Hahahaha, unampa stopper 3 za maana anakumbatia mto na kilio cha kimya kimya. Akitulia tu unambembeleza na duduSasa mkuu kwamfano mnakuwa ndani alafu mkapishana kauli wewe mwanaume unataka muyamalize chumbani bila majirani kujua naunataka muyamalize kwakuongea tu ila mwanamke anaanza kubwabwaja kwasauti kubwa ili tu majirani wajue kuwa nayeye huwa anakuchamba kila unapompoza kuwa ongea basi kistarabu kwasauti yachini unavyofanya hivyo unamtangazia nani ila ndio kwanza anaongeza sauti sasa mtu wahivyo utamtulizaje bila mabanzi?
Mtu kanijibu fyoko fyoko halafu nimbembeleze ili iweje! Mbalati tu!Umbembelezi hata kidogo,? Sasa mkuu si watakukimbia wote?
Huwez kupigwa kozi unajielewa,wezanko hao wanatafutwaga kupigwahakuna kitu kama hicho, mwanaume ni either mpigaji au sio mpigaji hakuna cha iko siku, me siwezi kupigwa wewe
Hahahah hii ndio faida ya kichapo!Naunga mkono hoja mm nilikua najifanya sana mbabe halaf maneno mengi kwa ba watoto wangu weee...kuna siku aniwasha kofi 1 takatifu tangu siku hiyo nilibadilika kutoka kwenye usista duu na kua mama wa familia[emoji2]
wanaweke wa hivyo wapo, jamani huwa nabaki kushangaa, nawajua wanawake kama 5 hivi na ni rafiki zangu, huwa nawauliza hivi huo moyo wa kuvumilia kipigo mnautoa wapi? huwa nawauliza hivi mnahisi mkiachana na hao watu hamtapata wanaume wengine au ni vp? mana sio kwamba wana shida ni watu wanaoweza kumudu maisha bila hao wanaume lakini mwee, nimeshaacha hata kuwashauri mana naona napoteza muda tu, wakinihadiithia nabaki kuwaangalia tu,
Ila kisiwe kichapo cha mbwa mwizi[emoji28]Hahahah hii ndio faida ya kichapo!
Unafki JF. .Watu hawataki kuonekana wanapiga au kupigwa na wenzi wao.
(Hahahaha jf nikiboko kila MTU anajifanya kastarabika kila sector yaani kama vile bongo move)
Mwanaume au bwege mtozeni, hao ndio wanaochitiwa na kufanyiwa wanakuja kulia lia humu kutafta huruma ya members wengine jfHuyu ndo mwanaume sasa
Yeah huwa tunashtua mishipa ya akili kidogo. Kofi 1 zito halitodhuru!Ila kisiwe kichapo cha mbwa mwizi[emoji28]
Hahahahahah sasa si ungemuacha tu mzaziHaaah nimekumbuka kipindi npo chuo demu wng alinifumania nim cheat sasa nikawa nikamfata kumuomba msamaha si akanipiga kofi aisee nikawa mpole tu nikasema huyu ngoja uku na uku baada ya mda kidogo nami nika kabamba kimeni cheat aisee nilimpiga kipigo cha mbwa koko
Ukiona hupigwi ujue una matumizi mazuri ya kinywa chako. Hio ndio siri pekee.Kwa kweli tangia niingie kwenye mahusiano sijawah pigwa hata kibao, yaani ninahamu ya kuchwapwa hata makofi jaman
Hupigwi ngumi. Ni makofi tu ili ukae sawa.Yani mimi ukinipiga na mapenzi yameisha..cha kutoana ngeu kisa nini
Makofi hayamfanyi mtu akae sawa bana..kunakua tu na uoga..mimi ukipiga ilo kofi uwe tayari kulea kidondaHupigwi ngumi. Ni makofi tu ili ukae sawa.
Haujawahi kua na mwanamke mwenye majibu ya ivyo..kwani nilikuomba.".umeulizwa..nimekutuma..si ufanye mwenyewe"Ukiona hupigwi ujue una matumizi mazuri ya kinywa chako. Hio ndio siri pekee.
Ukitaka kuamini hebu badilisha hapo, jibu majibu ya karaha na mkato mkato("kwahio, "mi nfanyeje", nilikuomba au shobo", acha mambo ya kike basi") inshort majibu ya kunya kunya muda wote kwa muda wa week 2 tu utapata unachokitaka usisahau kuleta mrejesho.
Unaongea tu, ratio ya wanawake wenye nguvu za ubabe dhidi ya wanaume ni 1:10.Labda siyo Demiss
Nilishakuwa naye na ndipo nilipojifunzia kuweka makofi.Haujawahi kua na mwanamke mwenye majibu ya ivyo..kwani nilikuomba.".umeulizwa..nimekutuma..si ufanye mwenyewe"