theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Ilikuwa ITVIlikuwa inaoneshwa channel gani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa ITVIlikuwa inaoneshwa channel gani mkuu
anakaa kiongozi mbele anapigwa maswali motomoto maswali magumu kuna wengine walikuwa wanataka kukimbia na wengine wanakasirika wengi walikuwa wanakataa kushiriki kipindi hiki maswali yalikuwa ya moto haswaa ndiyo maana kikaitwa kiti moto ukumbi una ac mtu anapigwa maswali analowa jasho chapachapa ilibidi kifutwe kwa kukosa weledi na kilikuwa live hapo ndo palikuwa patamuuuuu hakuna kueditIlikuwaje kuwaje mkuu[emoji3]
Ilikuwa inaitwa Family matters, steve urkel jina la kuigiza ila jina lake halisi ni jaleel whiteView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Ganga Maiya tamthilia fulani ya kihindi ilikuwa na uchawi mwingi sana inahusisha miungu mbalimbali wa kihindi......
Ganga Maiya huyo mama alikuwa kiboko yao....
Hizo alikuwa C2C kuanzia saa nne mpaka majagoo kudadadeki.....TCM zilikuwa movie zangu usiku kucha
Kuna ile iliitwa life goes on, Emergency room, the Comish, Neighbours. ITV ilikuwa ya ukweli sanaWakivirudisha watapata watazamaji wengi,
Walikuwa wanaweka muda gani mkuu
Kibuyu njooo kibuyu njoooPicha gani Eddy
Hahahah kumbee ilikuwa channel Ten zamani DTV sio?anakaa kiongozi mbele anapigwa maswali motomoto maswali magumu kuna wengine walikuwa wanataka kukimbia na wengine wanakasirika wengi walikuwa wanakataa kushiriki kipindi hiki maswali yalikuwa ya moto haswaa ndiyo maana kikaitwa kiti moto ukumbi una ac mtu anapigwa maswali analowa jasho chapachapa ilibidi kifutwe kwa kukosa weledi na kilikuwa live hapo ndo palikuwa patamuuuuu hakuna kuedit