Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Udsm ni noma yaani A level nilipata one lakini still chuo nikapata GPA ya kijinga 3.0...... Halafu with honours cjui mantiki ni nini!
Hahah ulitisha sana Mkuu.

Itakuwa haukuwahi kupata sup ndio honours.

Mimi bhana sikuwahi pata 3.0 GPA kubwa nlipata 2.7 semester ya kwanza, na nilipata A na B+ moja tu baada ya hapo sikuwahi kuona A wala B+.
 
Waanzilishi wa kunji David Silinde, Odong Oduar, Stephen Owawa.
umewasahau mtatiro na bush mzee wa 'nitazikwa utawala' baadae akaajiriwa udsm hapohapo...enzi za kwenda kulala road baada ya mwanafunzi kugongwa pale mabibo, yalipigwa mabomu tulifyatuka concorde ikasome, ile siku ya kwenda kuzuia magari sababu ya ajali vilitembea viboko mle blocks kwa wasioenda ilikuwa lazima kwenda acha kabisa...kipindi fulani chuo kizima mutu zikatimuliwa
 
Mambo ambayo sitayasahau pale Mabibo hostel2006-09:

1.Kipigo alichokipata Kibaka Mbele ya Block E.

2.Kifo cha mwanafunzi Bertha,aliyechomwa kisu na mpenzi wake.

3.Bata (ulevi) cafeteria,nasikia kwa sasa hakuna pombe.

4.Sisi wapenda soka tulikua hatukosi common room kuangalia mechi za ligi kuu Uingereza Jmos na Jpili.

5.Shida ya majikpindi fulani tukawa tunanunua nje ya geti kwa 1000 kwa dumu 1 la lita20.

Kiukweli maisha yalikua bomba sana!
1. Yule jamaa walimuonea tu. Demu alimchomesha kutokana na mahusiano yao ya kimapenzi. Bahati nzuri jamaa alipona.
2. Kifo cha Bertha Mwarabu ,siku hiyo kilikuwa na live concert viwanjani Mabibo Hostel, akina FIid Q n.k
3. Common rooms mlikuwa hamzifanyii ustaarahu. Mito inahamishiwa vyumbani kulalia badala ya kukaliwa common room. Ilishinfikana kuhamisha yale makochi tu🤣
 
Toka mabibo hostel mpaka chuo utumie 3 hrs, chuo mwaka wa pili unabanana kwenye kitanda kimoja mtu mbili na boom unapata!!

Mliishi maisha magumu sana, waliosoma udsm na wanetoka mikoani wengi ushamba hua hauwaishi hata wamalize miaka hiyo 3 nadhani hiyo kukaa hostel muda mwingi inachangia.
 
Hahah ulitisha sana Mkuu.

Itakuwa haukuwahi kupata sup ndio honours.

Mimi bhana sikuwahi pata 3.0 GPA kubwa nlipata 2.7 semester ya kwanza, na nilipata A na B+ moja tu baada ya hapo sikuwahi kuona A wala B+.
Mkuu nadhan shule ya udsm ilinikataaga tu... Nimewahi kupata sup Moja na nikashindwa kuichomoa then nikai-carry...

First year 3.1, second year 2.9 na third year 3.0.......... Overall 3.0 with honours.

Udsm shule ilinikataaga sana sijui Kwa Nini... First year nimekaa hostell main campus pale hall 5 pamoja na kusoma sana Bado matokeo yalikua yanagoma, second na third year nilikua nakaa kule msewe mitaa ya golani na usiku nilikua naenda kusoma chuo but still matokeo hamna kitu... Toka hapo ndo sikutaka mambo ya kusoma tena navmzuka wa shule umekata mpaka leo.. But namshukuru mungu siku-disco.
 
Mkuu nadhan shule ya udsm ilinikataaga tu... Nimewahi kupata sup Moja na nikashindwa kuichomoa then nikai-carry...

First year 3.1, second year 2.9 na third year 3.0.......... Overall 3.0 with honours.

Udsm shule ilinikataaga sana sijui Kwa Nini... First year nimekaa hostell main campus pale hall 5 pamoja na kusoma sana Bado matokeo yalikua yanagoma, second na third year nilikua nakaa kule msewe mitaa ya golani na usiku nilikua naenda kusoma chuo but still matokeo hamna kitu... Toka hapo ndo sikutaka mambo ya kusoma tena navmzuka wa shule umekata mpaka leo.. But namshukuru mungu siku-disco.
Hahaha.. mbona ilikuwa balaa sana ase, kwa juhudi hizo ilikuwa unyoshe sana. Huwenda kozi pia ilikuwa ya moto mno, maana mimi kozi yangu bhana kwa upande wangu na nilivyokuwa na mambo mengi ilinishinda hivyo nika-disco.

GPA ya 3.0 si haba Mkuu, ulipiga ulipambana ase.
 
Mkuu mm nimekaa msewe golani kule juu... Pale tank Kuna kamteremko then kakidaraja nadhan ndo kwa mbepera.
Hicho kipande ndicho nilikuwa nakaa pia.

Ase nilikuwa naona uvivu kinoma kwenda vipindi vya mchana mara nyingi nilikuwa nalala, kipindi kiwe asubuhi sana nitaenda na kikiisha narudi gheto hata kama kuna kingine mchana.
 
Mabibo hostel namkumbuka mama ndumbi, chapati za mpemba na kinyozi rasi sijui bado wapo maana ni miaka kadhaa imepita.
 
Hahaha.. mbona ilikuwa balaa sana ase, kwa juhudi hizo ilikuwa unyoshe sana. Huwenda kozi pia ilikuwa ya moto mno, maana mimi kozi yangu bhana kwa upande wangu na nilivyokuwa na mambo mengi ilinishinda hivyo nika-disco.

GPA ya 3.0 si haba Mkuu, ulipiga ulipambana ase.
Mkuu ulikua unasoma course gani mpaka uka-disco....

Mkuu mi sikua nasoma course ngumu, nilikua nasoma education so nadhan sikua poa tu kishule... Advance nilipga one ya hgl na chuo nikawa nasoma English language but still Cl nilipata B plain Ile kwa kukaza sana, lecture naelewa ikija Pepa chari
 
Back
Top Bottom