Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
monkeyView attachment 402172kuna hii pia...ilikua na jina lake ila nimelisahau...adi wahusika nilikua nimeweka majina ya kichwani enzi izo ila nimesahau yote [emoji2] [emoji2] [emoji2]
monkeyWakuu itifaki lazima izingatiwe msimsahau shivooo kwenye ile tamthiliya ya kichina kama sikosei inaitwa a journey to the west
Hako apo mkuu
hiyo hiyoHii ndio ya yule bibi mchawi?
Steve wa family mattersView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Kipindi hicho vipindi vilikuwa bomba..Wana jamvi leo nimeona japo turevew miaka hii ya nyuma vipindi vya television enzi zile 1994 kuibukia miaka ya 2000. Binafsi nakumbuka mbali sana hasa vipindi vya television ITV mfano Egoli place of Gold, 21 jump Street, Time trax, movie ya V, Rino Renz, vichekesho Kama Fresh Prince of bell air, family matters, Living Single ya Queen Latifa, Tausi ya mjuba, Vitimbi(masakuu, Ojwang' Othrong'ong'o) Vioja Mahakamani, Mambo hayo ya kina Waridi, Sumbi, bocha na Aisha. Pia kulikuwa na Tamthiliya kama The young and the restless, Sun seat beach, na Acapulco bay.
Aidha nakumbuka tulikuwa tunaangalia UEFA kupitia CFI(Canal France International). Matangazo nakumbuka kama Revola, komoa, lotion ya Jambo, hebu vingine mnisaidie CTN na DTV. Je kipindi kile watangazaji unawakumbuka? Wa ITV, CTN, na DTV. Mimi kwa itv namkumbuka Suzan Mongi nilimpenda sana sana. Karibuni tuflash back jamani.
na charityTamthilia ya The passion, nmemkumbuka timmy, bibi mchawi tabitha, kay, miguel, simone
Pia The crow
Monica Mfumia na Sunday ShomariVipindi vya muziki kama vile jam n delic na rithimix
Halafu nilikua napenda kipindu cha the africa journal cha Itv kila j2 yaan kilikua kzur sanaa
CTN ya wapi? Dtv niliwahi ichekNimekumbuka Cheka na CTN
Steve Urkel. Jina halisi Jaleel WhiteJamaa alikua anaitwa nani mkuu