Tukumbushane maisha yalivyokuwa kabla ARV hazijaanza kutolewa

Tukumbushane maisha yalivyokuwa kabla ARV hazijaanza kutolewa

Hahahaha 😂 sema we nawe utashangaa unabisha na ilihali umezaliwa baada ya dawa kuingia
Sasa na kagera nao wasemeje ambako ndo ulikoingilia??
Huo ugonjwa upo Tanzania nzima..!!
 
Upumbavu na ujinga wa watanzania, huo ukimwi mnaoupa airtime haujawai kuwa na madhara mnayoaminisha watu.

Shida kubwa iliyowatesa wengi ni hofu na magonjwa ya kawaida ambayo vilaza na wapuuzi waliaminisha jamii ndio hilo gonjwa la mchongo ndilo linamaliza watu.

Hata hivyo bado watanzania wasomi na wasio wasomi ni vilaza, haiwezekani taifa linazalisha maelfu ya matabibu kila mwaka lkn hakuna solution lolote miaka na miaka.

Ukimwi ni mchongo kama COVID ilivyokuwa mchongo, kilichoua watu ni malaria, TB na magonjwa mengine huo ukimwi hauna madhara na hauhusiki na vifo vyovyote, hili wenye akili timamu tu ndio watanielewa, sio watumwa wa akili.
Ukimwi ni pigo la akili+saikolojia
 
Aisee UKIMWI NI UGONJWA HATARI SANA NA UNATISHA.
Vijana, wazee, wasichana na wamama acheni NGONO.
 
- Hizi ARV zimeanza kutolewa kwenye mwaka 2003 au 2004 hapa wenye kumbukumbu sahihi mtanirekebisha. kabla ya hapo hapakuwa na dawa za kufubaza.

- Ugonjwa huu uliogopesha sana kiasi ambacho jamii haikuwa tayari kuuzungumzia. kimya kikuu kilitanda bila shaka kila mmoja akiomba kwa mola wake amuepushe na kikombe.

- Elimu kwa jamii zilitolewa zikichagizwa na picha za kilichokuwa kinaendelea mkoa wa kagera. kwa mujibu wa taswira zìle huko kagera ugonjwa ulimaliza watu wengi na wengine hata nyumba zilifungwa hakuna aliyebaki. nyumba zingine nyingi zilibaki zikiendeshwa na watoto mayatima baada ya wazazi wote kufariki.

- Kimya kingi kilitanda huku ugonjwa ukiendelea kutafuna watu kimyakimya.

- Kwenye hatua za mwanzoni wagonjwa wengi walikuwa wakionekana kupata mkanda wa jeshi yani miaka hiyo kama wewe una mkanda wa jeshi tu basi ilikuwa ni uthibitisho tosha tayari una tatizo hilo.

- Ukiona jirani yako flani haonekani hapo mtaani hiyo ilikuwa ni ishara tosha kuwa kama jirani uyo hajasafiri basi tayari uenda mambo yameshaharibika.

- Ugonjwa ulikuwa haufichiki. Ukiwa nao utajulikana tu apo kitaani kwenu. maana mwanzoni utajifungia ndani kwako lakini bdae lazma utoe ukahemee au kupata matibabu nk. ukitoka tu habari zako zinaanza kusambaa kama moto wa nyika.

- Ili kuepuka macho na vidole vya walimwengu familia nyingi ziliwapeleka mahospitali wapendwa wao mapema alfajiri sana au hata usiku.

- Familia nyingi zilikuwa zinaepuka kuwapima wagonjwa wao maana unampimaje mtu wakati unajua ugonjwa wenyewe hauna dawa. hivyo basi familia nyingi ziliishia kuuguza tu wagonjwa wao kimyakimya hadi wagonjwa anapokutana na mwisho wake.

- Wagonjwa wengi waliisha sana miili yao. hata kama ulikuwa kibonge kama pipa mwili wote utaisha kabisa unabaki kichwa ngozi na mifupa mitupu tu. ilikuwa sio ajabu kukuta mtu mwenye mwili mkubwa kama wale mabaunsa kaisha mwili wote kiasi hata usiweze kumtambua.

- Ilikuwa kawaida tu mtu mzima kabisa mwenye mwili uliojengeka vema akamalizwa na kubaki makongoro tu kiasi ambacho akilala kitandani hlf wewe ukapita apo usimuone au kujua kama pale kitandani kuna mtu amelala. najua kuna wanaozani natania lakini iyo ndio hali ilivyokuwa wakati huo.

