babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
Kuna tamthiliya ilikuwa inaitwa passion,pia kulikuwa na the bold and beautfully
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nilikua naona picha tu sielew kitu mm kigoli mbich kabsaaKama ulielewa Africa journal kipind kile Leo hii uwe kigor wap na wap? Usituibie hapa
Ha ha asee ilikuwa na kasound track flan hviNeighbours ITV ilikuwa bonge la tamthilia
Ha ha ha nshakuaharbia wewe tayar mzee mwenzetu tu bora ungesema enzi zako ni za Ben ten na spider man [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nilikua naona picha tu sielew kitu mm kigoli mbich kabsaa
Aliitwa Steve. Martin alikuwa na Will smith kwenye Fresh prince of ballairAlikuwa anaitwa Martin
huyu hajafa mkuuMister T ( r.i.p )
![]()
![]()
huyu hajafa mkuu
Rolenzo LamasHahahaha enzi izo uyo jamaa tulikua tunamuita Rolenzo mkuu ...sasa sikumbuki kama ndo lilikua jina lake
Namkumbuka na Bishanga bashaiga,Seki anaigiza kama mtoto wa kishua aliyepinda.Namkumbuka Rukia Mtingwa, fatma nyangasa,sauda kilumanga hata yule mzee masako ktk msiba wa nyerere
dah jumamosi marudio ya week nzimaaTamthilia ya The passion, nmemkumbuka timmy, bibi mchawi tabitha, kay, miguel, simone
Pia The crow
The journey to west, hapo kuna Wu Cong Ila kwa sasa ni Mzee sana nina movie zake kama tatu hiviView attachment 402172kuna hii pia...ilikua na jina lake ila nimelisahau...adi wahusika nilikua nimeweka majina ya kichwani enzi izo ila nimesahau yote [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Jamaa alikua anaitwa nani mkuu
Jina Halisi ni Jaleel Ahmad White!Jamaa alikua anaitwa nani mkuu
Jina la kuigizia aliitwa "Steve" UrkelAlikuwa anaitwa Martin