Scale
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 2,116
- 2,616
Sunset Beach ilikuja kuwa na Adult scene nyingi ikawa inakatwakatwa mpaka nadhani ITV wakaiondoa hewani.Acapulco bay, sunset beach na pia days of our lives namkumbuka sana ahmed kipozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sunset Beach ilikuja kuwa na Adult scene nyingi ikawa inakatwakatwa mpaka nadhani ITV wakaiondoa hewani.Acapulco bay, sunset beach na pia days of our lives namkumbuka sana ahmed kipozi
Nilikuwa naiogopa halafu Mdogo walikuwa wananifanyia makusudi dada zangu ikianza imefika pa kutisha wananituma chumban kwenye Giza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ule mchezo i mean tamthiliya ya kibuyu sijui kama kuna anaeikumbuka aiseee nilikua naogopa si mchezo nilikua naangalia huku nimeziba macho kwa mikono halafu nachungulia
'Alikuwa anaitwa steveView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Daaah brooo, umenikumbusha mbali sanaaaaa....sanasana the pointman, yani I wish to go back...Hanging with Mr. Cooper
View attachment 402157
Perfect strangers
View attachment 402158
Family Matters
View attachment 402159
Robocop
View attachment 402160
Dark Justice
View attachment 402161
Pointman
View attachment 402162
Kwa kipindi hicho local TV zetu zilikuwa na vipindi vizuri sana mtu hata hufikirii kutafuta channel za nje
Ilikuwa na Adult scenes nyingi sana! Hata kimaadili haikufaa under age kuangalia mfano kuna jamaa anaitwa Cole alikuwa anamkula mama mkwe wake, denda nje nje!nakumbuka sun seat beach ilikua ikianza tunafukuzwa kulala
Tnt zilikuwa movie flani za ukweli sana,nakumbuka mbali sana aiseeCTN walikuwa na movie fulani za kizamani sana, zilikuwa zinaitwa TNT Classic Movies. Nilikuwa napoteza muda sana kuziangalia hizi. [emoji3][emoji3][emoji3]
Hapo nimemkumbuka john black tu aiseeJohn Black, Marlena Evans, Bo brad,Bill, Stefano Dimera,Jenifer, Victor Kiriakis,Hope,Austin,Christina Dimera,Sami Brady,Lucas nk...Haki ya nani ulikuwa hunitoi sebulani ikishaanza
hata mimi nimemkumbuka ben.. nahisi zaman kulikua na uhuru flani wa vyombo vya habari mana hata ITV ilikua ikionyesha filamu za ngono usikuIlikuwa na Adult scenes nyingi sana! Hata kimaadili haikufaa under age kuangalia mfano kuna jamaa anaitwa Cole alikuwa anamkula mama mkwe wake, denda nje nje!
Hataree babuTime Trax
The Point man
Egoli
rino lens
Long time sanaaaa bishanga mashaijaBishanga na waridi ( Mambo Hayo )
![]()
Sting alikuwa noma sanaLa mujer de mivida.na pia kulikua na kitu cha chuck noris walker Texas ranger kila ijumaa si mchezo ,mieleka ya akina nick freno,mysterious,chriss benat na chriss Jericho bila kumsahau sting aliekua anataka unga usoni kila jumapili ilikua nzuri sana
Yeah Ben alikuwa na kabinti karembo kanaitwa Meg!hata mimi nimemkumbuka ben.. nahisi zaman kulikua na uhuru flani wa vyombo vya habari mana hata ITV ilikua ikionyesha filamu za ngono usiku
Kumbe tupo wengi class of 1994Nakumbuka ITV walipozindua tu wakaanza na World Cup 1994 USA. nilikuwa nakesha sitting room peke yangu hadi alfajiri, wakati huo nikiwa kidato cha nne.
Steve harkoJamaa alikua anaitwa nani mkuu
Hako apo mkuu