Mkuu hii ni biashara ya wazunguπ€£π€£π€£π€£π€£Aya marazi niyakutengenezwa pia kunasiri nyingi najalibu kufikilia kama ugonjwa alipatikana kagera kwa mtu mmoja ulienea vip? Maan ilikua rahisi kuzibiti kupitia uyo mgonjwa? nawaza mbali zaid miaka ya 70 miundo mbinu haikua rafiki kusababisha muingiliano wawatu wengi, je ilikua vip ugonjwa kufika dar au mtwara? na vip kuhusu watu wa vijijini?
Siyo kwa mtu mmoja bali mtu wa kwanza alipatikana Kagera lakini haimaanishi ndiye mtu pekee aliyekuwa na UKIMWI.najaribu kufikiria kama ugonjwa alipatikana kagera kwa mtu mmoja ulienea vip?
upo sahihi mkuu miaka hiyo muingiliano wa watu haukuwepo sana kama sasaivi lakini haimaanishi watu walikuwa hachangamani kabisa,,,binadam ni tofauti na milimaAya marazi niyakutengenezwa pia kunasiri nyingi najalibu kufikilia kama ugonjwa alipatikana kagera kwa mtu mmoja ulienea vip? Maan ilikua rahisi kuzibiti kupitia uyo mgonjwa? nawaza mbali zaid miaka ya 70 miundo mbinu haikua rafiki kusababisha muingiliano wawatu wengi, je ilikua vip ugonjwa kufika dar au mtwara? na vip kuhusu watu wa vijijini?
Kwani ARV haziuzwi?Duh zama zinakaribia kurudi tena. Sijui itakuwaje ila vijana tutaangamia.
Mnakumbushana futureTukumbushane pia itakavyokuw Arv zikisua sua na kuanza kuuzwa
Anakuwaje kwaniWatoto wa 2000 hawajui mgonjwa wa ukimwi ambae yupo kitandani anakuaje
Matobo yote kwishneiMdogo wake rafiki angu alipotea
Tumekuja kumpata kumbe alienda house party huko wamejifungia siku 5 ni uzinzi tu nadhani walikuwa wanafanya group sex
Aisee watoto wa chuo wanapukutika na tamaa ndo zinawaponza
Hivi ndyo wanaita three some? πππMdogo wake rafiki angu alipotea
Tumekuja kumpata kumbe alienda house party huko wamejifungia siku 5 ni uzinzi tu nadhani walikuwa wanafanya group sex
Aisee watoto wa chuo wanapukutika na tamaa ndo zinawaponza
Huku towns hii ilikuwa ni kawaida sana mnazika hapa, hapo nyumba za jirani kuna wagonjwa kadhaa wapo ndani hoi mahututi wanasubiri masaa tu wakate kambaWatu walipukutika sana aisee. Mimi nilikuwa UDSM tukawa tunazika karibu kila baada ya siku mbili; pale Kinondoni makaburini kulikuwa na baa moja ya container wakatuzowea sana kwani baada ya mazishi wengi wetu tulikuwa tunapata moja baridi pale kabla ya kurudi zetu mlimani.
Wakati huo serikali ya Kenya ilitupatia Kemron lakini haikusaidia
Nadhani ni zaidi ya 3some maana walikuwa wengi wamekodi nyumba huko kigamboniHivi ndyo wanaita three some? πππ
Ni msibaMatobo yote kwishnei