Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Msoga square tuliza nyeoAsante kwa sahihisho, nitaitoa by editing
Wewe ni mhanga wa propaganda zake. Ni kawaida ya Magu kubadilisha kila anachokikuta wenzie wamefanya. Angalia alivyobadili biashara ya korosho. Termina III haikukwama, sikubaliani na wewe kabisa kwa kuwa ilikuwa 80%+, unansemaje ilikwama.Nonsense😎mradi ulikuwa umeshabuma,bila JPM kuingilia kati mpaka leo ungekuwa haujamalizika.Umesahau mambo gani aliyakuta pale baada ya kutembelea ule mradi upipokuwa umesimama?
kwa hyo waziri alikuwa anamlazimisha mh. rais..!😟🥺75% ya list hiyo ilifanywa na JPM kwa kulazimisha akiwa waziri wa ujenzi😜!
Jakaya alifanikiwa kukaa angani kwa masaa mengi zaidi kuliko hata rubani wa ndege mashuhuri!
pengine jamani yy alikuwa mke wa mkandarasi usimbishie kma ulikwama.👀Wewe ni mhanga wa propaganda zake. Ni kawaida ya Magu kubadilisha kila anachokikuta wenzie wamefanya. Angalia alivyobadili biashara ya korosho. Termina III haikukwama, sikubaliani na wewe kabisa kwa kuwa ilikuwa 80%+, unansemaje ilikwama.
Ukitoa Dar, Arusha, Dom na ZnZ heb niambie hivyo vibiriti vipo wapi tena? Ngerengere Moro havipo, Nenda Brigade Tabora hakuna kitu, Nenda Nyasaka Mwanza hakuna hivyo vibiriti, Nenda Musoma mambo ni yale yale the list goes on and on...
Tuje issue ya Mikopo, nlitaka tu nikufahamishe kozi nliyosoma cut off point yake ilikua 1.8 ya PCM now go and figure out ukilaza wangu of which haikua kigezo cha kupata mkopo, kigezo kilikua masomo ya sanyansi kwanza, then km ulisoma private ama lah, thus why kuna watu walikua na 1.3-9 wanasoma laws, tele, computer science/Engineering na still tulipata 80-60% ya mkopo.
Wakati wa Mkapa kulikua na program ya watu kwenda kusoma China, India, Ukraine & Urusi...2007 JK akaiondoa, kuna wanangu walikua Ukraine ikabidi warudi home coz serikali iligoma kuwalipia malazi & Matumizi na usafiri pamoja na kwamba walipata scholarship. Hivyo hivyo serikali ya JK ilisimamisha kulipia watu wa masters na PHD.
Now turudi kwenye deni la Taifa...by the time Mkapa anaondoka aliacha deni la taifa likiwa 10T JK akalipaisha mpaka 36T...26T added
...ukitaka upate mizania mizuri nani alikopa zaidi mikopo iweke kwenye USD na thamani ya miradi iliyofanyika, huwezi ukalinganisha mikopo iliyokopwa wakati exchange rate ikiwa 1300usd na mkopo wakati exchange rate ikiwa 2300 USD.
The only President who did well ktk hili ni Mkapa tu, yeye ndo alilikuta deni na akalishusha.
I bet miradi yote iliyotajwa ktk huu uzi haizidi thamani ya mradi mmoja tu wa umeme wa Mwalimu Nyerere...
Kuna vitu umeviandika lakini haviko katika contextUkitoa Dar, Arusha, Dom na ZnZ heb niambie hivyo vibiriti vipo wapi tena? Ngerengere Moro havipo, Nenda Brigade Tabora hakuna kitu, Nenda Nyasaka Mwanza hakuna hivyo vibiriti, Nenda Musoma mambo ni yale yale the list goes on and on...
Tuje issue ya Mikopo, nlitaka tu nikufahamishe kozi nliyosoma cut off point yake ilikua 1.8 ya PCM now go and figure out ukilaza wangu of which haikua kigezo cha kupata mkopo, kigezo kilikua masomo ya sanyansi kwanza, then km ulisoma private ama lah, thus why kuna watu walikua na 1.3-9 wanasoma laws, tele, computer science/Engineering na still tulipata 80-60% ya mkopo.
