Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Hahah mimekupata mkuu naona life linabadirika sn
 
Hahahahhaha kwa nin[emoji1][emoji1][emoji1]
Aisee mkuu yani hii movie nilikuwa naipenda sana mkuu yani huyo Dada alivyokuwa anamsaidia huyo bro nilikuwa napenda sana sana mkuu
 
Aisee mkuu yani hii movie nilikuwa naipenda sana mkuu yani huyo Dada alivyokuwa anamsaidia huyo bro nilikuwa napenda sana sana mkuu

Yeah kweli kabisaa mimi niliwahi kudownload film zake karibu tano hivi
 
Daaahhh Acapulco Bay ,namkumbuka sana Tajiri Tony alivyopatashida kumpata mtoto Rachel na Max alivyokuwa katili, na cha pombe Baba yake na Rachel...
 
Hivi jimmy Kabwe yupo kweli?
 
umeisahau TvT ilikua tz ya kidwanzi kwel kweli na yule mjaamaa amevaa ngozi ya chui anapliza pembe la ng'ombe wakati wa taarifa ya habari daah tv ya kishamba ile we acha tu....
 
tamthiliya ya passion ilikua inaonyweshwa itv km sikosei mnaikumbuka?
 
Kifuatacho ITV, yule dada muhindi ndo alikuwa anasema kifuatacho ITV na kutoa muhtasari kidogo kama ni tamthilia, nakumbuka tamthilia ya Acapulco, na moja ilikuwa kali sana nimesahau jina ila ina neno beach!
Mwisho alikuwa anatabasamu
 
mi nakumbuka enzi hizo itv tamasha la michezo jumapili halafu ...kifuatacho itv...masumbwi
 
umeisahau TvT ilikua tz ya kidwanzi kwel kweli na yule mjaamaa amevaa ngozi ya chui anapliza pembe la ng'ombe wakati wa taarifa ya habari daah tv ya kishamba ile we acha tu....
Hahah mkuu TV ya Taifa nilikuwa lazima waiweke vilee afuu ivi kwani TvT ilianza mwaka gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…