Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Ila chuo kulikuwa na mambo mengi ya kujifunza nje ya masomo. Mfano kulikuwa na kaka mmoja anauza 'chupi' , akipita nje ya vyumba anaita pichu pichu. Kuna siku nikamuuliza hii kazi inakunufaisha? Akasema anasomesha wadogo zake kadhaa kwa biashara ya chupi na mambo madogo madogo hayampigi chenga! Alikuwa anavaa smart na begi lake la chupi km kabeba laptop kumbe anapiga business na inamuingizia. Heko kwake, anaambia wadada "nunueni chupi jamani , sio unavaa chupi imeisha, imechokaa, ukisimama mbele ya feni mjupi unapepea ", hahahaaaaa

Huyo jamaa inabidi mchango wake utambuliwe na kupewa shahada ya heshima ya B. W. Mkapa.
 
nipo hapa ilikuwa bumu likitoka lazima nimpeleke manzi wangu wa kichagga kula Hill Park, bumu likikata naenda kwa Bwashee pale Coet cafteria elfu 25 nakula bure semester nzima [emoji23][emoji23][emoji23]
Me ilikuwa daily ...
Boom, boy friend kibopa na mzazi alikuwa ananipatia za kutosha. Hata salary haijawah kufikia ile amount
 
Udbs wanasoma miaka minne siku hizi?
Hahaha..ayaaaa....kuna kipind nilikua na madem wa3 wote udbs...mmoja alikua anakaa kule hall7[emoji3]

Ila yale maisha dah...nikapataga lidem la conas nadhan alikua anasoma koz za botany kule au chemistry..ana mzigo balaa.

3rd yr na 4th yr nilikaa mtaan...huko ndo ilikua pika pakua...maana nilikaaga ubungo mawasiliano pale badae survey.

Ila uzur nilikua sifeli saana na nikamaliza vzur tu....september nilikua sikosi
 
Me ilikuwa daily ...
Boom, boy friend kibopa na mzazi alikuwa ananipatia za kutosha. Hata salary haijawah kufikia ile amount
Sio ndio mm boyfriend wako niliyekuwa nakupeleka Hill Park sikuwa kibopa nilikuwa naigiza tu nawe ukaamini😂😂
 
Niliwahi kwenda cafeteria ya hapa karibu na Rev square kulikuwa na bonge la foleni na ni kipindi boom limekata kwa wengi mimi sikuwa napata boom kwa hiyo nilikuwa napata kwa mzazi nilivyoona ile foleni nikasema leo nitachelewa kupiga menu nimekaa kidogo ghafla mhudumu kaja akafuta RB ha ha ha ebana eeh mstari wote ulipotea nikapata menu kwa urahisi
Ha ha ha ha ha
 
UDSM mambo ya exile, hall six nimetoka zangu kusoma kumbe mate wangu ana demu ndani, nilivyofika ninagonga mlango akafungua akatoka nje akaniomba nitafute pa kulala nikammaindi sana kwasababu hakunieleza kabla ili nijiandae kisaikolojia...nikawagongea washkaji wakaelewa.Mimi nilimpiga exile ya wiki moja kwani nilitoa demu mkoa kabisa. Uzuri alikuwa mtoto wa mama kwao Dar hivyo akawa anaenda na kurudi. 2003/4-2006
 
Mimi sitasahau jinsi tuliibiwa laptop nne room hall 4 nikiwa 1st year na ndio nilikua nmeachwa room peke yangu jioni, mida ya sa amoja nikasema ngoja niende chaap cafeteria kununua wali samaki, narudi room tu nikakuta mlango umevunjwa[emoji2364], hapo nilikua na laptop yangu mpyaaa hp haijamaliza ata mwezi mwizi kaiiiba na nyingine tatu za wengine[emoji2306]

mwaka gani.maana kulikuwa kuna mdada mmoja alijifanya kuwa anauza nguo .

nilikuwa namuona sana karikoo agrey.siku nipo mlimani ndio naona picha yake kumbe kajizi ka laptop
 
Daah Kweli Time flies I remember those good old times!! Viva hall 5, 6 & hall 2! Damn it was a time to remember 2009!!
Mkuu mimi nilikaa hall 4 na 6 kwa miaka mitatu, yaani hall 4 ni hadhi ya masaki na obey, hall 6 ni hadhi ya upanga au mbezi beach, hall 5, 2 ni hadhi ya tandika, yombo na buza na hall one at least kama manzese na migo migo hivi
 
UDSM mambo ya exile, hall six nimetoka zangu kusoma kumbe mate wangu ana demu ndani, nilivyofika ninagonga mlango akafungua akatoka nje akaniomba nitafute pa kulala nikammaindi sana kwasababu hakunieleza kabla ili nijiandae kisaikolojia...nikawagongea washkaji wakaelewa.Mimi nilimpiga exile ya wiki moja kwani nilitoa demu mkoa kabisa. Uzuri alikuwa mtoto wa mama kwao Dar hivyo akawa anaenda na kurudi. 2003/4-2006
Duuh ulimpeleka uhamishoni wiki,we kweli nyoko😂
 
Back
Top Bottom