Tukumbushane maisha yalivyokuwa kabla ARV hazijaanza kutolewa

Ugonjwa umekaa pabaya kala wanawake na wanawake wakaliwa na watu wengine ikasambaa. Ni uthibitisho kuwa uaminifu katika ndoa na maisha ya mapenzi haupo kwa watu wote.
 
ni kweli mkuu makete ilikuwa balaa jingine kuliliza watu sana adi media za

Unyanyapaa ulikuwa wa kutisha enzi hizo. Kaka yangu RIP alikosa hata mtu wa kumuogesha akawa anaogeshwa na mama yake mzazi, maana mama RIP alisema mwanangu nilimwogesha alipokuwa mdogo basi na sasa bado ni mwanangu tu. Sasa fikiria mwanaume wa miaka 40 unaogeshwa na mama yako unajisikiaje?
 
Mdogo wake rafiki angu alipotea
Tumekuja kumpata kumbe alienda house party huko wamejifungia siku 5 ni uzinzi tu nadhani walikuwa wanafanya group sex
Aisee watoto wa chuo wanapukutika na tamaa ndo zinawaponza
Wanafanya mambo ya kina Pdidy
 
Mgenii, mgenii ili mgeni huyu mgeniii, mgeni kwetu ameingiaaaaa, mgeni mgenii mgeni huyu balaaaa..... huu wimbo ulikuwa unausikiliza kwa umakini mkubwa sana
 
Sasa hivi wanaimiza kutumia mipira,,kuwa na mpenzi mmoja,sio kuacha zinaa!!!!,,washauri nasahaa na watu wengine wa ajabu kweli kweli,, mhimu kuacha zinaa baasi,ndo ushauri bora sana.
Nyege mbaya na walio oa pia wana zini nje so bora watumie mpira buko nje ila ukimwi miaka ile ulikua wa kutisha sana sahv kama haupo kumbe una tu zoom tufanye ujuha na trump kazima msaada
 
iyo ilikuwa kawaida sana ishu kama iyo au kukuta kaka anamuuguza dadaake mtu mzima uko wa 30+ au dada kumuuguza kaka mtu mzima hadi anakata roho. hali ilitisha sana acheni kabisa. asante mkuu Azizat i hope wengine wanajifunza kitu kwa kusoma shuhuda kama hizi.
 
Ukiugua ugonjwa mwingine tofauti na kuanza kuharisha tu,basi taarifa zinasambaaaa kama moto wa chini ya mti wa mwembe kuwa unao.
 
Haahaa mkuu Deception na theory zake. kitambo sana hajaonekana humu.
Deception "HIV is hoax it never exists, there is no undisputed scientific evidence that proves the existence of HIV virus",

ARVs ndio zinasababisha ukimwi

Aisee nimemmiss sana deception hasa kwenye ule msiguano wake na mainstream doctors ilikuwa ni fire.
 
😁😁😁jamaa kapotea sikuhiz. sijui kapatwa na nini.
 
Ukiugua ugonjwa mwingine tofauti na kuanza kuharisha tu,basi taarifa zinasambaaaa kama moto wa chini ya mti wa mwembe kuwa unao.
ndio maana izo ndo zilikuwa homa zinazotokea sana kwa iyo shida kwaiyo ukipata maradhi tofauti ukakonda na kuhara watu walikuwa wanakuunganisha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…