Mwanaume kuoa ni lazima
Mwanamke kuolewa hua ni majaliwa
Mwanaume kunaumri ukifika automatically unaanza kuitaji kuoa iwe kwenye shida au furaha
Watu wasioa au kuolewa hua na STRESS nyingi
Kwanza kuoa kunaleta heshima,kunakushape automatically unakua mtu mzima,mwanaume alieoa hawezi kuvaa mlegezo,kunyoa viduku,
Ni bola uoe muachane ndo uendelee kua bachela ila sio kukimbia kuoa huo ni uoga na kutojiamini
Japo bado nipo nipo ila b4 uchaguz ujao liwe jua iwe nvua lazima nianze kua na family
blessed