Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, sunset beach, hii tamthilia ilikuwa kiboko.Angalia kwenye uzi juu nimegusia mkuu
Wakina WCW na NWO.La mujer de mivida.na pia kulikua na kitu cha chuck noris walker Texas ranger kila ijumaa si mchezo ,mieleka ya akina nick freno,mysterious,chriss benat na chriss Jericho bila kumsahau sting aliekua anataka unga usoni kila jumapili ilikua nzuri sana
Ile movie ilikuwa na uchawi wa kufa mtu. Yule mdada miguu imegeukia nyumaThe Beast Master nayo hii ilikuwa kiboko
Hako apo mkuu
Dahhhhh umenikumbusha mbali mnoKatika matangazo nilokuwa nayapenda moja wapo la revola.
'Tueleze siri ya mafanikio,
Sio siri, ni revola,
Revola pekeyake?
Ndio, kwani marashi yake ni tulivu na huniweka fresh mchana kutwaa.
Yalikuwa kama matatu tofauti, ila me nilikuwa nalipenda la yule mdada alokuwa anafanya mazoezi, ile lafudhi yake ilikuwa tamu na mbwembww zake.
Jengine la maji ya kilimanjaro.
'Maji safi kilimanjaroooo'
Tangazo la colgate la watoto, na tangazo la fanta la watoto pia.
Tamthilia nilokuwa naipenda ni Acapulco bay.
Wana jamvi leo nimeona japo turevew miaka hii ya nyuma vipindi vya television enzi zile 1994 kuibukia miaka ya 2000. Binafsi nakumbuka mbali sana hasa vipindi vya television ITV mfano Egoli place of Gold, 21 jump Street, Time trax, movie ya V, Rino Renz, vichekesho Kama Fresh Prince of bell air, family matters, Living Single ya Queen Latifa, Tausi ya mjuba, Vitimbi(masakuu, Ojwang' Othrong'ong'o) Vioja Mahakamani, Mambo hayo ya kina Waridi, Sumbi, bocha na Aisha. Pia kulikuwa na Tamthiliya kama The young and the restless, Sun seat beach, na Acapulco bay.
Aidha nakumbuka tulikuwa tunaangalia UEFA kupitia CFI(Canal France International). Matangazo nakumbuka kama Revola, komoa, lotion ya Jambo, hebu vingine mnisaidie CTN na DTV. Je kipindi kile watangazaji unawakumbuka? Wa ITV, CTN, na DTV. Mimi kwa itv namkumbuka Suzan Mongi nilimpenda sana sana. Karibuni tuflash back jamani.
Kama 1995 hiviKwani isidingo kwa kumbukumbu ilianza lini mkuu
kwenye hiyo picha nmemuona vanesa nilikua nikimpenda sana hata ndugu yangu alipewa jina hiloYeah Ben alikuwa na kabinti karembo kanaitwa Meg!
Wale weusi walikuwa Michael na Vanessa! Bonge la tamthilia!View attachment 402223View attachment 402224
steveView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
bety mkwasaCTN kipindi cha Muziki Rahma Aziz na Nick Ngonyani
Habari ITV Susan Mongi
kuna tamthilia zingine za mkono Nikita ambayo star alikuwa huyu dada anaitwa Sia saiv na mwanamziki...na ingine ni beast masternaikumbuka tamthiliya ya Lorenzo Lamas.... kulikuwa na mkono mwingi sana