Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Kuna mazingira ya kupata honors. Kumantain gpa inahusika zaidi. Au chuo kuwa achievement fulani ktk mwaka miaka uliyokuwa chuoni.
Mimi nina honors ya udsm kwa ninavyoelewa mimi ni gpa kupanda lets say mwaka wa kwanza ulipata 3.0 mwaka wa pili 3.5 mwaka wa tatu 3.8 mwaka wa nne 4
 
Muhuni nimepiga udsm 3 years ila sikumbuki jina hata la lecturer mmoja zaidi ya huyu jamaa alikua anapigisha sociology yuko mtandaoni mahusiano motivation speaker... nilikua nakuja kupiga pepa tu chuo na kukusanya madesa

always unanikuta na begi kuubwa mgongoni limejaa ushenzi wa mtaani tu... wakusoma walikua wananiona muhuni tu sijakaa mabibo wala main campus...

daah i wish ningejichanganyaga na life ya chuo yani sikuwaga hata na dem wa chuo mi kitaa tu...

Any way niko kitaa life linasonga mazaga yanapatikana inshallaah tutaulrudi tena kusoma tupate hizo experience zilizotupita
Wewe ulikuwa kama mimi tulikuwa wote shadow campus nakumbuka kwenye graduation kuna demu alinishangaa " kumbe na wewe tumesoma wote"
Ilikuwa full kitaa nilikuwa na hiace 3 nazisimamia naendesha toyota hilux 2.4 jumamosi nilikuwa natimba mabibo hostel kuchukua masela kwenda bilcanas.
Kwenye group presentation nilikuwa nachangia kuprint .
Nilisoma kikauzu sana
Nilikuwa ka si mwanafunzi na sikuwahi kusup.
Sikumbuki kama nilishawahi kukaa na wenzangu kufanya sijui group discussion
Sikuwahi kuwa na dem udsm. Nakumbuka watu walikuwa wamegoma chuo kimefungwa (ishu ilikuwa kupinga mswada wakuanzisha bodi ya mikopo) hata sijui naibuka chuo mojakwamoja hadi lecture theater 1 kwenye kipindi nashangaa hamna watu kuuliza watu nje naambiwa wewe vipi jana kulikuwa na bonge la kunji watu tumepigwa mabomu na chuo kimefungwa nikabaki naduwaa nawacheki masela wangu wa mabibo wananiambiwa saa 8 mchana wanatakiwa wasionekane hapo hostel wakaniomba niwahifadhi ikabidi niwafate niwahifadhi kwangu
 
Wewe ulikuwa kama mimi tulikuwa wote shadow campus nakumbuka kwenye graduation kuna demu alinishangaa " kumbe na wewe tumesoma wote"
Ilikuwa full kitaa nilikuwa na hiace 3 nazisimamia naendesha toyota hilux 2.4 jumamosi nilikuwa natimba mabibo hostel kuchukua masela kwenda bilcanas.
Kwenye group presentation nilikuwa nachangia kuprint .
Nilisoma kikauzu sana
Nilikuwa ka si mwanafunzi na sikuwahi kusup.
Sikumbuki kama nilishawahi kukaa na wenzangu kufanya sijui group discussion
Sikuwahi kuwa na dem udsm. Nakumbuka watu walikuwa wamegoma chuo kimefungwa (ishu ilikuwa kupinga mswada wakuanzisha bodi ya mikopo) hata sijui naibuka chuo mojakwamoja hadi lecture theater 1 kwenye kipindi nashangaa hamna watu kuuliza watu nje naambiwa wewe vipi jana kulikuwa na bonge la kunji watu tumepigwa mabomu na chuo kimefungwa nikabaki naduwaa nawacheki masela wangu wa mabibo wananiambiwa saa 8 mchana wanatakiwa wasionekane hapo hostel wakaniomba niwahifadhi ikabidi niwafate niwahifadhi kwangu
Kwa maisha ya chuo wewe ulikuwa lugumi aka mutu ya pesa
 
Kuna mama mmoja pale Mabibo Hostel aliitwa Mama Mwarabu.Chapati zake zilikuwa kubwa na tamu.Nimekumbuka mbali sana
 
"Tetemeko" kati ya 2013 au 2014 kumbe upepo tu mkali vigorofa vya mkoloni vikayumbaaa....siku hiyo ilikua kama vita na alama kwny kidole mbaka leo ninayo kukimbizana kwny ngazi mle kushuka chini kila mtu anaokoa maisha yake.

