Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Asee RB, sisi tumekuta inauzwa 900/-
Shuttle pori ilikuwa muhimu sana. Lakini mtaani Msewe ilikuwa bata zaidi baada ya watu kuhamia mtaani mwaka wa pili.
Ila UDSM wanakula vichwa sana ase sitoisahau😂😂
Hahaaa RB ulisikie linanukia uwe mfuko upo tofauti halafu unapiga UE pale Manzese. Unaiona supplementary hii hapa
Nimekumbuka mbali mnooo
 
Hahah ulitisha sana Mkuu.

Itakuwa haukuwahi kupata sup ndio honours.

Mimi bhana sikuwahi pata 3.0 GPA kubwa nlipata 2.7 semester ya kwanza, na nilipata A na B+ moja tu baada ya hapo sikuwahi kuona A wala B+.
Honours hawangalii sup, muhimu ku-maintain GPA au iwe ikipanda kila mwaka.
 
Block D 2006 tujuane.

Nilikuwa na kadem ka sociology kalikua kanakaa Block A.

Basi ulikuwa mwendo wa kuchedana tu.

Popote ulipo Rose B, mueleze ukweli mumeo Mimi memento ni nani
Nlikaa block D miaka yote tulikuwa rukichungulia madem block B au C sikumbuki vizuri walikuwa wajinga kinyama wakifika wanafungua madirisha wanalala uchi kabisa na walijua huwa tunawaangalia walitufanyia makusudi
 
Mkuu ulikua unasoma course gani mpaka uka-disco....

Mkuu mi sikua nasoma course ngumu, nilikua nasoma education so nadhan sikua poa tu kishule... Advance nilipga one ya hgl na chuo nikawa nasoma English language but still Cl nilipata B plain Ile kwa kukaza sana, lecture naelewa ikija Pepa chari
Aah wewe ulikuwa mkali mz, mimi somo nilikuwa nalikubali ni ile CT mia na ngapi sijui (Computer) na ndio nilifaulu hiyo na kozi nyingine mojawapo. Baada ya hapo ikawa ni makarai, D na E za kutosha.

Ni mimi tu nilikuwa na mambo mengi nje na shule.

Nilikuwa napiga Botany Mkuu.
 
Hahaaa RB ulisikie linanukia uwe mfuko upo tofauti halafu unapiga UE pale Manzese. Unaiona supplementary hii hapa
Nimekumbuka mbali mnooo
Hahah nilisahau hili chimbo ase umenikumbusha Manzese😀
 
Honours hawangalii sup, muhimu ku-maintain GPA au iwe ikipanda kila mwaka.
Nimekupata vema Mkuu.

Though kwa kesi ya mwamba umeona mwaka wa kwanza 3.1, wa pili 2.9 na wa mwisho 3.0 hapo honours wameichukua vp?

Ama sivyo itakuwa huwekwa kwa watu wote.
 
Really..why so?
Pengine ni mazingira yetu.

Tukiwa shule tunatumia lugha hii kuelewa darasani na si kwa ajili ya mawasiliano pia baada ya shule ukiingia mtaani/ kazini ndio unasahau kabisa maana huko ni Kiswahili tu.

Msala naupata nchi za watu sasa full time ni Kiingereza na ndio lugha ya mawasiliano shughuli yake sio kidogo kwa sisi tuliokuwa hatuzingatii kipindi tunapiga chuo.
 
Nimekupata vema Mkuu.

Though kwa kesi ya mwamba umeona mwaka wa kwanza 3.1, wa pili 2.9 na wa mwisho 3.0 hapo honours wameichukua vp?

Ama sivyo itakuwa huwekwa kwa watu wote.
Honours hawapewi wote, pengine wana kigezo cha ziada. Sup haihusiki kabisa.
 
Sintosahau nilipata kitanda hall 2 nikawauzia madogo flani wa kiarabu kwani mimi nilikuwa nimepanga mtaani madogo wenyewe nilikuwa hata siwajui kasheshe ikawa kwenye kurudisha baada ya chuo kufungwa ikabidi nichukue kitaani kigodoro na ufunguo kwa ajili ya kurudisha usab ya akina kusaja
 
[emoji1787] kadegje aliwahi kutuambia pale yombo kwenye ue kwamba ana shuttle 2 za kukamata . Fikiria hapo bado hamjafanya huo mtihani wa Communication skills
Cl tulifundishwa na jamaa anaitwa ndoloi kama sijakosea alikuwa anaulambia
 
Back
Top Bottom