Tukumbushane: Ulishawahi kuanzisha vagi au kuanzishiwa vagi Mtaani?

Tukumbushane: Ulishawahi kuanzisha vagi au kuanzishiwa vagi Mtaani?

Ilikua 2010 nimeingia Iringa hata mwezi sijatimiza kuna bar inatwa +255 unaambiwa naona wana wameniibukia kaunta wanalalama nimewaibia kishuzi chao cha chuo uyo mwenye mali kasimama pembeni pumzi za hasira zimembana lilitokea bonge la varangati nashukuru mabaunsa walikua upande wangu baada ya muda polisi wakaja kutusomba wote maana vitu kibao viliharibiwa ile tunahojiwa pale nje akaitwa yule manzi aseme kisa na mkasa duh si ndio anasema jamaa ake kachanganya ma-file alimwambia yule mwenye white shirt alafu mwamba akanivamia mimi na white t-shirt yangu ile askari kusikia ivyo walimshushia kibano mwana na kundi lake na akanilipa mpunga ambao uliniwezesha kunywa bia wiki kadhaa ila baada ya miezi kadhaa akawa swahiba angu kinoma bado yupo Iringa anafundisha Iringa Uni kila nikidondoka Iringa lazima tukae tusahau upuuzi wa maisha magumu.
Nitarudi kueleza nilivyoanzisha varangati nikiwa sec school alafu nikapoteza pambano ambalo lilinishushia P yangu vibaya mno.
 
Ilikua 2010 nimeingia Iringa hata mwezi sijatimiza kuna bar inatwa +255 unaambiwa naona wana wameniibukia kaunta wanalalama nimewaibia kishuzi chao cha chuo uyo mwenye mali kasimama pembeni pumzi za hasira zimembana lilitokea bonge la varangati nashukuru mabaunsa walikua upande wangu baada ya muda polisi wakaja kutusomba wote maana vitu kibao viliharibiwa ile tunahojiwa pale nje akaitwa yule manzi aseme kisa na mkasa duh si ndio anasema jamaa ake kachanganya ma-file alimwambia yule mwenye white shirt alafu mwamba akanivamia mimi na white t-shirt yangu ile askari kusikia ivyo walimshushia kibano mwana na kundi lake na akanilipa mpunga ambao uliniwezesha kunywa bia wiki kadhaa ila baada ya miezi kadhaa akawa swahiba angu kinoma bado yupo Iringa anafundisha Iringa Uni kila nikidondoka Iringa lazima tukae tusahau upuuzi wa maisha magumu.
Nitarudi kueleza nilivyoanzisha varangati nikiwa sec school alafu nikapoteza pambano ambalo lilinishushia P yangu vibaya mno.
Haha.... mara nyingi ukilianzisha vaagi unachezea aseeh....

Nakusubiria
 
Asante mwaya
Yah, ile dhana ya mwanamke ni kiumbe dhaifu haiswiiii siku hizi.
Wanaume wanatumia huo msemo kutuonea sana.

Yaani mtiti ambao sitakuja kuusahau ni ule wa pale Masai club.
Jikaka moja la kipemba sijui chotara lile likanitokea, mie nikamchomolea, alichofanya akaenda kununua bia kaunta, akasogea karibu yangu afu akanimiminia ile bia ndani ya maziwa, nilivaa kiblouse cha nyavunyavu kina shingo pana.
Weeeee.....nilimsukuma, nikamshika kola ya shati, alikuwa amelewa hivo anaenda tu....nikamburuta kwenye zile ngazi za kutoka nje, nilimbatua....akazima, nikasepa.
Kesho yake nashangaa askari hao home....nikajua msala wa jana Masai.
Tiwa kwenye difenda, Oysterbay.
Siku hiyo nililala maana nilipelekwa jioni.
Asubuhi yake namuona yule kaka anakuja na baba ake, wanataka niwalipe maana mwanae alipoteza wallet na simu.
Nikaanzisha tena vagi polisi nikasema yeye ndio alioanza.
Askari mmoja mtu mzima akaja, akatusikiliza akasema mwenye kosa ni yule kaka.
Kama katongoza na kakataliwa, hakukuwa na haja ya kumdhalilisha kwa kumwagia bia kwenye maziwa.

Huyooooooo nikainua makalio nikasepa na sikulipa kitu.

