Sawa pierreKISA: YESU kubadilisha Maji kuwa Divai harusini.
FUNZO: Kunywa Pombe sio tatizo, tatizo lipo kwenye kulewa na unapozidisha. Walokoke wekeni Pombe katika Shughuli zenu. Mnazingua mjue!!? Pombe ni Tiba. Pombe ni Muhimu katika Maisha ya Mwanadamu & Kusheherekea harusi ni vizuri sana. Tuenjoy!
Ila hebu tuwe wakweli,hivi hawa aliwala wote au ?
Alikuwa anapeleka moto kila saa. Maana wanawake 1000 + si mchezo.Historia zinasema na alipewa wote hivo kutokana na hekima zake
Pale kaini alipomuua khabil (abeli) akaondoka akaenda kuzaliana1. Daudi pamoja na kudharaulika umbile lake lakini alimuua Goliath
2. Petro pamoja na kuaminiwa kote lakini aliweza kumkana yesu Mara tatu
3. Yusuph pamoja na kukataliwa na nduguze lakini akageuka kuwa nguzo kuu
4. Yusuph pamoja na ugwadu wa kitambo kirefu lakini aligoma offer ya game kutoka kwa mke wa boss
5.
6.
7.
Nakuendelea.....
😂😂ukatae wewe,labda mzabzab4. Yusuph pamoja na ugwadu wa kitambo kirefu lakini aligoma offer ya game kutoka kwa mke wa boss.
Hii ya nne mimi naikataa.
Yusuph alikua mkuu wa miladi ya boss wake, unafikir mtonyo wa kuzugia mademu ulikua ni shida kwake..???
Hata ningekua mimi ningemkataa mke wa boss, malaya wengi hivo.
SanaYuda mzee wa mikakati.....ila alifeli.....
Kweli pesa na utu ni vitu tofauti sana....
Yuda alimsaliti Yesu akijua kwamba yesu ni IQ nyingine hapa duniani kwahiyo atashinda tu kwa maswali na majibu...
Kwahiyo kaona ale mpunga tu....daah ni somo kubwa sana.