Tukutane hapa ambao hatuna mpango wa kuoa kwa Me au kuolewa kwa Ke

Hii sio sababu, ukiumwa kiasi cha kushindwa kujihudumia huna tofauti na mfu kwahiyo aibu haipo yeyote anaweza kukuhudumia.
Kuna Balozi mmoja anaitwa alipopata kiharusi alirudi kijijini akamuacha mke wake na watoto Dar. Sijui kama bado yupo huko ila Nzee Nkapa huwa anaenda kumjulia khali. Kuoa hakukufanyi upate ntu ya kukusaidia ukiwa na matatizo hasa kama alishakuona na mchepuko sahau.
 
Mi kinachosababisha nishindwe kuoa ni mahari tu ile, hivi kwanini watu tunapendana tumekubaliana kwa mapenzi yetu tuishi wote wewe mzazi unasema hadi nikupe milioni moja na laki tano?

Ama tutoroke kama hautaki baki kwa wazazi wako.
Sasa hivi mahari imepanda bei kidogo..ni milioni 2 mpaka 3.

Ukijumlisha gharama za harusi na za kuanzia maisha: unaishia kuumiza kichwa na huzuni.

NB: Wazee watupunguzie mahari ili vijana tuoe
 
No matter what ndoa ni muhimu nikimwangaliaga na mkubwa ambaye hakuoa ana maisha ya shida hana mbele wala nyuma licha ya kuwa kwenye nyazifa nzito, kuwa na familia muhimu utajijenga nakufanya ya maana
Kwelii hata uwe na kila kitu familia ina umuhimu wake
 
Acha uoga wewe
 
Sasa hivi mahari imepanda bei kidogo..ni milioni 2 mpaka 3.

Ukijumlisha gharama za harusi na za kuanzia maisha: unaishia kuumiza kichwa na huzuni.

NB: Wazee watupunguzie mahari ili vijana tuoe
Kwanza karibu tena pili mi naona gharama za mahari zifutwe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Na watoto pia hutaki kwahiyo?
Hahahaa Watoto na hitaji " lakini wapatikane nje Ya ndoa " mkuu....wawili tu wanatosha"" sihitaji kuzaa watoto wengi kama adamu au nuhu "" sina mpango wa kuanzisha taifa langu ""...
 
Kwanza karibu tena pili mi naona gharama za mahari zifutwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shukran kwa ukaribisho.

Zikifutwa kabisa watu watakosa maumivu na upendo utapotea kabisa
 
Haya mambo ya kwenda kumtambulisha mchumba halafu unakuta wadogo, kaka au washikaji zako washawahi pita nae ni tabu sana, me sidhani kama ntakuja oa kwa kweli.
 
Dogo Janja, Blue, mbona wanafanya ubishoo kama kawa na wameoa
 
Kuoa wengi tumeshaoa japo mabachela, sema kuishi na mwanamke ndio hatutaki kwasababu za umasikini na uoga wetu wa kuyakabili maisha ya ufugaji wa mwanamke nyumbani!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…