Kama ingekua lile jengo kuanguka kweli siku ile ingekua noma snaa mana imagine chumba cha watu wanne mnalala zaidi ya 20 na ni kawaida kubebana na wengine magodoro yanawekwa chini ya uvungu wa kitanda. Usiku yanavutwa sakafuni watu walale.

Kama kulala kwa shifti hivi alooo😁😁na macbook yangu hata sikukumbuka huyo nikasepa ila haikupotea mana lile purukushani halikua la kawaida kila mtu alikua anataka kuokoa roho yake.

Hall II kule juu kabisa gorofani kulikua na kama kastoo hivi, basi wadau wengine walikua wanaishi kama chumba tu. Kushindia mikate na chai semista nzima kawaida tu na mtu anatoka na ufaulu mzuri kabisa wazee wa COET
 
"Tetemeko" kati ya 2013 au 2014 kumbe upepo tu mkali vigorofa vya mkoloni vikayumbaaa....siku hiyo ilikua kama vita na alama kwny kidole mbaka leo ninayo kukimbizana kwny ngazi mle kushuka chini kila mtu anaokoa maisha yake.

Kama ingekua lile jengo kuanguka kweli siku ile ingekua noma snaa mana imagine chumba cha watu wanne mnalala zaidi ya 20 na ni kawaida kubebana na wengine magodoro yanawekwa chini ya uvungu wa kitanda. Usiku yanavutwa sakafuni watu walale.

Kama kulala kwa shifti hivi alooo😁😁na macbook yangu hata sikukumbuka huyo nikasepa ila haikupotea mana lile purukushani halikua la kawaida kila mtu alikua anataka kuokoa roho yake.

Hall II kule juu kabisa gorofani kulikua na kama kastoo hivi, basi wadau wengine walikua wanaishi kama chumba tu. Kushindia mikate na chai semista nzima kawaida tu na mtu anatoka na ufaulu mzuri kabisa wazee wa COET
Hall 2 lift ilishaponaga?
 
Wewe ulikuwa kama mimi tulikuwa wote shadow campus nakumbuka kwenye graduation kuna demu alinishangaa " kumbe na wewe tumesoma wote"
Ilikuwa full kitaa nilikuwa na hiace 3 nazisimamia naendesha toyota hilux 2.4 jumamosi nilikuwa natimba mabibo hostel kuchukua masela kwenda bilcanas.
Kwenye group presentation nilikuwa nachangia kuprint .
Nilisoma kikauzu sana
Nilikuwa ka si mwanafunzi na sikuwahi kusup.
Sikumbuki kama nilishawahi kukaa na wenzangu kufanya sijui group discussion
Sikuwahi kuwa na dem udsm. Nakumbuka watu walikuwa wamegoma chuo kimefungwa (ishu ilikuwa kupinga mswada wakuanzisha bodi ya mikopo) hata sijui naibuka chuo mojakwamoja hadi lecture theater 1 kwenye kipindi nashangaa hamna watu kuuliza watu nje naambiwa wewe vipi jana kulikuwa na bonge la kunji watu tumepigwa mabomu na chuo kimefungwa nikabaki naduwaa nawacheki masela wangu wa mabibo wananiambiwa saa 8 mchana wanatakiwa wasionekane hapo hostel wakaniomba niwahifadhi ikabidi niwafate niwahifadhi kwangu
Haha noma sana mkuu life flani hivi yani
 
Sintosahau nilipata kitanda hall 2 nikawauzia madogo flani wa kiarabu kwani mimi nilikuwa nimepanga mtaani madogo wenyewe nilikuwa hata siwajui kasheshe ikawa kwenye kurudisha baada ya chuo kufungwa ikabidi nichukue kitaani kigodoro na ufunguo kwa ajili ya kurudisha usab ya akina kusaja
kusaja msenge sana
 
Block D 2006 tujuane.

Nilikuwa na kadem ka sociology kalikua kanakaa Block A.

Basi ulikuwa mwendo wa kuchedana tu.

Popote ulipo Rose B, mueleze ukweli mumeo Mimi memento ni nani
Acha hizo.Utavunja ndoa za watu...
 
Back
Top Bottom