cruser, maana huyu mtu wenu alinununua magari ya kuwashawasha 700 kwa ajili ya uchaguzi na baada ya hapo hayajawahi kutumika popote.

And last hili swala la mikopo linanipa mashaka na Elimu yako, km sijakosea utakua chuo kikuu unakiskia tu redioni maana sisi tulisoma chuo na kufukuzwa chuo mara2 2006/2007 baada ya JK kubadili utaratibu wa mikopo ulioachwa na Mkapa wa 100% mpaka kwenda kwa ma group ya A-100%, B-80%, C-60% na kwa wale waliosoma private kukosa kabisa mikopo tunakushangaa.
 
Hii itakua akili ya bia, hujui unenalo or story za vijiweni...haya tutajie kambi zote za jeshi alizozijengea magorofa ukiacha za Daslama ambazo nazo sio zote na hayo magorofa aliyojenga ambayo wajeda wanayaita vibiriti.
Au hivyo vio vikuuu 40, kabla ht hatujaenda kwenye ma land cruser, maana huyu mtu wenu alinununua magari ya kuwashawasha 700 kwa ajili ya uchaguzi na baada ya hapo hayajawahi kutumika popote.

And last hili swala la mikopo linanipa mashaka na Elimu yako, km sijakosea utakua chuo kikuu unakiskia tu redioni maana sisi tulisoma chuo na kufukuzwa chuo mara2 2006/2007 baada ya JK kubadili utaratibu wa mikopo ulioachwa na Mkapa wa 100% mpaka kwenda kwa ma group ya A-100%, B-80%, C-60% na kwa wale waliosoma private kukosa kabisa mikopo tunakushangaa.
Kuanzia Arusha huku kambi zote za Monduli, Tengeru elekea Dar hivyo viberiti vyote kuanzia wami hapo Kihangiko nenda hadi Dar..labda uniambie wewe kambi ipi hajajenga makazi ya wanajeshi, sio lazima yawe ya viberiti, hata ya chini..nenda kisarawe. Nenda nchi nzima utakuta amejenga makazi ya Jwtz. Wanaita magorofa ya mchina. Kitu ninachoona ni kwamba wewe hujatembea au exposure yako ndogo sana. Mikopo tunajua bajeti ilikuwa kubwa sana,hiyo miaka uliyosoma hiyo ya 2006 mi ndo nilikuwa namalizia elimu ya juu na nilipata mkopo 💯, labda kama wewe ulikuwa kilaza hukustahili kupata mkopo 💯..watu walikuwa wanasomeshwa hadi Masters na PhD ndani na nje ya nchi kwa mkopo. Amekuja Magu ndo akaanza ungese wake kuanza ubaguzi wake, mara watoto waliosoma shule za academy hawatakiwi wapate mikopo, masters wakanyimwa..yote hiyo ni kupunguza watu wanaotakiwa kupata mikopo. Kuhusu Land cruiser, kipindi cha uchaguzi ziliingizwa 1200 pamoja na hayo mawashawasha unavyosema, lakin ziliingia,labda wewe uniambie vitu 5 tu alifanya Magufuli na vimeisha kwenye miaka 6 aliyokaa. HAKUNA. Zaidi ya kukopa maradufu,alikuta nchi inadaiwa trillion 36 toka ipate uhuru, miaka zaidi ya 50, amekufa ameiacha inadaiwa trillion 59. Amekopa trillion 23 peke yake kwa miaka 6 tu..huku akiwadanganya wajinga kuwa kila kitu anafanya kwa fedha za ndani
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Ukitoa Dar, Arusha, Dom na ZnZ heb niambie hivyo vibiriti vipo wapi tena? Ngerengere Moro havipo, Nenda Brigade Tabora hakuna kitu, Nenda Nyasaka Mwanza hakuna hivyo vibiriti, Nenda Musoma mambo ni yale yale the list goes on and on...
Tuje issue ya Mikopo, nlitaka tu nikufahamishe kozi nliyosoma cut off point yake ilikua 1.8 ya PCM now go and figure out ukilaza wangu of which haikua kigezo cha kupata mkopo, kigezo kilikua masomo ya sanyansi kwanza, then km ulisoma private ama lah, thus why kuna watu walikua na 1.3-9 wanasoma laws, tele, computer science/Engineering na still tulipata 80-60% ya mkopo.

Wakati wa Mkapa kulikua na program ya watu kwenda kusoma China, India, Ukraine & Urusi...2007 JK akaiondoa, kuna wanangu walikua Ukraine ikabidi warudi home coz serikali iligoma kuwalipia malazi & Matumizi na usafiri pamoja na kwamba walipata scholarship. Hivyo hivyo serikali ya JK ilisimamisha kulipia watu wa masters na PHD.
Now turudi kwenye deni la Taifa...by the time Mkapa anaondoka aliacha deni la taifa likiwa 10T JK akalipaisha mpaka 36T...26T added

...ukitaka upate mizania mizuri nani alikopa zaidi mikopo iweke kwenye USD na thamani ya miradi iliyofanyika, huwezi ukalinganisha mikopo iliyokopwa wakati exchange rate ikiwa 1300usd na mkopo wakati exchange rate ikiwa 2300 USD.
The only President who did well ktk hili ni Mkapa tu, yeye ndo alilikuta deni na akalishusha.
I bet miradi yote iliyotajwa ktk huu uzi haizidi thamani ya mradi mmoja tu wa umeme wa Mwalimu Nyerere...
 
