Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We muhuni ndio umeniharibia dem wangu aliyeniacha kijjnBlock D 2006 tujuane.
Nilikuwa na kadem ka sociology kalikua kanakaa Block A.
Basi ulikuwa mwendo wa kuchedana tu.
Popote ulipo Rose B, mueleze ukweli mumeo Mimi memento ni nani
Kwa mpemba wali wanaweka hamiraaaKwa mpemba bibo pale piga sana pilau samaki, wali mixa.....muda wote pamejaaa, kama bdo wapo wale watu wamepga sana hela palee
Mzee siku tetemeko nilikuwepo. Ulikuwa ni upepo mkali kisha ikapiga radi kisha umeme ukakatika."Tetemeko" kati ya 2013 au 2014 kumbe upepo tu mkali vigorofa vya mkoloni vikayumbaaa....siku hiyo ilikua kama vita na alama kwny kidole mbaka leo ninayo kukimbizana kwny ngazi mle kushuka chini kila mtu anaokoa maisha yake.
Kama ingekua lile jengo kuanguka kweli siku ile ingekua noma snaa mana imagine chumba cha watu wanne mnalala zaidi ya 20 na ni kawaida kubebana na wengine magodoro yanawekwa chini ya uvungu wa kitanda. Usiku yanavutwa sakafuni watu walale.
Kama kulala kwa shifti hivi alooo😁😁na macbook yangu hata sikukumbuka huyo nikasepa ila haikupotea mana lile purukushani halikua la kawaida kila mtu alikua anataka kuokoa roho yake.
Hall II kule juu kabisa gorofani kulikua na kama kastoo hivi, basi wadau wengine walikua wanaishi kama chumba tu. Kushindia mikate na chai semista nzima kawaida tu na mtu anatoka na ufaulu mzuri kabisa wazee wa COET
Wakishuaaaa wakishuaaaTuliokuwa tunakula Hill Park tujuane
Eh kumbe, sijawahi fuatilia..kweli nilitumwa Chuo kusoma😃Mrembo ulikuwa hujihusishi kabisa na mazingira yako eh? Hall 7, Ground Floor ilikuwa ya wanaume hususani walemavu. Waliwekwa ground floor ili kuwalinda warembo mnaokaa floor za juu.
Ndo niniNANI ANAZIKUMBUKA "TOSTI"
Kwa hiyo ww umesoma UDSM enzi hizo pale kituo cha basi kontena kulikuwa na Kontena??,umesoma UDSM ile kabla ya mti mdigrii haujapandwa??au ile UDSM ya msosi bure mboga bure???ulisoma UDSM ipi???UDSM ambayo ili uchaguliwe kusoma kozi fulani baada ya kuwa admited lazima upige pepa harafu unapita mchujo??😂😂😂
Hongera mkuu.Reg No. ...../T.96
kama haujakaa mabibo hostel hauwezi kuzijua izo ndudeNdo nini
Nimekaa miaka 2 sijawahi kuzisikiakama haujakaa mabibo hostel hauwezi kuzijua izo ndude
Bumu la 2500 mbona juzi juzi tu mkuu around early 2000's.Wakati huo bila shaka wali mbogamboga ulikuwa 250/=
HahahaBumu la 2500 mbona juzi juzi tu mkuu around early 2000's.
Field elfu 8 kwa siku.
Stationary 120,000/=
Miezi miwili unapewa 270,000/= (150,000 kwa siku 60 + Stationary 120,000/=)
We wa enzi zangu, mi FCM. Kunji kama kunji ni kawaida.FoE, Contena liko unaliona.. Kunji lilifika Jamhuri Street Wizarani.
Kumbu kumbu haikotoki we mzeeMzee siku tetemeko nilikuwepo. Ulikuwa ni upepo mkali kisha ikapiga radi kisha umeme ukakatika.
Nakumbuka tulihisi ghorofa limekatika yaan Sisi tulikuwa floor ya nane...
Tukaenda Chini. Baada ya shoruba kuisha wengine tukagoma kurudi juu
Kamanda wangu Kapachino
Ile room yangu floor 6 1289 ndo jk alikua anaishi pia
Mzee siku tetemeko nilikuwepo. Ulikuwa ni upepo mkali kisha ikapiga radi kisha umeme ukakatika.
Nakumbuka tulihisi ghorofa limekatika yaan Sisi tulikuwa floor ya nane...
Tukaenda Chini. Baada ya shoruba kuisha wengine tukagoma kurudi juu
Kamanda wangu Kapachino