Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Tutake radhi tulioanzia hall5...ila hall 5 kuchaf jaman...ile lift inanukia panya panya..inakwamaga na watu ndan
Iliwahi kunizimikia 5th floor niko namtoto namvusha kuelekea flr ya 11. Safari yetu ikaishia hapoo!
 
2004/2005 tulianzishi kunji kupinga HESLB tukiongozwa na Bahati Tweve. Safari yetu ya kuelekea Ikulu kumwona Rais Mkapa kumweleza jambo letu iliishia UCLAS hatukufanikiwa kuvuka Survey...Tulipigwa na wazee wa ngunguri hatareeeee.
Siku hiyo naikumbuka Sana.
 
Uchaguzi mmoja Daruso 2007/2008 bwana weeee, lile vibe la mgombea Odong Odwar. Akaundiwa zengwe hadi akaondolewa chuoni na kukodiwa ndege na serikali aseee
 
Haabari wadau..!
Maisha ya UDSM enzi hizo yalikuwa powa sana sijajua kwa sasa.

Tuanzie wapi ,ngoja tuanze na Boom enzi hizo lilikuwa 4000/= kwa siku ila tulivyoingia chuo ikabidi tufanye mgomo Boom liongezwe watoto wa mama hawataelewa.

Maandamano yalianzia Revo Square sijuhi kama watoto wa leo wanaijua Revo Square watu wakatolewa lecture room wajoin movement watoto wa mama wakakimbia ila watoto wa mbwa tukaingia mtaani tulivyofika Mlimani City mabomu yalipigwa kama yote vile tukapoteana.

Kipindi hicho kuna wale wajamaa ndio wakuu wa vyuo wanajiita Tripple M yaani Mkandala,Mgaya na Maboko.

Mgomo ulipoisha chuo kizima tulirudishwa nyumbani kwa mda usiojulikana,baada ya kurudishwa tena sisi waanzilishi wa mgomo tukafukuzwa ila mm nikafanya harakati sikufukuzwa.

Mwaka wa kwanza nilipata room mabibo hostel pale maisha yalikuwa powa sana wale wa mwaka wa pili na kuendelea tukawa tunawabeba yaani kitanda chembamba mnalala wawili kana mpo lupango vile ,usiombe umbebe mtu mrefu.

Mwaka wa pili inabidi huwai chuo kabla akijafunguliwa ukatafute mtu wa kukubeba (kushare naye kitanda).

Ukiwa mwaka wa kwanza ni ngumu sana kupata demu wengi wanadharau mwaka wa kwanza,ila mwaka wa pili ndio mwaka wa kupata demu inabidi uliwahi konteana jipya (first year),asikwambie mtu hapa watoto wa mwaka wa kwanza wanamegeka kiurahini sana .

Boom likiingia safari za mlimani City ,Survey ,Ambiace n.k ila boom likikata tunaanza kupiga pasi ndefu kama hatuna akili nzuri hata lectures hazipandi kipindi hiki mademu wasio na msimamo wanaanza kujiuza ili wapate pesa za kujikimu,yaani kama una demu anaweza kukusaliti boom likikata.

Kipindi cha boom likikata wahuni tunaanza kugonga RB (Rice Beens) wali maharage ambao bei yake ilikuwa 600/=Boom likikata watu wanaanza kusifia wali mahatagr wa Cafe 1 na Coet ndio mtamu.Wazee wa bibo wanapiga tu shato pori mwendo wa kutembea kwa mguu toka main campus aibu washikaji wakikuona wanajua umefua.

Kuishi mabibo ni mateso hakukuwa na Kijazi Flyover foleni mtindo mmoja usishangae kutoka bibo mpk campus ukamaliza masaa zaidi ya matatu ubungo mataa.kukosa lecture au kuchelewa test kawaida kisa foleni ya ubungo mataa.
Kwamba enzi za mlimani city nayo ni zamani..
Wengine tulikuwa pale enzi Diamond Sound enzi za Igongwe na Silent In Mwenge kabla haijawa kanisa..!! Mambo ya Tazara club. Wakati huo Mlimani city ni pori na Mabibo hostel hata haiwazwi kujengwa
 
Kuna demu alikua anasoma ungwini-sociology sijui political science nimemkuta analewa pale bar ya DARUSO saa 5 usiku nimetoka zangu pCET (Sasa CoET) nikamkuta kashapiga vyombo nikamuongezea bia 2 baadae tukaongozana mpaka hall 3 nikapiga bao zangu 2 saaafi
Siyo FOE mzee mwenzangu?
 
Kuna demu alikua anasoma ungwini-sociology sijui political science nimemkuta analewa pale bar ya DARUSO saa 5 usiku nimetoka zangu pCET (Sasa CoET) nikamkuta kashapiga vyombo nikamuongezea bia 2 baadae tukaongozana mpaka hall 3 nikapiga bao zangu 2 saaafi
Ahahahahaaa Hatari. Pale CoET wakati wetu palikuwa panaitwa FoE
 
Back
Top Bottom