Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Walikuwa wanaunga TNT, hapo lazima watu wapigane mikasi
Halafu hawaweki viboksi viboksi vya kuziba. Ila kuna mdada akaniambia ukiweka kitambaa cheusi usoni unaona kila kitu.
 
Zile tamthilia za mida ya kubeti, akina Barbarita, Tony, Marcidita, Theresita......daaah watoto wa Kilatino wakali saana. Mambo ya Copa Cabana.
.......Acapulco Bay ! Daah walatino wazuri jamanii !
zamani life was so good
 
Hiyo CTN tunaijua wahenga tu na kisha tuliokulia jiji la Makamba wa mkoani TV zilikuwa ndio zinanusa.Hata humu wa mkoa watakumbuka ITV tu na kidogo DTV.
CTN jengo la SUKITA kitambo kidogo,kwa akina Ephraim Kibonde?
Sio jengo LA SUKITA, jengo la USHIRIKA kule juu ROOF GARDEN, meneja mwanzilishi KARIM, Afisa Usalama marehemu MPAPAI rip
 

Kuna jamaa alikuwa anaitwa Bijampora, alikuwa anapewa shavu na kina Bishanga siku moja moja.

Hivi Monalisa na Mama yake waliingaje kwenye ITV, hawakutokea Mambo hayo kweli?
 
Zile tamthilia za mida ya kubeti, akina Barbarita, Tony, Marcidita, Theresita......daaah watoto wa Kilatino wakali saana. Mambo ya Copa Cabana.
.......Acapulco Bay ! Daah walatino wazuri jamanii !
Ahaa kuwapata ni ishu sana mkuu
 
Duh kweli we mhenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…