Wakati wa Mkapa kulikua na program ya watu kwenda kusoma China, India, Ukraine & Urusi...2007 JK akaiondoa, kuna wanangu walikua Ukraine ikabidi warudi home coz serikali iligoma kuwalipia malazi & Matumizi na usafiri pamoja na kwamba walipata scholarship. Hivyo hivyo serikali ya JK ilisimamisha kulipia watu wa masters na PHD.
Now turudi kwenye deni la Taifa...by the time Mkapa anaondoka aliacha deni la taifa likiwa 10T JK akalipaisha mpaka 36T...26T added
...ukitaka upate mizania mizuri nani alikopa zaidi mikopo iweke kwenye USD na thamani ya miradi iliyofanyika, huwezi ukalinganisha mikopo iliyokopwa wakati exchange rate ikiwa 1300usd na mkopo wakati exchange rate ikiwa 2300 USD.
The only President who did well ktk hili ni Mkapa tu, yeye ndo alilikuta deni na akalishusha.
I bet miradi yote iliyotajwa ktk huu uzi haizidi thamani ya mradi mmoja tu wa umeme wa Mwalimu Nyerere...
Hahahahaha naunga mkono hoja! Gonga Meza Executives75% ya list hiyo ilifanywa na JPM kwa kulazimisha akiwa waziri wa ujenzi😜!
Jakaya alifanikiwa kukaa angani kwa masaa mengi zaidi kuliko hata rubani wa ndege mashuhuri!
Huyu jamaa ni kilaza wakutupwa kwaza magufuli wake mpaka anafariki sidhani kama hilo bwawa limaliza tilioni hata m
Point yako ni nini? Ushubwada upi nimeandika ambao wewe hukubaliani nao? Form six nilikuwa na II ya point 10. Ningeweza jiunga chuo chochote..nikaamua kusoma Wildlife Management Mweka. UD wanaweza kuwa na kozi kama hiyo? Nimekutana na watu wengi walikimbilia UD mwisho wa siku waliishia kusoma kozi za kijinga tu..Mara Public management, English, Arts (kuigiza). Mtu anakubali asome kozi yoyote mradi tu eti yupo "UD". Sasa ndo inazalisha wasomi uchwara kama wewe. Ndo maana umeamua kufanya personal attacks badala ya kujibu hoja kwa hoja. Nataka uniambie miradi mitano mikubwa ambayo ameifanya Magufuli na imeisha ndani ya miaka 6...la sivyo shut up!! Just shut up. Idiot!Umeandika ushubwada. Nina mashaka na elimu yako ya juu unayojinasibu! Umepata Elimu ila umekoswa akili! But all in all by that time u said to acquire higher education, only Cream of the nation admitted to UDSM walikuwa sio vilaza dizain yako!
Hapo kwenye kuunganisha unachemka enzi za unanijua mie ni Nani jamani kweli.Mengi sana yanasemwa kuhusu mafanikio ya Mwendazake kama vile watangulizi wake hawakufanya lolote. Kimsingi JK amefanya kazi kubwa sana. Kimsingi amefanya hata kazi za awali kwa yale aliyoyakamilisha Mwendazake kama uwanja wa Terminal III, Daraja la Mfugale, Daraja la Kijazi, SGR na barabara za Dar es Salam Metropolitan Project.
Mambo "kiduchu" aliyofanya Jakaya;
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.
Hawa wanaomtukana na kusema kuwa hakufanya chochote zaidi ya wizi na ufisadi walikuwa wanaishi nchi gani?
Hivi huyo wanaemtukuza amefanya jambo gani kubwa linalofikia hata robo ya mkubwa aliyoyafanya Kikwete?
Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.
👉Kubwa zaidi lingine aliwaunganisha watz kwa pamoja bila kujali vyama vyao tofautu na sasa ambapo mpinzan anaonekana kama adui.
