Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
[emoji3516]Siku hizi Hamjinyongi....
WANA KADHAA KUTOKA IRINGA ND'O HUWA WANAKUJA NA HUU UJINGA PALE KICHUGUUNI!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3516]Siku hizi Hamjinyongi....
[emoji3516]Kwa tuliosomea nje haya yote hatuna habari nayo.
NJAAAAAAAAAAAAAAHHHHHH!!!!!Odong nae alikuwa na nyota mganda yule! Kipindi cha kunji kabla hatujatimuliwa ilikuwa usiku main campus mtu anapiga ile 'Odooooong' kutokea hall five, sauti zinajibu kutoka hall 2 , 'Odwaaaaaaaaa', hahahaaa, ilikuwa burudani sana. Wakaja kumpiga deportation ya saa 24 naskia, wakamrudisha kwao kwa Idd Amin, na sijui ana udugu nae, maana alikuwa copy right na Idd Amin [emoji1787][emoji1787]
Kuna jamaa nilikuwa nakaa naye room alikuwa mbishi sana wa kupigika exile yaani hata aone mnashikana shikana na demu yy ajiongezi anajifanya anakura vitu vya Dr Lwambuka (R.I.P) ,ukimwambia akupishe hataki ikabidi siku moja nitafune demu mbele yake lakini mchizi akakaza tu duuh kuna watu wana roho ngumu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3516]Na mliolala auxiliary police kwa kukutwa na wasichana au wavulana baada ya saa sita usiku mjitaje pia msione aibu [emoji1]
[emoji3516]Tuliosoma Udsm wakati wa Magufuli campus tunaruhusiwa kushare?
Meteorology: 2018-2021
TAK'BIIIIIIR!!!!!Tuliosoma Muslim University of Morogoro tujuane
[emoji3516]Nani kakuambia kila asiyesoma UD ana ufaulu mdogo kaka? Unakosea sana, sasa kam mpaka div 3 wapo wanaosoma UD, sasa mimi nikihitaji kwa nini nishindwe? Hoja dhaifu hiyo bro, pia hujui nasomea kozi gani na hujui kama hapo UD ipo au haipo.
[emoji3516]Hapo pa vyuo vya uchochoroni kaka naomba nikupinge kidogo, si vyuo vyote ukiacha UD ni vya uchochoroni. UD ni chuo cha zamani(kikongwe), ila haimaanishi vingine vyote vipya baada yake ni vy uchochoroni.
[emoji3516]Basi ulikuwa unatafuna sana pisi kali za UDBS ,mm nasikitika mpk namaliza sikuwahi tafuna pisi ya UDBS [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa mkuu . Umenikumbusha Kuna watu walikuwa wanakulana uwanjani pembe I kwenye miti. Sasa nikawanyatia naona demu kakaa juu ya msela Kama kampakata hivi afu demu anakatika. Mimi nikavunga nipo bize na simu. Badae naona demu avaa chupi harakaharaka. Mara mda kidogo wakainuka na kusepa. Bwana ee nikapita maeneo walipokuwa nikakuta elfu tano . Nilicheka nikasema wasenge wamelipia gesti.Umenikumbusha mbali Sana mkuu. Kwa sisi wapenda gospel Basi kule mabibo hostel uwanjani palikuwa hapatoshi! TuliPiga maombi Sana usiku, ila Kuna watu walikuwa wanagongana hadharani huko mida ya usiku! Kuna inshu iliibuka baadae kwa jina la "Muamala" sijui Nani anakumbuka?
Alikuwa mwanao?? Jamaa ana roho ngumu na nusu aisee!Kuna jamaa nilikuwa nakaa naye room alikuwa mbishi sana wa kupigika exile yaani hata aone mnashikana shikana na demu yy ajiongezi anajifanya anakura vitu vya Dr Lwambuka (R.I.P) ,ukimwambia akupishe hataki ikabidi siku moja nitafune demu mbele yake lakini mchizi akakaza tu duuh kuna watu wana roho ngumu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ulikuwa mwaka wa ngapi yalivyokutokea hayo?Kuna jamaa nilikuwa nakaa naye room alikuwa mbishi sana wa kupigika exile yaani hata aone mnashikana shikana na demu yy ajiongezi anajifanya anakura vitu vya Dr Lwambuka (R.I.P) ,ukimwambia akupishe hataki ikabidi siku moja nitafune demu mbele yake lakini mchizi akakaza tu duuh kuna watu wana roho ngumu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nipe hints kidogo kaka, mke mwema? Kivipi?Pamoja na Elimu nzuri niliyopata UDSM Miaka kadhaa iliyopita, Ninashukuru UD & Mabibo kwa kunipatia Mke mwema [emoji847][emoji847][emoji847]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Block D na E mlikuwa walevi sana 😂😂😂😂Block D 2006 tujuane.
Nilikuwa na kadem ka sociology kalikua kanakaa Block A.
Basi ulikuwa mwendo wa kuchedana tu.
Popote ulipo Rose B, mueleze ukweli mumeo Mimi memento ni nani
Bila kumsahau BushWaanzilishi wa kunji David Silinde, Odong Oduar, Stephen Owawa.
Watu wanakojoa juu ya gorofa kwa nyumaTutake radhi tulioanzia hall5...ila hall 5 kuchaf jaman...ile lift inanukia panya panya..inakwamaga na watu ndan