korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,054
- 1,269
Rukia mtingwa, Ahmed kipozi, saisanga,Tulikuwa tukishindana kuguess nani atatangaza habari ITV, Ila nilimpenda Sauda kilumanga habari za kiinglish sijui yuko wapi now
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rukia mtingwa, Ahmed kipozi, saisanga,Tulikuwa tukishindana kuguess nani atatangaza habari ITV, Ila nilimpenda Sauda kilumanga habari za kiinglish sijui yuko wapi now
inaitwa RENEGADE.Hyo rinorenz 21jumpstreet umenikumbusha mbali sana ndugu yangu natamani one day virudiwe big up mkuu kwa kunikumbusha ujana
Sunset beach.Kifuatacho ITV, yule dada muhindi ndo alikuwa anasema kifuatacho ITV na kutoa muhtasari kidogo kama ni tamthilia, nakumbuka tamthilia ya Acapulco, na moja ilikuwa kali sana nimesahau jina ila ina neno beach!
RENEGADE.naikumbuka tamthiliya ya Lorenzo Lamas.... kulikuwa na mkono mwingi sana
Steve Urkel.Jamaa alikua anaitwa nani mkuu
The journey to the west yule pig aliitwa Zhu BhajieKuna ile nyingine ya kina brother pig!ITV
zile western wapanda farasi.CTN walikuwa na movie fulani za kizamani sana, zilikuwa zinaitwa TNT Classic Movies. Nilikuwa napoteza muda sana kuziangalia hizi. [emoji3][emoji3][emoji3]
The journey to the westView attachment 402172kuna hii pia...ilikua na jina lake ila nimelisahau...adi wahusika nilikua nimeweka majina ya kichwani enzi izo ila nimesahau yote [emoji2] [emoji2] [emoji2]
ni mac gyver ni kitambo sanaaaaDtv nimekumbuka movie ya MAGAYVER, jamaa alikuwa mwanasayansi balaaa, alafu kupigana ye hajui! Ni mapicha Picha tu!
SOS B.Neighbor, everybody need good neighbor........ Halafu kulikuwa na mziki wa kibongo unasumbua enzi hizo sijui nani kapiga. Kukurukakala zako wewe zitakuponza acha we acha we, kukurukakala zako wewe zitakuponza brother sister.
ilitoka baadhi ya episodesHalafu hivi unajua movie ya the crow ilikuwa ichezwe na mtoto wa bruce lee (brandon lee) ambaye alifariki on the set yaani akiwa katika kurekodi vipande vya hiyo filamu ya the crow. So haikutoka maana jamaa alidedi kabla haijakamilika.
iko season ya 856064[emoji16]Hii ilikuja baada ya days of our lives, hii days of our lives mpk sasa inaendelea
Wale walikuwa ni Alien wanakula panya live mzima mzima.
😂 😂 😂 😂 😂 😂iko season ya 856064[emoji16]
Steve Arkel kama sikosei real name yake jaleel whiteView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Ngoja wadau waje huwenda wakaikumbukamwenye kukumbuka jina la movie itv miaka ya 2002 kama sikosei
hii movie ilikuwa inahusu kijana aliyefika umri wa kujitegemea baba yake akaamua ampeleke kijiji cha mbali lakini mkewe alikuwa hajafurahia.
maisha ya mtoto alipofika yalikuwa ya tabu kwani alikutana na kijana muwindaji akawa adui yake mkubwa.
nakumbuka alibanwa na mtego mguuni akawa anatembea na gongo mda wote na mbwa pembeni.
baada ya miaka familia yake ikaamua imtembelee lakini eneo mzee alilisahau.
mwenye kuikumbuka nataka niidownload nikawaoneshe familia yangu walikuwa wanaipenda sana.
[emoji120]
Huwa nakumbuka kale ka mdundo ka lile tangazo la fanta ambao walikua ndio wadhamini wa kipindi na pia namkumbuka Sunday Shomary na Suzan Mungi walikua wanapendeza sanaWatoto show na enzi zile kilikuwa kinaendeshwa na dogo Eddie Sultani