Mzee pole Sana kwa huyo jamaa kukushambulia. Binafsi namie nilihama shule kipaji ili nikasome pcm Mana Kuna alama ilipelea badala ya A nikawa na B na SoMo ilo. So eti nibaki kipaji kulinda jina nisome pcb nije kuwa mtu wa afya na huku haipo moyoni mwangu pia SoMo la biolojia na mamkwe kwangu mpaka kesho. Nikahama nilipiga msuli matokeo yanakuja Nina kakijiti huku Wana kibao wanazo 2 ,3 mpaka basi. Afu ishu ya kuwa cream ni innovations zako. Mtu amesoma amefanya Nini. Tumpe heshima aliyevumbua elimu wewe na mie tumesoma historia za wengine walifanya Nini basi unakariri njia walizofanya wakapitia na wewe unazifuata. Baadaye unajipiga kifua kuwa umesoma.Point yako ni nini? Ushubwada upi nimeandika ambao wewe hukubaliani nao? Form six nilikuwa na II ya point 10. Ningeweza jiunga chuo chochote..nikaamua kusoma Wildlife Management Mweka. UD wanaweza kuwa na kozi kama hiyo? Nimekutana na watu wengi walikimbilia UD mwisho wa siku waliishia kusoma kozi za kijinga tu..Mara Public management, English, Arts (kuigiza). Mtu anakubali asome kozi yoyote mradi tu eti yupo "UD". Sasa ndo inazalisha wasomi uchwara kama wewe. Ndo maana umeamua kufanya personal attacks badala ya kujibu hoja kwa hoja. Nataka uniambie miradi mitano mikubwa ambayo ameifanya Magufuli na imeisha ndani ya miaka 6...la sivyo shut up!! Just shut up. Idiot!
Hio sio legassyMengi sana yanasemwa kuhusu mafanikio ya Mwendazake kama vile watangulizi wake hawakufanya lolote. Kimsingi JK amefanya kazi kubwa sana. Kimsingi amefanya hata kazi za awali kwa yale aliyoyakamilisha Mwendazake kama uwanja wa Terminal III, Daraja la Mfugale, Daraja la Kijazi, SGR na barabara za Dar es Salam Metropolitan Project.
Mambo "kiduchu" aliyofanya Jakaya;
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.
Hawa wanaomtukana na kusema kuwa hakufanya chochote zaidi ya wizi na ufisadi walikuwa wanaishi nchi gani?
Hivi huyo wanaemtukuza amefanya jambo gani kubwa linalofikia hata robo ya mkubwa aliyoyafanya Kikwete?
Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.
[emoji117]Kubwa zaidi lingine aliwaunganisha watz kwa pamoja bila kujali vyama vyao tofautu na sasa ambapo mpinzan anaonekana kama adui.
Badala ya kusema Magufuli kafanya Nini.. wenyewe wananishambulia elimu yangu, bila kusema ni point gani nimekosea. Watu wanatetea legacy ambayo haipoMzee pole Sana kwa huyo jamaa kukushambulia. Binafsi namie nilihama shule kipaji ili nikasome pcm Mana Kuna alama ilipelea badala ya A nikawa na B na SoMo ilo. So eti nibaki kipaji kulinda jina nisome pcb nije kuwa mtu wa afya na huku haipo moyoni mwangu pia SoMo la biolojia na mamkwe kwangu mpaka kesho. Nikahama nilipiga msuli matokeo yanakuja Nina kakijiti huku Wana kibao wanazo 2 ,3 mpaka basi. Afu ishu ya kuwa cream ni innovations zako. Mtu amesoma amefanya Nini. Tumpe heshima aliyevumbua elimu wewe na mie tumesoma historia za wengine walifanya Nini basi unakariri njia walizofanya wakapitia na wewe unazifuata. Baadaye unajipiga kifua kuwa umesoma.
Pole bana naona jamaa akakushambulia mpaka basi.sijui Ana stress
Alituletea PombeMengi sana yanasemwa kuhusu mafanikio ya Mwendazake kama vile watangulizi wake hawakufanya lolote. Kimsingi JK amefanya kazi kubwa sana. Kimsingi amefanya hata kazi za awali kwa yale aliyoyakamilisha Mwendazake kama uwanja wa Terminal III, Daraja la Mfugale, Daraja la Kijazi, SGR na barabara za Dar es Salam Metropolitan Project.
Mambo "kiduchu" aliyofanya Jakaya;
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.
Hawa wanaomtukana na kusema kuwa hakufanya chochote zaidi ya wizi na ufisadi walikuwa wanaishi nchi gani?
Hivi huyo wanaemtukuza amefanya jambo gani kubwa linalofikia hata robo ya mkubwa aliyoyafanya Kikwete?
Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.
[emoji117]Kubwa zaidi lingine aliwaunganisha watz kwa pamoja bila kujali vyama vyao tofautu na sasa ambapo mpinzan anaonekana kama adui.