Tukutane hapa ambao hatuna mpango wa kuoa kwa Me au kuolewa kwa Ke

Tukutane hapa ambao hatuna mpango wa kuoa kwa Me au kuolewa kwa Ke

Kuoa Ni Ubinafsi Tu, Unamzuia Binadamu Mwenzio Kama Umeemuumba Wewe, kuwa Single Safi Sana, Unapiga Taste Zote
 
Huwezi elewa umuhimu wa ndoa mpaka ukutane na mtu aliye lelewa bila mzazi mmoja.

Jiulize wewe baba yako asingemuoa Mama yako na ukaishi na mzazi mmoja ingekuaje? Kuna mkuu nimesoma anajisifu kabisa kuwa analea kwa whatsap na anaona sifa. Ukiamua kutokuoa Au kuolewa basi pia usizae sababu utatujazia binadamu wasio na utu duniani.

Mwisho: hujawahi kupenda na kupendwa otherwise usinge fikiria kutokuoa au kuolewa
 
Mimi pia niliwahi kuapa sitaoa ila nikaona mkasa mmoja. Soma

Kuna jamaa mmoja alikua mfanyakazi wa wa shirika fulani la umeme nchini. Ni fundi, alikua mtu wa makamo umri 40+ lakini alikua hajaoa alikua ni mtu wa totoz kula bata kwa sana. Siku hiyo katika harakati za kufanyia transformer maintenance akamwangikiwa mafuta ya transformer ya moto akaungua kuanzia shingoni mgongo wote akalazwa Regency.

Hakuwa na wakumhudumia zaidi ya dada yake ambaye alimpa huduma zote mpaka kumuogesha achilia mbali kumtawaza kila akikata gogo. Dada anachezea pumbu za kaka daily kwa miezi zaidi ya mitatu.

Sasa kama umeelewa somo hilo usioe ukifikwa na majanga ndio utajuta.
Stop living in fear!
Maisha yatkushinda kabisa ndugu yangu!
 
Let life unfold itself!
Beautiful and wonderful wonderful world walahi!
 
Huku kwetu Kwamtogole kuna bibi mmoja aliitwa Bi Lilian, hakuwahi kuolewa wala kujaliwa mtoto. Aliishi kwenye chumba cha kupanga. Baadae sana watoto wa kaka zake walimnunulia nyumba mitaa hii hii.

Akiugua mwenyekiti wa mtaa anaitisha kikao na watu hupeana zamu ya kwenda kumuona, kumpeleka chakula na kumbadilishia nguo.

Alivyokua na mdomo mrefu akitoka hospitali alikuwa anasema “kumbe mama Ashura anapikia kuni? Chai yake ilinishinda inanuka moshi”.
Bi Lilian alikufa kipweke sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]huyo bibi nuksiii
 
Serious mm sina mpango wa kuoa Kabsa..yaani chapa ilale mpka nafika jioni yangu freshi.
Ninaye mtoto wa Kiume ntamlea basi. Haya mambo ya kuoa yamepitwa na wakati kupeana stress tu.

Ebu tujadiliane hapa wenye mawazo km Yangu..Wale wapenda ndoa au mlioa au kuolewa siyo kwenu hapa. Ndoa ni kunyima fursa tu.
Huogopi dhambi mkuu
 
Mimi pia niliwahi kuapa sitaoa ila nikaona mkasa mmoja. Soma

Kuna jamaa mmoja alikua mfanyakazi wa wa shirika fulani la umeme nchini. Ni fundi, alikua mtu wa makamo umri 40+ lakini alikua hajaoa alikua ni mtu wa totoz kula bata kwa sana. Siku hiyo katika harakati za kufanyia transformer maintenance akamwangikiwa mafuta ya transformer ya moto akaungua kuanzia shingoni mgongo wote akalazwa Regency.

Hakuwa na wakumhudumia zaidi ya dada yake ambaye alimpa huduma zote mpaka kumuogesha achilia mbali kumtawaza kila akikata gogo. Dada anachezea pumbu za kaka daily kwa miezi zaidi ya mitatu.