- Watoto wengi waliozaliwa na maambukizi hawakuweza kuishi wengi walifariki baada ya muda mfupi na wachache kwa kudra za mwenyezi waliweza kuishi na wengine wako hai hata leo hii.

Hapa tunakumbushana tu hatutishani ukimwi upo tujilinde.

***Tafadhali msiuunge uzi huu tuna vijana damu changa wengi humu wanapaswa kupata ufahamu wa kule tulikotoka.
Screenshot_20250208-133206.jpg
Screenshot_20250208-133130.jpg
Screenshot_20250208-133059.jpg
Screenshot_20250208-133038.jpg
Screenshot_20250208-133114~2.jpg
Screenshot_20250208-133151~2.jpg
 
Aya marazi niyakutengenezwa pia kunasiri nyingi najalibu kufikilia kama ugonjwa alipatikana kagera kwa mtu mmoja ulienea vip? Maan ilikua rahisi kuzibiti kupitia uyo mgonjwa? nawaza mbali zaid miaka ya 70 miundo mbinu haikua rafiki kusababisha muingiliano wawatu wengi, je ilikua vip ugonjwa kufika dar au mtwara? na vip kuhusu watu wa vijijini?
Unasema miaka 70 hakukuwa na muingiliano?
Cross border businesses zilikuwa hot, mashati ya JULIANA was the hottest fashion na yalikuwa yanatoka Uganda ndiyo maana back then ugonjwa ulikuwa ukiitwa JULIANA kwa kuwa wafanyabiashara waliokuwa wakileta hayo mashati ndiyo walioanza kuugua ugonjwa huo. Ugonjwa ulitokea Uganda ukaingia mkoa wa Kagera kabla ya kusambaa nchi nzima, jina jingine la ugonjwa huo uliitwa SLIM hasa watu wa Kagera ndiyo walikuwa wakiuita hivyo kutokana na wagonjwa walivyokuwa wanakona. Ilikuwa hatari na nusu, mtu anabaki just skin and bones huku nywele zinakuwa kama za Kisomali ila nyembamba(yaani na nywele zinakonda na kusimama kama manyoya ya paka huku zikipepeapepea hata kama kaupepo ni kadogo tu ka kiuzushi)
Nguo nyingi zilizokuwa zinapendwa ambazo zilipatikana kwa wingi ilikuwa zinatoka Uganda, Rwanda na Burundi labda wajanja wa bandarini zamani wakipaita DOCKS(literally they meant DOCK) waliokuwa wakifungua containers za transit ndiyo pia walikuwa wanapata 'vidudu' vikali(vidudu=nguo) vinginevyo mshua aende mambele akirudi awaletee.
Wafanyabiashara wa kuvuka mipaka hasa border ya Mutukula ndiyo walioingiza ugongwa Tanzania.
 
Unasema miaka 70 hakukuwa na muingiliano?
Cross border businesses zilikuwa hot, mashati ya JULIANA was the hottest fashion na yalikuwa yanatoka Uganda ndiyo maana back then ugonjwa ulikuwa ukiitwa JULIANA kwa kuwa wafanyabiashara waliokuwa wakileta hayo mashati ndiyo walioanza kuugua ugonjwa huo. Ugonjwa ulitokea Uganda ukaingia mkoa wa Kagera kabla ya kusambaa nchi nzima, jina jingine la ugonjwa huo uliitwa SLIM hasa watu wa Kagera ndiyo walikuwa wakiuita hivyo kutokana na wagonjwa walivyokuwa wanakona. Ilikuwa hatari na nusu, mtu anabaki just skin and bones huku nywele zinakuwa kama za Kisomali ila nyembamba(yaani na nywele zinakonda na kusimama kama manyoya ya paka huku zikipepeapepea hata kama kaupepo ni kadogo tu ka kiuzushi)
Nguo nyingi zilizokuwa zinapendwa ambazo zilipatikana kwa wingi ilikuwa zinatoka Uganda, Rwanda na Burundi labda wajanja wa bandarini zamani wakipaita DOCKS(literally they meant DOCK) waliokuwa wakifungua containers za transit ndiyo pia walikuwa wanapata 'vidudu' vikali(vidudu=nguo) vinginevyo mshua aende mambele akirudi awaletee.
Wafanyabiashara wa kuvuka mipaka hasa border ya Mutukula ndiyo walioingiza ugongwa Tanzania.
Hii comment naomba ukashee kimasihara kule kuna vijitu vina viburi vya uzima..!!
 
