sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Yaani siku hizi ukienda madukani simu nyingi sana za kisasa (smartphones) huwa ni kubwa kwa umbo, yani urefu tu ni kama mkebe na hii ni kero kwangu, binafsi napendelea zaidi simu ambazo zinakaa fresh kiganjani walau zikizidi sana basi iwe ni sentimita 14 na nusu kwa urefu.
Simu kuziweka mifukoni imekuwa hadi uwe na mfuko mrefu kiasi watu hulazimika kuzibeba mikononi na pindi unapotumia inakulazimu utumie mkono wa ziada ama kuishusha na kuipandisha kwa kiganja.
Hakika kwa sasa matoleo ya simu yanazidi kuongeza ukubwa na hili ni tishio kwetu tunaopenda vipotabo.
Simu kuziweka mifukoni imekuwa hadi uwe na mfuko mrefu kiasi watu hulazimika kuzibeba mikononi na pindi unapotumia inakulazimu utumie mkono wa ziada ama kuishusha na kuipandisha kwa kiganja.
Hakika kwa sasa matoleo ya simu yanazidi kuongeza ukubwa na hili ni tishio kwetu tunaopenda vipotabo.