Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

[emoji23] [emoji23] Utawajua tu Wakongwe ktk ubora wao... Watu adimu wako mbioni kutoweka... Hii ni hazina kubwa mkuu kuwa na watu kama ninyi for reference.... Tisha sanaa.
 
umetisha mwanangu
me napenda movie ya V
journey to west AKA SHIVOOOOO
QUEEN OF SOAD
THE CROW
BEAST MASTER
KARTOON YA POPEYA JAMAA ANABUGIA VITU FLANI ALAFU ANAVIMBA MIKONO NA MIGUU HAHAHAAAAAAA
 
hivi africa journal iliishiwa wapi ilikua saa moja itv enzi izo yan kama ujaoga uangalii tv
 
Nakumbuka ITV kulikuwa na vipindi vya mpira vya Italian football na football made in German.
 
hivi ile movie ya V ikiitwaje maanaa since wayback naisaka siioni
Hii movie bana ilikuwa na ma character ambao wananyofoka ngozi ikivutwa tuu inatoka yotee then damu ya mwilini nilikuwa yakijani tuu. Aidha walipenda kuvaa nguo rangi nyekundu na kusafiri kwenda angani kwa mtambo kama sahani hivi. That's V
 
[emoji23] [emoji23] Utawajua tu Wakongwe ktk ubora wao... Watu adimu wako mbioni kutoweka... Hii ni hazina kubwa mkuu kuwa na watu kama ninyi for reference.... Tisha sanaa.
Hahaha mkuu hatutaki kizazi chetu kumbukumbu zake zipotee hivihivi. Hii ni hazina tofauti na miaka ya 90's mkuu. Mimi wa 80's ktkt humo hatuwezi kusahau uhondo wetu
 
Channel 10 kulikuwa na movie ya Mr T na Knight Rider (maarufu kama maiko, maiko - jamaa ana gari lake hilo lina fujo balaa) pia kulikuwana igizo la kutisha lilikuwa linaitwa Mmsai na Ng'ombe Wake

ITV kwanza picha linaanza matangazo yanafunguliwa saa 12 jioni hadi saa 6 usiku, walikuwa na vichekesho vya Perfect Strangers, Hang in with Mr. Cooper pia kulikuwana movie ya TimeTrax, Beast Master, Pointman na kipindi cha Jackpot Bingoooo!!!

Dah kulikuwaga raha sana.
 
Hii movie bana ilikuwa na ma character ambao wananyofoka ngozi ikivutwa tuu inatoka yotee then damu ya mwilini nilikuwa yakijani tuu. Aidha walipenda kuvaa nguo rangi nyekundu na kusafiri kwenda angani kwa mtambo kama sahani hivi. That's V
Kwa mbaali hiyo kitu nadhani ilikuwa inaonyeshwa jmosi mchana kabla ya fukoto/radi kwenye 1999, dizain hizo pipo wengine walikuwa na ngozi kama ya chui hivi.. enzi ya marehemu Nasma khamis kidogo na mtu mzima hovyo on fireee!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…