Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Auntie TumainiHivi yule mdada aliyekuwa ana host vipindi vya watoto ITV alikuwa anaitwa nani vile?
Mdada mmoja mwembamba hivi...[emoji8]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Auntie TumainiHivi yule mdada aliyekuwa ana host vipindi vya watoto ITV alikuwa anaitwa nani vile?
Mdada mmoja mwembamba hivi...[emoji8]
Tumaini bana......neema wa juzi hapa. Tumaini alikuwa ndio wa kwanza kabla hata eddy hajaja itvAnaitwa Neema hadi bado yupo ITV
Hivi mr. T kumbe alinyooka dah R.I.PMister T ( r.i.p )
![]()
![]()
Yep...Tumaini nani vile?Auntie Tumaini
We michael power si ilikuwa ni DTV sio ITV banaIlikua saa mbil kasoro usiku sikos ITV kuangalia ile kitu
Dah nyie jamaa mnachanganya madesa........martin ilikuwa ni komedi inajitegemea .......Martin hakuwapo katika comedy ya fresh Prince of balair . Steve alikuwa katika comedy ya family mattersAliitwa Steve. Martin alikuwa na Will smith kwenye Fresh prince of ballair
Sahihi kabisa mpendwa umefunguka.Alikuwa anaitwa Steve Urkel jina la uigizaji, jina halisi Jaleel White. Alikuwa anampeenda Laura[emoji4]
kalikuwa kadogo.......halafu na richie nimemuona amekuwa mkubwa ngoja niwapostie picha zake mumuone.....pamoja na kadada kalikocheza porn
Halafu kale kademu kalikokuwa kanamzimia steve niliangalia story yake youtube kumbe kamefariki masikini
Nilikuwa namkubali Woodo Foodo alikuwa namajibu short halafu anasauti balaa
Macho man alifariki kwa mshtuko baada ya kupata ajali.......alikuwa anaendesha jeep akiwa na mkewe ghafla akapata heart attack gari ikahama njia ikagonga nguzo akafariki papo hapo kwa mshtuko wa kishindo cha kugonga gari.Wakina WCW na NWO.
Wakina Scott Hall, Machomeni, Kevin Nash, Hulk Hogan,
Mieleka ya CTN baadae ITV wakaanza kuonyesha mieleka pia
Lex Ruger naye alifariki pia......Wakina WCW na NWO.
Wakina Scott Hall, Machomeni, Kevin Nash, Hulk Hogan,
Mieleka ya CTN baadae ITV wakaanza kuonyesha mieleka pia
Huyo alikuwa anaitwa mkali SOSSY B. Kuna kadada mule katika video yake kalivalia top ya rangi ya Pink anaitwa joan nimemuona instagram anauza vipodozi podozi........halafu ile shooting nahisi ilifanyiwa mitaa ya tabata relini maana kwa miaka ile ukiacha ilala sehemu palikuwa panakuwa ilikuwa ni tabata.Neighbor, everybody need good neighbor........ Halafu kulikuwa na mziki wa kibongo unasumbua enzi hizo sijui nani kapiga. Kukurukakala zako wewe zitakuponza acha we acha we, kukurukakala zako wewe zitakuponza brother sister.
Na wimbo wa OYaaaaa msela Oyaaaaa........kwenye shooting utamuona RUGE wa clouds anachana......akiwa na akina osman njaidiNeighbor, everybody need good neighbor........ Halafu kulikuwa na mziki wa kibongo unasumbua enzi hizo sijui nani kapiga. Kukurukakala zako wewe zitakuponza acha we acha we, kukurukakala zako wewe zitakuponza brother sister.
Alikuwa anaitwa Auntie TUMAINI MESHACKYep...Tumaini nani vile?
Halafu kale kademu kalikokuwa kanamzimia steve niliangalia story yake youtube kumbe kamefariki masikini
Ha ha ha ha ha sijui kanaitwa nani vile ngoja nikagoogle jina lake.Roho iliniumaaa km ananijua vile
Yesu kristo tuokoe hichi kizaziMacho man alifariki kwa mshtuko baada ya kupata ajali.......alikuwa anaendesha jeep akiwa na mkewe ghafla akapata heart attack gari ikahama njia ikagonga nguzo akafariki papo hapo kwa mshtuko wa kishindo cha kugonga gari.
Mcheza mieleka mwingine ni Chriss Buenot.....alimuuwa mkewe.....mtoto wake na yeye akajimaliza.