35. Alituletea Chuma Shujaa wa Afrika 💪🔥🇹🇿
 
Wewe utakuwa mgonjwa wa akili kabisa!
Yaani miradi yote iliyotajwa izidiwe na Bwawa la Nyerere? You are kidding!

By any standard,kwenye public infrastructure,hakuna raisi wakumzidi Kikwete. Kikwete alijenga miundombinu mingi mno zikiwemo zaidi ya kilomita 14,000 za lami.

Huo mradi wa Bwawa la Nyerere unaweza kulingana na barabara za lami kilomita 1,500 tu!
 
Wewe utakuwa mgonjwa wa akili kabisa!
Yaani miradi yote iliyotajwa izidiwe na Bwawa la Nyerere? You are kidding!

By any standard,kwenye public infrastructure,hakuna raisi wakumzidi Kikwete. Kikwete alijenga miundombinu mingi mno zikiwemo zaidi ya kilomita 14,000 za lami.

Huo mradi wa Bwawa la Nyerere unaweza kulingana na barabara za lami kilomita 1,500 tu!
Wewe ndio mgonjwa wa akili...as we speak Tanzania ina km 12k za tarmac road(source Tanroads)...izo 14k alijenga hewani?
km awamu zote zimejenga 12k, yy amejenga 14k, hao maraisi wengine walijenga km ngapi?
lets say hawakujenga kabisa, izo 2k za ziada zimepotelea wapi?
Ulivyo kilaza hujui ht km 1Km ya Lami ina cost how much na lile bwawa limetu cost how much.
Kifupi 1km of a tarmac road ni 1B so izo 1500k zitacost 1.5T while lile bwana litatucost 6T.
Now tafta thamani ya hio miradi iliyo orodheshwa hapo juu do the add uone km inafika 6T.
JF is a home of Great thinkers not vilaza km ww, rudi fb huku umepotea...[emoji1787][emoji1787]
 
Huo mradi wa Nyerere hela inatoka wapi? Magufuli alipokosa hela akaingia kupora fedha za watu kwenye mabenk, bereau de change, kuteka watu matajiri ili amalize miradi yake. May he rot in hell!!
 
Huo mradi wa Nyerere hela inatoka wapi? Magufuli alipokosa hela akaingia kupora fedha za watu kwenye mabenk, bereau de change, kuteka watu matajiri ili amalize miradi yake. May he rot in hell!!
Of all the points umeiona hio tu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya jibu na hoja nyingine km mimi nlivyojibu hoja zako...unamuombea a rot in hell utadhani unajua if he made peace with maker or not...mwenzio b4 he died alifanya sala ya toba na pengo & sheik mkuu but ww je una uhakika siku yako ikifika utapata nafasi km yake au ndo utakufa kifo cha Ghafla na dhambi zako...Chunga ulimi bro, hakuna aujuae mwisho wake.
 
Wamama kukosa vitanda hodil na kulala chin
Mishahara kuchelewa
Watu kuchukua ela ya mboga
Wanafunzi kufukuzwa shule kisa Ada
Madaktar kugoma
Walim kugoma
Hospital kukosa madawa
 
Wewe ndio mgonjwa wa akili...as we speak Tanzania ina km 12k za tarmac road(source Tanroads)...izo 14k alijenga hewani?
km awamu zote zimejenga 12k, yy amejenga 14k, hao maraisi wengine walijenga km ngapi?
lets say hawakujenga kabisa, izo 2k za ziada zimepotelea wapi?
Ulivyo kilaza hujui ht km 1Km ya Lami ina cost how much na lile bwawa limetu cost how much.
Kifupi 1km of a tarmac road ni 1B so izo 1500k zitacost 1.5T while lile bwana litatucost 6T.
Now tafta thamani ya hio miradi iliyo orodheshwa hapo juu do the add uone km inafika 6T.
JF is a home of Great thinkers not vilaza km ww, rudi fb huku umepotea...[emoji1787][emoji1787]
Hebu niambie hapa Magufuli amejenga hata barabara gani moja tu ya kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine. Barabara MOJA tu aliyokamilisha kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine, just imagine JK amejenga barabara zote za kuunganisha mikoa yote nchi nzima, lakin Magufuli alishindwa kujenga hata barabara moja zilizobaki za Kigoma- Katavi, Tabora- Katavi, Barabara moja tu ndani ya miaka 6 !Acha kudanganya wajinga.. tafuta wajinga wenzako
 
Nimekuambia nitajie miradi mitano tu ambayo Magufuli ameifanya na ikaisha ndani ya miaka 6, just imagine miaka 6!. Miradi Mitano tu...usilete story mobb
 
Hilo bwawa amelimaliza amefariki sidhani hata kama wametumia tilioni moja kazi kubwa aliyoacha imekamilika ni ya kuchepusha maji ambao wametumia bilioni mia mbili na tisini sasa unaposema miradi yote haifikii gharama ya bwawa la mwl nyerere wakati hakumaliza unashangaza mzee
 
Back
Top Bottom