Wiki 2 mbele nikaenda Micasa pale Ubungo huku na huku nikakutana na yule kaka,
Akanitongoza tena ila safari hii alikuwa na adabu na hakuwa amelewa.
Mie nikakaa nae, nikanywa nae na kula nae na kucheza nae mziki club mpaka alfajiri.

Akanipa namba, nikaondoka.
Tukaanza kuwasiliana na kujikuta tumeangukia kwenye mahusiano.
Tulidumu kama mwaka na nusu, then alivyoondoka kwao Pemba ndio ikawa mwisho wetu.
Hiyo ndio raha....mwanaume anakuheshimu kutokana na mazingira aliyokupatia, anajua akizingua tu....vagi.
Sio anakukuta wa geti, anajua we boya.

Huyo best wako nimempenda bure....hakuna kuonewa onewa hapa.
Hapa ndio napo wanyooshea wanawake mikono.. Umepiga wee ama umetukana Mwishoni unatoa kirahisi

Sio wewe kweli Mafia and Fish ulimpasua jamaa yako na chupa halafu hakufanya kitu akawa katulia tu midamu imejaa kwenye T-shirt baadae ukaanza kulia?

Madam wewe ni shujaa
 
Ulishawahi fumaniwa?
Hapana sijawahi ila niliwahi kuginganishaa ,[emoji4] [emoji4] aseee we acha tu wanaume walitwangana makonde, mie nduki[emoji125] [emoji125] [emoji125] mbya zaidi walikuwa ndugu asee kile kitu siwezi sahau, but sikuwahi kutembea nao sema wote walikuwa wananitaka
 
Inatia sana hasira ujue.
Umeliandaa danga kulipurura pesa, naye kajiandaa kupokea manjonjo.
Ghafla inatokea ishu kama hiyo.
Anakupeleka home, anakuachia pesa ya supu tu, baadae anakwambia naomba tuachane maana naona ule mchezo mlipanga ili mnichomoe pesa, ila mmekuja kwa step mbaya.
Bye...
Nili-mute kwanza
teh teh bhana madame mbavu zangu ujue
 
Pole....ulikuwa ni muoga sana jamani.
Kwahiyo kama huyo rafiki yako hayupo, unabondwa au!!
Pole sana.
Mie yaani sikubali kabisa.

Nakumbuka wakati nasoma Mtwara girls, kipindi tuko form 2, tulienda Mtwara tech kucheza mechi, mwisho wa siku tukafungwa.....weeee, lilianzishwa vagi, mie na kundi letu ndo vinara, piga sana form one, yaani ilikuwa mtiti.

Kufika shule, ikapigwa rollcall, mie na kundi langu la kaole tukatolewa mbele kula bakora.
Nahisi kuanzia pale ndio nikawa nunda.
Ilikuwa niko radhi nisafiri mpaka Litingi kushuhudia vagi.
Dah!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana aisee vngne vya kuzaliwa mi ckupewa ujasiri huo na bahati nzuri ckuwa mkorofi xo mpka itokee nimekwazana na MTU ni kipind kirefu kitapita!!

Sema kuna vichwa kama chako yaani wao bila ugomvi au kuchokoza wenzao hawana aman xo hawa
ndo walikuwa wanakutana na best yngu ngumi jiwe akikupiga lzma utoke damu[emoji23] [emoji23] mpka sasa tumekuwa ndugu na cjawahi kuwa na rafiki tena zaidi yke pa1 na tofauti zetu kitabia ila tunaheshimiana xna na hyo tabia yke ya ugomvi tu but vngne tunaenda sawa sana!!

Mi nikiona tu hpa kunadalili ya ugomvi napotea haraka sana hta nymban nikijua nimekosea bax kabla mama hajauliza naanza kujisemelea hku nikilia na misamaha kibao atanisamehe mwnywe dad angu hajawahi nigusa nimpole mno!!mi naogopa kupgwa jmn we nikiona dalili za kupgwa nakuwa mpole mno!!!
 
Hapana sijawahi ila niliwahi kuginganishaa ,[emoji4] [emoji4] aseee we acha tu wanaume walitwangana makonde, mie nduki[emoji125] [emoji125] [emoji125] mbya zaidi walikuwa ndugu asee kile kitu siwezi sahau, but sikuwahi kutembea nao sema wote walikuwa wananitaka
Hapo nakudai. Kwanini utwanganishe vidume badala uvipe ukaviacha
 
Back
Top Bottom