Unasema miaka 70 hakukuwa na muingiliano?
Cross border businesses zilikuwa hot, mashati ya JULIANA was the hottest fashion na yalikuwa yanatoka Uganda ndiyo maana back then ugonjwa ulikuwa ukiitwa JULIANA kwa kuwa wafanyabiashara waliokuwa wakileta hayo mashati ndiyo walioanza kuugua ugonjwa huo. Ugonjwa ulitokea Uganda ukaingia mkoa wa Kagera kabla ya kusambaa nchi nzima, jina jingine la ugonjwa huo uliitwa SLIM hasa watu wa Kagera ndiyo walikuwa wakiuita hivyo kutokana na wagonjwa walivyokuwa wanakona. Ilikuwa hatari na nusu, mtu anabaki just skin and bones huku nywele zinakuwa kama za Kisomali ila nyembamba(yaani na nywele zinakonda na kusimama kama manyoya ya paka huku zikipepeapepea hata kama kaupepo ni kadogo tu ka kiuzushi)
Nguo nyingi zilizokuwa zinapendwa ambazo zilipatikana kwa wingi ilikuwa zinatoka Uganda, Rwanda na Burundi labda wajanja wa bandarini zamani wakipaita DOCKS(literally they meant DOCK) waliokuwa wakifungua containers za transit ndiyo pia walikuwa wanapata 'vidudu' vikali(vidudu=nguo) vinginevyo mshua aende mambele akirudi awaletee.
Wafanyabiashara wa kuvuka mipaka hasa border ya Mutukula ndiyo walioingiza ugongwa Tanzania.
Kuna sehemu nilishangaa muhaya anaitwa wakina kaleta kaugonjwa eti sababu ulianzia kwao wao ndio waliuvusha kutoka Uganda 😹😹😹
 
Unasema miaka 70 hakukuwa na muingiliano?
Cross border businesses zilikuwa hot, mashati ya JULIANA was the hottest fashion na yalikuwa yanatoka Uganda ndiyo maana back then ugonjwa ulikuwa ukiitwa JULIANA kwa kuwa wafanyabiashara waliokuwa wakileta hayo mashati ndiyo walioanza kuugua ugonjwa huo. Ugonjwa ulitokea Uganda ukaingia mkoa wa Kagera kabla ya kusambaa nchi nzima, jina jingine la ugonjwa huo uliitwa SLIM hasa watu wa Kagera ndiyo walikuwa wakiuita hivyo kutokana na wagonjwa walivyokuwa wanakona. Ilikuwa hatari na nusu, mtu anabaki just skin and bones huku nywele zinakuwa kama za Kisomali ila nyembamba(yaani na nywele zinakonda na kusimama kama manyoya ya paka huku zikipepeapepea hata kama kaupepo ni kadogo tu ka kiuzushi)
Nguo nyingi zilizokuwa zinapendwa ambazo zilipatikana kwa wingi ilikuwa zinatoka Uganda, Rwanda na Burundi labda wajanja wa bandarini zamani wakipaita DOCKS(literally they meant DOCK) waliokuwa wakifungua containers za transit ndiyo pia walikuwa wanapata 'vidudu' vikali(vidudu=nguo) vinginevyo mshua aende mambele akirudi awaletee.
Wafanyabiashara wa kuvuka mipaka hasa border ya Mutukula ndiyo walioingiza ugongwa Tanzania.
Umeelezea Historia vizuri sana. Naamini Vijana wa "kula tunda kimasihara "(>2000s) watakuwa wamepata picha
 
Unyanyapaa ulikuwa wa kutisha enzi hizo. Kaka yangu RIP alikosa hata mtu wa kumuogesha akawa anaogeshwa na mama yake mzazi, maana mama RIP alisema mwanangu nilimwogesha alipokuwa mdogo basi na sasa bado ni mwanangu tu. Sasa fikiria mwanaume wa miaka 40 unaogeshwa na mama yako unajisikiaje?
Pole Sana mkuu
 
Usione sooo sema nae kuhush kusubiri, kuwa muaminifu au kutumia kondom....hili kwangu mie was the best advert ever hapa bongo.

Sema ndio hivyo tena mbususu kula kwa condom ninkupiga nyeto tuu
Hata Kama Amenona,,Usipime Kwa Kuona,,Hiyo Ni Noma Utaja Ufe Kwa Ngoma,,Napenda Ishi Sipendi Mazishi,
 
Hata Kama Amenona,,Usipime Kwa Kuona,,Hiyo Ni Noma Utaja Ufe Kwa Ngoma,,Napenda Ishi Sipendi Mazishi,
Narudia tena kutomba na condom ni kupiga nyeto kuliko changamka.
Kula mbushsu kavu kavu kifa kupo tuu
 
Back
Top Bottom