Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Yap inafaa apigwe makofi tu sio ngumiHuyu hakuwa anapiga, alikusudia kuua. Watu wengi walioua walidhani wanapiga tu mwisho wanashangaa yule mtu haamki ndo anaanza kuhaha.
Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
Which of them teach us a lessonSitaki kujaribu,hiki kiganja changu nikiammua kuwasha mwanamke kofi lazima apate kizunguzungu,ndio maana nilishajiapia sitakuja kuchapa kofi mwanamke nisije kupata kesi bure.There are so many treatments that you can do to a woman just to punish her,and mind you some of them are so hurting than slapping her...
Noma hiyoHiyo sio adhabu mkuu zipo nyingi tu,ila cha muhimu lazima tuwe makini sana na wanawake,kuna wengine hizo reactions wanazofanya inakuwa ni mapepo,ukiangalia kuna jamaa hapo juu kuna uzi kaelezea aliwahi kumpiga mkewe mpaka akapandisha maruhani,wanawake wengi sana wana mapepo na hawajijui,hayo mengi ni majini mahaba yanayowafanya vile ili mkorofishane,sasa usipokuwa makini utapiga mwishowe utaua,fanya maombi Mungu atakupa ufunuo ili uweze kujua kama ni yeye au la,yalishanikuta hayo ila hekima ya roho mtakatifu ndio iliniongoza niwe na busara,hatimaye ikagundulika ni mapepo akaombewa yakatoka na sasa hivi tuna amani sana...
HahaaHaaah nimekumbuka kipindi npo chuo demu wng alinifumania nim cheat sasa nikawa nikamfata kumuomba msamaha si akanipiga kofi aisee nikawa mpole tu nikasema huyu ngoja uku na uku baada ya mda kidogo nami nika kabamba kimeni cheat aisee nilimpiga kipigo cha mbwa koko
Tatizo ulikuwa unamsikiliza sana joyce Kiria[emoji23][emoji23][emoji23] yaan mdomo wote uliniisha siku ile na kujifanya mwanaharakat wa haki sawa uliisha siku ile ile. Huwez amini upendo wake kwangu uliongezeka kwangu kwa kasi ya 4G.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwenye huu uzi ndipo utaona unafiki wetu vidume leo kwa kujifanya hatupigagi wapenzi wetu,ili tuonekane ma GENTLEMAN humu jf,hahah
Shida ilikuwa niniNilishawahi kutembezewa kichapo kitakatifu uku ameweka bastola juu ya gari lake kana kwamba watu waogope kuja kunisaidia,nilipigwa sana nikikubuka huwa nasisimka,nilipata msaada baada ya balozi kuitwa,Akanichukua na kigari chake na kunipeleka hospital, Nilipopona tuu nikamrudishia Pete yake ya uchumba na mahali akakataa kuipokea mpaka leo,Naamani na maisha yangu mbali naye
Hapana mkuu sina akili ya kibashite kama ya Joyce, mambo yangu ya ndani ni marufuku kuyatoa nje.Tatizo ulikuwa unamsikiliza sana joyce Kiria
Hahaa mwana harakati wenu joyce Kiria anawapoteza wanawake wengi sanaHapana mkuu sina akili ya kibashite kama ya Joyce, mambo yangu ya ndani ni marufuku kuyatoa nje.
Hivi imeshawahi tokea hiyoPlease don't hit a woman they will poisoning you be careful .
Nipe maandiko hayo tafadhaliWalaa siiwezi shangaa
Wanawake wa zamani (mama zetubibi zetu )
Vichapo ndoo viliwaweka sawa
Hata maandiko yana semaa
Maisha yamempiga anatafuta pa kufia, yaani heshima yake kwenye jamii imeshuka kwa kasi ya 4g.Hahaa mwana harakati wenu joyce Kiria anawapoteza wanawake wengi sana
Duu Noma hiyoNaunga mkono mleta mada nilikua na Demu giant mkurya. Kanianzishia timbili watu wakajaa kanilamba kama vibao viwili kanibana ukutani nilihisi utumbo kucheza. Nilitulia nikaruka kichwa matata kama baba ubaya nikilenga USO MTU chalii midamu chapachapa . toka siku hiyo mwanaume natamba na heshima ikawepo. Japo mambo yalifika police
HahaaHahahaha, unampa stopper 3 za maana anakumbatia mto na kilio cha kimya kimya. Akitulia tu unambembeleza na dudu
Hapo haikuwa na jinsi.No alikuwa nimpenz mpya sasa nahisi ilikuwa nistyle yamaisha ambayo alitaka kuniletea kwahiyo hilo lilikuwa kama nijaribio lake lakwanza lakutaka niwe chini alafu yeye awe juuu
HahaaHalafu kajamaa si kafupi katakua kalivo mtwisha stuli akaenda chini ndo kakamfuata kumtia vitasa sasa vya kufa mtu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Muongo wewe..kuna mtu unamvia humu
Atakuja mleta mada atasema nakuvizia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji100] [emoji100] [emoji125] [emoji125]Huyu ndo mwanaume sasa