Sasa kama umeelewa somo hilo usioe ukifikwa na majanga ndio utajuta.
Hahaa ...MZee baba inategemea na mwanamke mwenyew waweza kupatwa na majanga ya ajali ukajikuta unapata majanga mengine ya kukimbiwa na mke ""... so hakuna lenye nafuu hapo "" waache tu wasio oa waendlee na maisha yao ""...
 
Mimi pia niliwahi kuapa sitaoa ila nikaona mkasa mmoja. Soma

Kuna jamaa mmoja alikua mfanyakazi wa wa shirika fulani la umeme nchini. Ni fundi, alikua mtu wa makamo umri 40+ lakini alikua hajaoa alikua ni mtu wa totoz kula bata kwa sana. Siku hiyo katika harakati za kufanyia transformer maintenance akamwangikiwa mafuta ya transformer ya moto akaungua kuanzia shingoni mgongo wote akalazwa Regency.

Hakuwa na wakumhudumia zaidi ya dada yake ambaye alimpa huduma zote mpaka kumuogesha achilia mbali kumtawaza kila akikata gogo. Dada anachezea pumbu za kaka daily kwa miezi zaidi ya mitatu.

Sasa kama umeelewa somo hilo usioe ukifikwa na majanga ndio utajuta.

ukishafanya uamuzi wakuwa single mpaka kufa kwako ushauri wangu ni kwamba hakikisha pia una bunduki yako kabisa...ukipata mikasa kama hiyo wala huchuki time unajitandika moja basi.
 
Sina mpango wa kuoa ..na wala silifikirii hilo "".. naona kabisa kuwa waliokuwepo nje ya ndoa ndio watu ambao wana enjoy mnooo maisha "" ....no stress "" hakuna kusumbuana"".... nafurahia kuwa hivi nilivyo ndoa zimekuwa kama kigenge cha wahuni " "kila siku tunasikia Fulani kamuua Fulani " ambaye alikuwa ni Mume au mkewe...""" sitaki kujiingiza kwenye huo Mkumbo "" kwa miaka hii ya sasa sifikirii hilo kabisa ...labda kuna ambacho kitakuja kunibadilisha hapo baadae ""... na siombei hilo litokee
 
No matter what ndoa ni muhimu nikimwangaliaga na mkubwa ambaye hakuoa ana maisha ya shida hana mbele wala nyuma licha ya kuwa kwenye nyazifa nzito, kuwa na familia muhimu utajijenga nakufanya ya maana

kuna la maana lipi hapa duniani lakufanya wewe...acha jazzband. la maana duniani ni furaha basi. sasakama jamaa ana furahia hayo maisha inatosha.
 
ukishafanya uamuzi wakuwa single mpaka kufa kwako ushauri wangu ni kwamba hakikisha pia una bunduki yako kabisa...ukipata mikasa kama hiyo wala huchuki time unajitandika moja basi.
Ha hahaha yanini ung'ang'anie kuishi sana ..wakati kuna kifo aisee...bila ya kusahau kuna ambao wameshawahi kufikwa na mikasa hiyo wakiwa ndani ya ndoa na wakaishia kukimbiwa na wenza wao ""... Maisha haya muoneagi mtu huruma kwa sababu mantiki ya neno maisha ni Tatizo ..so ishi vile unavyoweza huku ukiyatatua matatizo yako ambayo ndio MAISHA YENYEWE
 
kuna la maana lipi hapa duniani lakufanya wewe...acha jazzband. la maana duniani ni furaha basi. sasakama jamaa ana furahia hayo maisha inatosha.
Saaafi sioni jipya mimi katika hizi ndoa...sana sana ..huwa zinachangia mnooo kuwaacha wanaume kwenye hali mbaya ya msongo wa Mawazo na mwisho wa siku hufikwa na magonjwa ya moyo " mwisho umauti
 
Back
Top Bottom