BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Ugonjwa umekaa pabaya kala wanawake na wanawake wakaliwa na watu wengine ikasambaa. Ni uthibitisho kuwa uaminifu katika ndoa na maisha ya mapenzi haupo kwa watu wote.Aya marazi niyakutengenezwa pia kunasiri nyingi najalibu kufikilia kama ugonjwa alipatikana kagera kwa mtu mmoja ulienea vip? Maan ilikua rahisi kuzibiti kupitia uyo mgonjwa? nawaza mbali zaid miaka ya 70 miundo mbinu haikua rafiki kusababisha muingiliano wawatu wengi, je ilikua vip ugonjwa kufika dar au mtwara? na vip kuhusu watu wa vijijini?