MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Wacha weeeeeUtaachaje kupenda maisha ya ndoa wakat uko na mtu sahihi wa maisha yako honey??
Inshallah tudum
Nakupenda na nakumiss!
Ahahahahhahahaahaa jamani hebu huko bwana,Wacha weeeee
Mpenzi mtazamaji hapa
Stop living in fear!Mimi pia niliwahi kuapa sitaoa ila nikaona mkasa mmoja. Soma
Kuna jamaa mmoja alikua mfanyakazi wa wa shirika fulani la umeme nchini. Ni fundi, alikua mtu wa makamo umri 40+ lakini alikua hajaoa alikua ni mtu wa totoz kula bata kwa sana. Siku hiyo katika harakati za kufanyia transformer maintenance akamwangikiwa mafuta ya transformer ya moto akaungua kuanzia shingoni mgongo wote akalazwa Regency.
Hakuwa na wakumhudumia zaidi ya dada yake ambaye alimpa huduma zote mpaka kumuogesha achilia mbali kumtawaza kila akikata gogo. Dada anachezea pumbu za kaka daily kwa miezi zaidi ya mitatu.
Sasa kama umeelewa somo hilo usioe ukifikwa na majanga ndio utajuta.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]huyo bibi nuksiiiHuku kwetu Kwamtogole kuna bibi mmoja aliitwa Bi Lilian, hakuwahi kuolewa wala kujaliwa mtoto. Aliishi kwenye chumba cha kupanga. Baadae sana watoto wa kaka zake walimnunulia nyumba mitaa hii hii.
Akiugua mwenyekiti wa mtaa anaitisha kikao na watu hupeana zamu ya kwenda kumuona, kumpeleka chakula na kumbadilishia nguo.
Alivyokua na mdomo mrefu akitoka hospitali alikuwa anasema “kumbe mama Ashura anapikia kuni? Chai yake ilinishinda inanuka moshi”.
Bi Lilian alikufa kipweke sana.
Huogopi dhambi mkuuSerious mm sina mpango wa kuoa Kabsa..yaani chapa ilale mpka nafika jioni yangu freshi.
Ninaye mtoto wa Kiume ntamlea basi. Haya mambo ya kuoa yamepitwa na wakati kupeana stress tu.
Ebu tujadiliane hapa wenye mawazo km Yangu..Wale wapenda ndoa au mlioa au kuolewa siyo kwenu hapa. Ndoa ni kunyima fursa tu.
Hahaa ...MZee baba inategemea na mwanamke mwenyew waweza kupatwa na majanga ya ajali ukajikuta unapata majanga mengine ya kukimbiwa na mke ""... so hakuna lenye nafuu hapo "" waache tu wasio oa waendlee na maisha yao ""...Mimi pia niliwahi kuapa sitaoa ila nikaona mkasa mmoja. Soma
Kuna jamaa mmoja alikua mfanyakazi wa wa shirika fulani la umeme nchini. Ni fundi, alikua mtu wa makamo umri 40+ lakini alikua hajaoa alikua ni mtu wa totoz kula bata kwa sana. Siku hiyo katika harakati za kufanyia transformer maintenance akamwangikiwa mafuta ya transformer ya moto akaungua kuanzia shingoni mgongo wote akalazwa Regency.
Hakuwa na wakumhudumia zaidi ya dada yake ambaye alimpa huduma zote mpaka kumuogesha achilia mbali kumtawaza kila akikata gogo. Dada anachezea pumbu za kaka daily kwa miezi zaidi ya mitatu.
Sasa kama umeelewa somo hilo usioe ukifikwa na majanga ndio utajuta.
exactly madame kasie ...umetisha snaHii sio sababu, ukiumwa kiasi cha kushindwa kujihudumia huna tofauti na mfu kwahiyo aibu haipo yeyote anaweza kukuhudumia.
duuuh haya bhana " Mimi mpenzi msomajiUtaachaje kupenda maisha ya ndoa wakat uko na mtu sahihi wa maisha yako honey??
Inshallah tudum
Nakupenda na nakumiss!
Mimi pia niliwahi kuapa sitaoa ila nikaona mkasa mmoja. Soma
Kuna jamaa mmoja alikua mfanyakazi wa wa shirika fulani la umeme nchini. Ni fundi, alikua mtu wa makamo umri 40+ lakini alikua hajaoa alikua ni mtu wa totoz kula bata kwa sana. Siku hiyo katika harakati za kufanyia transformer maintenance akamwangikiwa mafuta ya transformer ya moto akaungua kuanzia shingoni mgongo wote akalazwa Regency.
Hakuwa na wakumhudumia zaidi ya dada yake ambaye alimpa huduma zote mpaka kumuogesha achilia mbali kumtawaza kila akikata gogo. Dada anachezea pumbu za kaka daily kwa miezi zaidi ya mitatu.
Sasa kama umeelewa somo hilo usioe ukifikwa na majanga ndio utajuta.
No matter what ndoa ni muhimu nikimwangaliaga na mkubwa ambaye hakuoa ana maisha ya shida hana mbele wala nyuma licha ya kuwa kwenye nyazifa nzito, kuwa na familia muhimu utajijenga nakufanya ya maana
Ha hahaha yanini ung'ang'anie kuishi sana ..wakati kuna kifo aisee...bila ya kusahau kuna ambao wameshawahi kufikwa na mikasa hiyo wakiwa ndani ya ndoa na wakaishia kukimbiwa na wenza wao ""... Maisha haya muoneagi mtu huruma kwa sababu mantiki ya neno maisha ni Tatizo ..so ishi vile unavyoweza huku ukiyatatua matatizo yako ambayo ndio MAISHA YENYEWEukishafanya uamuzi wakuwa single mpaka kufa kwako ushauri wangu ni kwamba hakikisha pia una bunduki yako kabisa...ukipata mikasa kama hiyo wala huchuki time unajitandika moja basi.
Saaafi sioni jipya mimi katika hizi ndoa...sana sana ..huwa zinachangia mnooo kuwaacha wanaume kwenye hali mbaya ya msongo wa Mawazo na mwisho wa siku hufikwa na magonjwa ya moyo " mwisho umautikuna la maana lipi hapa duniani lakufanya wewe...acha jazzband. la maana duniani ni furaha basi. sasakama jamaa ana furahia hayo maisha inatosha.