Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

UDSM sasa hivi hamna kitu aisee. Rev Square pamepandwa maua na yamestawi vizuri kabisa.

Hata watoto walioko UDSM sasa hivi hawajui kama pale panaitwa Rev Square.
Kmmk
Dah watoto hawatojua ile wanaita
Revoluutionn...wanaitikia...for changes... hehe...ilikuwa inafurahisha
 
Prof. Kadeghe na somo lake la CL106 communication skills, mpaka wazungu lugha ya kwao lakini walikuwa wanashikwa
Huyo fala kidogo anikerishe Cl 108,sema nikatumia mbinu flani za kijasusi sikukeri.jamaa alikua ana misifa eti anajisifu semester hii lazima nikerishe shato 5 za mabibo na 5 za campus.
 
Mambo ambayo sitayasahau pale Mabibo hostel2006-09:

1.Kipigo alichokipata Kibaka Mbele ya Block E.

2.Kifo cha mwanafunzi Bertha,aliyechomwa kisu na mpenzi wake.

3.Bata (ulevi) cafeteria,nasikia kwa sasa hakuna pombe.

4.Sisi wapenda soka tulikua hatukosi common room kuangalia mechi za ligi kuu Uingereza Jmos na Jpili.

5.Shida ya majikpindi fulani tukawa tunanunua nje ya geti kwa 1000 kwa dumu 1 la lita20.

Kiukweli maisha yalikua bomba sana!
Duh..umesoma zamani sana mkuu?sie kipindi chetu maji hayakua shida wala
 
Mambo ambayo sitayasahau pale Mabibo hostel2006-09:

1.Kipigo alichokipata Kibaka Mbele ya Block E.

2.Kifo cha mwanafunzi Bertha,aliyechomwa kisu na mpenzi wake.

3.Bata (ulevi) cafeteria,nasikia kwa sasa hakuna pombe.

4.Sisi wapenda soka tulikua hatukosi common room kuangalia mechi za ligi kuu Uingereza Jmos na Jpili.

5.Shida ya majikpindi fulani tukawa tunanunua nje ya geti kwa 1000 kwa dumu 1 la lita20.

Kiukweli maisha yalikua bomba sana!
Bertha mwarabu...sura ya upole, mwanakwaya mzuri wa TYCS, nilikuwa course moja naye,...ila Musiba akaleta msiba.
 
Unakuta mtu anatoa story anamuita mwenzake watoto wa leo
Kweli humu JF tuko na watoto wetu kabisa
Mimi hata hiyo Mabibo hostel najua maeneo lakini enzi zetu tunamaliza UDSM 1990 haikuwepo
Ila kijana wangu ninashukuru nimepata somo kuwa watoto wetu hasa wa kike wakija huko mitihani na magumu wanayokutana nayo ni mengi nimeumia sana kwa huruma.
Bahati nzuri sina mtoto wa level za huko walishakatiza ila sasa kwa wajukuu zangu nitakaza fuvu hakuna cha kukaa chuo na ada nalipa mwenyewe sitaki mtu asome kwa boom la kusimangwa
 
Back
Top Bottom