Safi watu tupate utamu halisi.This time hata hizo condom zitakuwa adimu
Kigegeda na condom nikupiga nyeto tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi watu tupate utamu halisi.This time hata hizo condom zitakuwa adimu
Naomba unijuze kwa maswali haya,1.je virusi vinavyopelekea ukimwi vipo au havipo?,2.kama ukimwi haupo kwanini wale wanaopimwa nakubainika kuwa wana ukimwi,ubainika kwao pia kifua kikuuu,kuharisha mara kwa mara, kikohozi kisichokoma,kukonda sana,mafua makali???, kwanini ni wao tu?,.Upumbavu na ujinga wa watanzania, huo ukimwi mnaoupa airtime haujawai kuwa na madhara mnayoaminisha watu.
Shida kubwa iliyowatesa wengi ni hofu na magonjwa ya kawaida ambayo vilaza na wapuuzi waliaminisha jamii ndio hilo gonjwa la mchongo ndilo linamaliza watu.
Hata hivyo bado watanzania wasomi na wasio wasomi ni vilaza, haiwezekani taifa linazalisha maelfu ya matabibu kila mwaka lkn hakuna solution lolote miaka na miaka.
Ukimwi ni mchongo kama COVID ilivyokuwa mchongo, kilichoua watu ni malaria, TB na magonjwa mengine huo ukimwi hauna madhara na hauhusiki na vifo vyovyote, hili wenye akili timamu tu ndio watanielewa, sio watumwa wa akili.
Ukimwi ni pigo la akili+saikolojia
Haahaa sure waende na break. wasiwasi ndo akili yenyewe 😆😆Hii comment naomba ukashee kimasihara kule kuna vijitu vina viburi vya uzima..!!
navoona kama hawa jamaa wataacha kutupatia pesa tutachangia matibabu, sasa apo ndo mtihani sana kwa familia hoehae, kuzingatia dawa kutashuka na maambukizi mapya yatapaa.Naona tunarudi huko tena.Ukimwi hutakuwa tena ugonjwa wa kutaja taja
haya mambo ni ya kitalaam sisi wengine sio watalam tunaelezea yale yaliyotukia na tukayashuhudia wenyewe kwa macho ya uso wa nyama. nina hakika kuna watalam humu wataona hoja zako na kukujibu .Upumbavu na ujinga wa watanzania, huo ukimwi mnaoupa airtime haujawai kuwa na madhara mnayoaminisha watu.
Shida kubwa iliyowatesa wengi ni hofu na magonjwa ya kawaida ambayo vilaza na wapuuzi waliaminisha jamii ndio hilo gonjwa la mchongo ndilo linamaliza watu.
Hata hivyo bado watanzania wasomi na wasio wasomi ni vilaza, haiwezekani taifa linazalisha maelfu ya matabibu kila mwaka lkn hakuna solution lolote miaka na miaka.
Ukimwi ni mchongo kama COVID ilivyokuwa mchongo, kilichoua watu ni malaria, TB na magonjwa mengine huo ukimwi hauna madhara na hauhusiki na vifo vyovyote, hili wenye akili timamu tu ndio watanielewa, sio watumwa wa akili.
Ukimwi ni pigo la akili+saikolojia
nasikia yule mwamba aliyeigiza kwenye jeneza naye akishakufa kwa ngomaHakuonekana na binti, hakuwahi kuiasi dini, lakini alikufa kwa ngoma-mwanafA f jide
nasikia yule mwamba aliyeigiza kwenye jeneza naye akishakufa kwa ngoma
Vilainishi Vipo Vitatumika Kuondoa FriksheniNarudia tena kutomba na condom ni kupiga nyeto kuliko changamka.
Kula mbushsu kavu kavu kifa kupo tuu
haya mambo ya imani ni magumu kama jina lenyewe ''imani" lilivyo. kuna mwaka nazani 2009 alitokea tabibu uko loliondo kule umasaini akiitwa babu wa loliondo. uyu alidai kuwa na dawa inayotibu magonjwa 5 ikiwemo hiv.Kuna mtaalam anaitwa TC msingwa wa ifakara anasema anaweza kusupress viral load za HIV to non detectable
siwezi kukubishia mtazamo wako kiongozi mimi sio tabibu, naeleza tu yaliyotukia wakati uo.Hao wagonjwa walikondeshwa na kifua kikuu, typhoid, na wakikufa Kwa nimonia,shida ya Figo,vidonda vya tumbo kiufupi walinyanyapaliwa badala ya kutibiwa ,Kwa sasa ni ngumu kumkuta mtu kakonda hivyo Kwa sababu matibabu anapata
karibu kutia neno mkuu.Samalekoo wanajamvi
ni vilainishi vya bure mkuu au unamaanisha matembele na mlenda pori?Vilainishi Vipo Vitatumika Kuondoa Friksheni
Starehe Gharama,,Vya Bure Vinaponzani vilainishi vya bure mkuu au unamaanisha matembele na mlenda pori?
Tukiacha zinaa tutaliepuka hili janga hakika.Kwanini mnabase kwenye ngono tu, Chukueni tahadhari ya kuwalinda watoto pia wasichangie vitu vyenye ncha Kali e.g wembe, sindano etc.
Na sio kila mwenye HIV/AIDS alifanya ngono.
Kuna waliopata wakihudumia wagonjwa na wengine katika ajali pia.
Mwisho aliyeleta HIV/AIDS alaaniwe.
Watu wasiokuwa na hatia wamefariki kwa uchungu.
uko sawa kiongozi ila inasemwa hofu ndo akili yenyeweFear kill more than death itself