Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mkuu kibuyu nilikua nikishaangalia kama sijaoga siogi tena mana nikuogopa kwa kwenda mbele namkamatia maza simwachiii huku nimefunga macho hadi kesho yake ilikua inatisha sana hasa kwa Umri tuliokua naoKuna ule mchezo i mean tamthiliya ya kibuyu sijui kama kuna anaeikumbuka aiseee nilikua naogopa si mchezo nilikua naangalia huku nimeziba macho kwa mikono halafu nachungulia
La mujer de mivida.na pia kulikua na kitu cha chuck noris walker Texas ranger kila ijumaa si mchezo ,mieleka ya akina nick freno,mysterious,chriss benat na chriss Jericho bila kumsahau sting aliekua anataka unga usoni kila jumapili ilikua nzuri sanaSijawahi kutazama telenovela za ukweli kama Camila na La muje de Lorenzo,tangu hapo sijaangalia tena,kwa matangazo la jambo lotion lilitisha...na wewe je? Mimi naitwa jambo doogoo
Ilikua saa mbil kasoro usiku sikos ITV kuangalia ile kituAdventures za kusimumua za Michael Power....!!!
Hahaaa, si tuliita ile ya kinyani bila hata kuelewa nini walikuwa wanaongea ila matukio yalifurahishaView attachment 402172kuna hii pia...ilikua na jina lake ila nimelisahau...adi wahusika nilikua nimeweka majina ya kichwani enzi izo ila nimesahau yote [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Katika matangazo nilokuwa nayapenda moja wapo la revola.Mimi nishasahau aiseee
Halafu nilikua napenda kipindu cha the africa journal cha Itv kila j2 yaan kilikua kzur sanaaIlikua saa mbil kasoro usiku sikos ITV kuangalia ile kitu
Bila kusahau na tangazo la salama condom na nyimbo yake ile nzuri.Kipindi hicho tulikua tunakariri nyimbo zotw za matangazo kama sigara Sm sigara sweetmenthol ni maarufu tanzania yoteee nimesahau maneno,taifa letu tanzania,gazeti letu tanzania mnakumbuka?revolaaa aaa revolaaaa,ule wimbo w chai jaba pia
Bila kusahau makala za Toyota world of wildlife zilikuwa poa sanaLa mujer de mivida.na pia kulikua na kitu cha chuck noris walker Texas ranger kila ijumaa si mchezo ,mieleka ya akina nick freno,mysterious,chriss benat na chriss Jericho bila kumsahau sting aliekua anataka unga usoni kila jumapili ilikua nzuri sana
Kile cha saa moja na nusu usiku kumbe na wewe kazee enheeHalafu nilikua napenda kipindu cha the africa journal cha Itv kila j2 yaan kilikua kzur sanaa
Jamaa anaitwa steve,vichekesho ni Familly matters!View attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Hahahaha weeee uzee mwsho chalinze[emoji28][emoji28][emoji28]mm w 2000[emoji28][emoji28][emoji58]usnizibie rizk[emoji28][emoji28][emoji28]Kile cha saa moja na nusu usiku kumbe na wewe kazee enhee
kelvinView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Ilikuwa ni igizo flani la vichekesho la kina mzee small na jamaa mmoja alikuwa na kigugumizi hivi cjui ndo mwanachia aliitwa!Cheka na ctn ilikuwa inahusu nini mkuu
Kama ulielewa Africa journal kipind kile Leo hii uwe kigor wap na wap? Usituibie hapaHahahaha weeee uzee mwsho chalinze[emoji28][emoji28][emoji28]mm w 2000[emoji28][emoji28][emoji58]usnizibie rizk[emoji28][emoji28][emoji28]