Hahahaa sijambo babu. Kweli hii kitambo sana, sasa hivi mambo yamebadilika sana.Marahaba, hujambo? Nakupa na hii! Zamani ilikuwa raha sana, unakula nauli unakwenda kuvizia mabasi ya kampuni za Tanzania Bag (Magunia), Breweries, Kibo Match au Bonite, yalikuwa hayaachi mwanafunzi
View attachment 1483004
[emoji121]wahenga wenzangu[emoji3]
Huku ambako sasa kuna parking za magari kwenye uwanja mpya ndiko foleni ilikuwa ya hatari, ukikata tiketi yako kuingia kuna mageti 3.
Moja huku linatazama indoor stadium kuingia mzunguuko ambako mnakaa mashabiki wote mnachanganyika Simba/Yanga .
Hakuna kusumbuana, mambo ya utofauti ni jukwaa kuu na jukwaa la kijani ambalo nalo kwa kiasi kikubwa likikuwa linatawaliwa na Yanga.
ulioa ukiwa una miaka mingapi?Ni minority ya mungu tatizo nilichelewa kuoa
shilingi moja ya mwinyi tulikua tunaitaza kwa watengenezaji wa vito miaka hiyoView attachment 1483004
☝wahenga wenzangu😀
😀😀😀😀shilingi moja ya mwinyi tulikua tunaitaza kwa watengenezaji wa vito miaka hiyo
Hii hata mm niliituma hii bei kwenye daladala.Me nakumbuka tu nauli ya daladala enzi niko dent ilikua sh 50