Kuna Balozi mmoja anaitwa alipopata kiharusi alirudi kijijini akamuacha mke wake na watoto Dar. Sijui kama bado yupo huko ila Nzee Nkapa huwa anaenda kumjulia khali. Kuoa hakukufanyi upate ntu ya kukusaidia ukiwa na matatizo hasa kama alishakuona na mchepuko sahau.Hii sio sababu, ukiumwa kiasi cha kushindwa kujihudumia huna tofauti na mfu kwahiyo aibu haipo yeyote anaweza kukuhudumia.
Sasa hivi mahari imepanda bei kidogo..ni milioni 2 mpaka 3.Mi kinachosababisha nishindwe kuoa ni mahari tu ile, hivi kwanini watu tunapendana tumekubaliana kwa mapenzi yetu tuishi wote wewe mzazi unasema hadi nikupe milioni moja na laki tano?
Ama tutoroke kama hautaki baki kwa wazazi wako.
Kwelii hata uwe na kila kitu familia ina umuhimu wakeNo matter what ndoa ni muhimu nikimwangaliaga na mkubwa ambaye hakuoa ana maisha ya shida hana mbele wala nyuma licha ya kuwa kwenye nyazifa nzito, kuwa na familia muhimu utajijenga nakufanya ya maana
Acha uoga weweSina mpango wa kuoa ..na wala silifikirii hilo "".. naona kabisa kuwa waliokuwepo nje ya ndoa ndio watu ambao wana enjoy mnooo maisha "" ....no stress "" hakuna kusumbuana"".... nafurahia kuwa hivi nilivyo ndoa zimekuwa kama kigenge cha wahuni " "kila siku tunasikia Fulani kamuua Fulani " ambaye alikuwa ni Mume au mkewe...""" sitaki kujiingiza kwenye huo Mkumbo "" kwa miaka hii ya sasa sifikirii hilo kabisa ...labda kuna ambacho kitakuja kunibadilisha hapo baadae ""... na siombei hilo litokee
Kama kujikinga na kufikwa na matatizo "" ni sehemu ya uoga " basi acha niwe nao tu mkuu...hahaaAcha uoga wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Na watoto pia hutaki kwahiyo?Kama kujikinga na kufikwa na matatizo "" ni sehemu ya uoga " basi acha niwe nao tu mkuu...hahaa
Kwanza karibu tena pili mi naona gharama za mahari zifutweSasa hivi mahari imepanda bei kidogo..ni milioni 2 mpaka 3.
Ukijumlisha gharama za harusi na za kuanzia maisha: unaishia kuumiza kichwa na huzuni.
NB: Wazee watupunguzie mahari ili vijana tuoe
Hahahaa Watoto na hitaji " lakini wapatikane nje Ya ndoa " mkuu....wawili tu wanatosha"" sihitaji kuzaa watoto wengi kama adamu au nuhu "" sina mpango wa kuanzisha taifa langu ""...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Na watoto pia hutaki kwahiyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza karibu tena pili mi naona gharama za mahari zifutwe
Dogo Janja, Blue, mbona wanafanya ubishoo kama kawa na wameoaMwanaume kuoa ni lazima
Mwanamke kuolewa hua ni majaliwa
Mwanaume kunaumri ukifika automatically unaanza kuitaji kuoa iwe kwenye shida au furaha
Watu wasioa au kuolewa hua na STRESS nyingi
Kwanza kuoa kunaleta heshima,kunakushape automatically unakua mtu mzima,mwanaume alieoa hawezi kuvaa mlegezo,kunyoa viduku,
Ni bola uoe muachane ndo uendelee kua bachela ila sio kukimbia kuoa huo ni uoga na kutojiamini
Japo bado nipo nipo ila b4 uchaguz ujao liwe jua iwe nvua lazima nianze kua na family
blessed
Taja sifa zako pengine tunaweza fanya collaboKaa bushir ama father Mutalemwa mkkngi. Natania mwaya kiukweli sijawahi omba ila namuombeaga bby tu
Sifa za nini?Taja sifa zako pengine tunaweza fanya collabo
Mchele ushamwagika sasa mimi najisevia tuAhahahahhahahaahaa jamani hebu huko bwana,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huku kwetu Kwamtogole kuna bibi mmoja aliitwa Bi Lilian, hakuwahi kuolewa wala kujaliwa mtoto. Aliishi kwenye chumba cha kupanga. Baadae sana watoto wa kaka zake walimnunulia nyumba mitaa hii hii.
Akiugua mwenyekiti wa mtaa anaitisha kikao na watu hupeana zamu ya kwenda kumuona, kumpeleka chakula na kumbadilishia nguo.
Alivyokua na mdomo mrefu akitoka hospitali alikuwa anasema “kumbe mama Ashura anapikia kuni? Chai yake ilinishinda inanuka moshi”.
Bi Lilian alikufa kipweke sana.
Upoje yani na unataka mume wa aina ganiSifa za nini?