Hii albamu yenye nyimbo ya Theresa ilikuwa na nyimbo tamu kama V.I.P,Shoga na Mama Chichi
Mama Chichi nacho utunzi wake Suleimani Mbwembwe hiki hapa
Mara nyingi duniani mtu hukisifu kilicho chake,ni vizuri duniani mtu kukisifu anachopenda
Mara nyingi duniani mtu hukisifu kilicho chake,ni vizuri duniani mtu kukisifu anachopenda
Kwa hiyo na mimi aa kwako Diana sina budi kufanya hivyo,Kwa hiyo na mimi aa kwako Diana sina budi kufanya hivyo.
Kwa vile unatimiza yale yote amabyo anayostahili kuyatenda mke wa mtu
Mara nyingi duniani mtu hukisifu kilicho chake(kilicho chake),ni vizuri duniani mtu kukisifu anachopenda(anachopenda)
Mara nyingi duniani mtu hukisifu kilicho chake,ni vizuri duniani mtu kukisifu anachopenda
Kwa hiyo na mimi aa kwako Diana sina budi kufanya hivyo,Kwa hiyo na mimi aa kwako Diana sina budi kufanya hivyo.
Kwa vile unatimiza yale yote amabyo anayostahili kuyatenda mke wa mtu
Mara nyingi duniani mtu hukisifu kilicho chake(kilicho chake),ni vizuri duniani mtu kukisifu anachopenda(anachopenda)
Mara nyingi duniani mtu hukisifu kilicho chake,ni vizuri duniani mtu kukisifu anachopenda
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama
(Mbwembwe)Barafu ya roho yangu mama Chichi mama mwenye mahaba ya Kipangani mama Chichi,yanayofanana na yale ya njiwa manga tunduni,sikiliza ninayosema mama Chichi mama
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama
Barafu ya roho yangu mama Chichi mama mwenye mapenzi ya Kizamani mama Chichi,yanayofanana na yale ya njiwa manga tunduni,sikiliza maneno yangu mama Chichi mama
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama
(Momba)Maisha ni safari ndefu itabidi tuheshimiane tujichunge na vizabizabina(zabina),maisha ni safari ndefu itabidi tuelewane na kila kwenye makosa tukosoane mama Chichi ee
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama,malkia wa nyumba yangu mama Chichi mama
Maisha ni safari ndefu itabidi tuheshimiane tujichunge na vizabizabina(zabina),maisha ni safari ndefu itabidi tuelewane na kila kwenye makosa tukosoane mama Chichi ee
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama,malkia wa nyumba yangu mama Chichi mama
Kasoro za binadamu tangu enzi na enzi ni kutopenda maendeleo ya mwingine(kama kiwangawanga) lakini sisi tupendane mapenzi ya njiwa kwani upendo na uaminifu ndiyo heshima ya ndoa
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama,malkia wa nyumba yangu mama Chichi mama
Kasoro za binadamu tangu enzi na enzi ni kutopenda maendeleo ya mwingine(kama kiwangawanga) lakini sisi tupendane mapenzi ya njiwa kwani upendo na uaminifu ndiyo heshima ya ndoa
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama
Aiyolele iyo mama Chichi yeye(we mama),aiyolele iyo mama Chichi mama,malkia wa nyumba yangu mama Chichi mama
Nawe nami bara mpaka pwani,pamba moto shambliaa
Nawe nami bara mpaka pwani,pamba moto shambliaa
Nawe nami bara mpaka pwani,pamba moto shambliaa
Saga saga rhumba,saga saga rhumba