Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Nilianza kukaa Hall 2 floor ya 3, then second na third year nikabebwa Hall 5 floor ya nane. Fourth year nikapata room Hall 6, nadhani ni block DYeah FOE, mie nilikuwa FCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilianza kukaa Hall 2 floor ya 3, then second na third year nikabebwa Hall 5 floor ya nane. Fourth year nikapata room Hall 6, nadhani ni block DYeah FOE, mie nilikuwa FCM.
Mi nilianzia Hall 4 karibu na Chapel ground floor the hall 2 nikamalizia side room first floor Extension block.Nilianza kukaa Hall 2 floor ya 3, then second na thrid year nikabebwa Hall 5 floor ya nane. Fourth year nikapata room Hall 6, nadhani ni block D
Ilikuwa UDSM kweli kweli, SD siyo hii kama O level...Zama zile nazitaman
Sana. Enzi hizo hakuna Chuo kinatoa kozi za Civil Engineering nchini. Yaan ukichaguliwa UD full kujulikanaNa ukichagukiwa UDSM wewe kidume kweli kweli.
Siku hizi degree mpaka vichochoroni huko. Kila chuo degree.Sana. Enzi hizo hakuna Chuo kinatoa kozi za Civil Engineering nchini. Yaan ukichaguliwa UD full kujulikana
Ndo chama kinapenda.Sijui kwanini siku hizi vinasoma vitoto vidogo hadi ule mzuka wa chuo unaisha.
Halafu kichwani weupe. Niliwahi kukutana na demu kamaliza LLB anaomba nimtafutie mchongo angalau asiaibike Mjini, nikampa mchongo wa NGO ipo Chake Chake - Pemba kumpigia baada ya miezi 3 ananiambia anamkaribia kujifungua mimba ya bodaboda wa pale MikocheniSijui kwanini siku hizi vinasoma vitoto vidogo hadi ule mzuka wa chuo unaisha.
Yaani ni shida, mwaka jana mtoto wa bro alikuwa anamalizia Education si kapewa mimba na mchoma chips anarudia mwaka sasa. Shenzy taipu.**Halafu kichwani weupe. Niliwahi kukutana na demu kamaliza LLB anaomba nimtafutie mchongo angalau asiaibike Mjini, nikampa mchongo wa NGO ipo Chake Chake - Pemba kumpigia baada ya miezi 3 ananiambia anamkaribia kujifungua mimba ya bodaboda wa pale Mikocheni
Mtoto kamuacha Kwa Nani?Yaani ni shida, mwaka jana mtoto wa bro alikuwa anamalizia Education si kapewa mimba na mchoma chips anarudia mwaka sasa. Shenzy taipu.
Kamwachia mama yake, saa hii ana mwaka na ushee. Uzuri ni karibu tu Tmk.Mtoto kamuacha Kwa Nani?
HahahaYaani ni shida, mwaka jana mtoto wa bro alikuwa anamalizia Education si kapewa mimba na mchoma chips anarudia mwaka sasa. Shenzy taipu.
Uwanja wa mapepo ya kunji. Vijana hawajui maana ya kunji hahaaaUDSM sasa hivi hamna kitu aisee. Rev Square pamepandwa maua na yamestawi vizuri kabisa.
Hata watoto walioko UDSM sasa hivi hawajui kama pale panaitwa Rev Square.
We wa kiume iweje ulikaa Hall 7 ya kike?Hall 7 ground floor na Block B