Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Foma iloyona powerfom plus je gladness wa kesho ana yapi ya kusema
'Inatia muujiza sabuni kidogo tuu inafua nguo nyingi.................hili tangazo likinivutia sana enzi hizo
 
Ile tamthilia imewaharibu sana Bongo Movie hadi kesho! Kwavile kwenye geti la mmoja wa wale Characters (sijui kwa akina Mjiba vile, ckumbuki) kulikuwa na mlinzi mchizi chizi basi hadi kesho walinzi wa magetini kwenye Bongo Movies ni machizi chizi...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
yani naitafuta sana kampuni ya waliotengeneza lile tangazo la revola na Air Tanzania enzi hizo wanaimba kilimanjarooo kilimajaroooo basi anapita twiga so nice hii nchi nani sijui kaiharibu zamani mambo yalikua safi sana
 
Perfect stranger we acha tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Hahaha umenikumbusha sana akina mzee small, bi chai, tupatupa
Na kenya walikuwepo masakuu, mama kayayi, masanduku, mzee ujwango, makanyaga...
Wote hao walikuwepo yani ilikuwa full raha walikuwa wanachekesha sana tofauti na miaka ya hivi karibuni aisee
 
hawa jamaa kuna siku waliweka katuni kuanzia asubui mpaka jioni siku iyo sikutoka nje ni kula katuni kwa kwenda mbele
Hahahhahha yaelekea hata kula hukula siku hiyo
 
Hahhahahha mwanachia daah unajua kitambo ila jina nalikumbuka sana aisee mie mhenga mkuu mfano world Cup ya 1994 niliiangalizia itv enzi hizo bado kinda
 
Ile tamthilia imewaharibu sana Bongo Movie hadi kesho! Kwavile kwenye geti la mmoja wa wale Characters (sijui kwa akina Mjuba vile, ckumbuki) kulikuwa na mlinzi chizi chizi basi hadi kesho walinzi wa magetini kwenye Bongo Movies ni machizi chizi...
Hahhahhaha yani hakujawahi bongo movie kuwa na mlinzi ambaye sio chizi yani wote machizii
 
Foma iloyona powerfom plus je gladness wa kesho ana yapi ya kusema
'Inatia muujiza sabuni kidogo tuu inafua nguo nyingi.................hili tangazo likinivutia sana enzi hizo
Dah umenikumbusha Gladisi wa kesho mama flani hivi wamakamo tangazo nalikumbuka sana lile
 
yani naitafuta sana kampuni ya waliotengeneza lile tangazo la revola na Air Tanzania enzi hizo wanaimba kilimanjarooo kilimajaroooo basi anapita twiga so nice hii nchi nani sijui kaiharibu zamani mambo yalikua safi sana
Huwezi amimi tangazo la revola nalitafutaga hadi kesho, itv sijui walilifutaga? Nimelitafuta hadi you tube bila mafanikio daaah lilikuwa zuri sanaaa
 
Naikumbuka "The Commish" ile Tamthilia..
Kulikuwa na kadingi kafupi hivi kanaupala kacheshi Cheshi? Kajitu ka mishe, na ndio kalikuwa kastering ka hiyo movie
 
ntamwambia dogo mmoja yuko itv anichekie kwenye library yao kama watakua na haya matangazo nilikua nayapenda sana
Hebu mwambie huyo dogo alisake tangazo la revola ulitupie humu mkuu, tutakuzawadia zawadii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…